Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

ukiwa na pesa Kila sehemu utaishi vzr mno...mfano Kule katavi Kuna bwana mmoja ana maisha yake safi na anaishi vzr ..pia kule wilayani Ngara Kuna waaarabi wa Ngara oil wanaishi vzr sana
 
ukiwa na pesa Kila sehemu utaishi vzr mno...mfano Kule katavi Kuna bwana mmoja ana maisha yake safi na anaishi vzr ..pia kule wilayani Ngara Kuna waaarabi wa Ngara oil wanaishi vzr sana
Kwa Ngara,hapana kwakweli...yani pale mjini nilitumia kama dakika 45 kupamaliza...
Huduma za lodges ni so normal...
Umeme kila mda wakatika....
Ila
Kuna hali ya hewa nzuri sana...
 
Tabia zenu na ulaji mbovu ndio maana hamna imani na uhakika wa kukaa sehemu zisizo na huduma za afya mbona mkabila ya msituni hospital kwao sio kipaumbele.
Badili mfumo wako wa maisha na husiwe na hofu juu ya afya yako kwa imani utaishi hata porini.
 
Hukukaa Dar mzee umepita wewe.
Hiyo Mbezi unayosemea iwe Mbezi beach iwe Mbezi makabe kote maji shida na maji bei ghali sana kununua mpaka Kimara yote maji ghali.
Vyakula pia usiseme bei ghali sana.
Huko Msasani,Upanga,Mikocheni,Masaki na Oysterbay uwe na pesa hakuna wali wa buku kama Temeke na nyanya za 200 kama Temeke.Huko maisha bei ghali kwa matajiri.
Dar huijui wewe.
Dar is Trash. Trash. Kila kitu ni mediocre. Kelele tu mingi. Hakuna maajabu bana we.
 
Kwa mkoa wa kuishi Arusha haunishauri.
Morogoro is 1000 better than Arusha in all aspects.
Maana Morogoro maisha rahisi,hali ya hewa nzuri naweza sema kuliko Arusha hususan ukitembelea Matombo,Kisaki na Mvuha huko uone matiririko ya mto Mmbezi.
Pia Morogoro ni Mkoa wa kistaarabu sio kama Arusha mji wa vijana WAVUTA BANGI,WALEVI NA WAPENDA NGONO NA WAKOROFI.
Dar ni financial hub ya Tz,kuna kila aina ya maisha.
Kuna kila aina ya makazi unayotaka wewe.
Tembelea Mbagala kuu/Kijichi,Somangira na Kisota Kigamboni uone mandhari nzuri,safi na inayovutia.
Huwenda umekaa Tandale mkuu ukasema Dar yote inanuka.
Imetumia nguvu kubwa na kuongea kwa uchungu Ila Moro eachwa mbali san na arusha
 
Watu mna list tu mikoa Yenu. Hakuna mkoa Bora kuishi kama A- Town. Dar ni joto na miharufu ya ovyo. Kila sehemu ni chafu. Sehemu nyingine ni njombe japo Kuna baridi lakini maisha ni rahisi. Kanda ya ziwa labda kagera ila mikoa mingine ni njaa tu, Dodoma futa kabisa kwenye list, huo mkoa si wakuishi ni ukame Kila kitu kinatoka singida, Iringa na morogoro. Hivyo maisha ya Dom ni gharama maana unaishi jangwani .
bado mbu. Hekaheka za foleni na majotro. Maji ya kisima mara ya kununua, mji wa hovyo sana, very overrated. Dar is overrated unless hujawahi kwenda kwenye majiji ya kisasa.
 
Imetumia nguvu kubwa na kuongea kwa uchungu Ila Moro eachwa mbali san na arusha
Sijatumia nguvu bali uhalisia.
Kimajengo ni sawa Arusha imejengeka,ila kwa life standards Morogoro kuna life standards kuliko Arusha.
Morogoro ni sehemu bora ya kuishi kuliko Arusha in all aspects.
 

Attachments

  • vista-aerea-de-la-autopista-a-la-ciudad-de-rastro-de-luz-al-atardecer-en-pataya-tailandia-eh1jyg.jpg
    vista-aerea-de-la-autopista-a-la-ciudad-de-rastro-de-luz-al-atardecer-en-pataya-tailandia-eh1jyg.jpg
    252.5 KB · Views: 7
Omba tu bro isikukute, nipo Mwanza sijasafiri kabisa kutoka nje ya mkoa mwaka na miezi harakati zangu nafanya humu humu tu town ila nilipatwa na huo ugonjwa wa macho aisee ni balaa toka nazaliwa ndo nmeugua macho ukubwani ni ugonjwa wa kis*nge sana yamenitesa almost mwezi..
Pole sana mkuu ila hayo macho km kuugua hta ungekuwa Dar ungeugua tu pole sana, na ninakumini ila hta hpa Dodoma kuna watu wanaugua macho vlevle km ipo ipo haipo bas haipo, Mwanza nakupenda sababu ya hal ya hewa na zile milima zao bana 🙌 nkipata nafas lazma nkatoboe na mjengo huko
 
Hakuna mj
bado mbu. Hekaheka za foleni na majotro. Maji ya kisima mara ya kununua, mji wa hovyo sana, very overrated. Dar is overrated unless hujawahi kwenda kwenye majiji ya kisasa.
Hakuna sehemu ilokosa mbu.
Kila sehemu ina mbu.
TANZANIA HAKUNA JIJI LA KISASA KUZIDI DAR ES SALAAM.
UNLESS UWE MASIKINI UKAISHIA TANDALE.
Nenda Kijichi,Kigamboni Somangira,Masaki,Mikocheni,Oysterbay,Msasani uone maisha ya kitajiri ni nini.
 
bado mbu. Hekaheka za foleni na majotro. Maji ya kisima mara ya kununua, mji wa hovyo sana, very overrated. Dar is overrated unless hujawahi kwenda kwenye majiji ya kisasa.
Joto kero
Mvua kero
Mlundikano wa watu kero
Slums kero
Maisha magumu kero
Mafuriko kero
Uchafu na harufu Kila mahala kero
Kipindupindu kero

Yaani kuishi Dar ni kama.jehanamu.hasa.kwa.mtu ambae hana uhakika wa Maisha.
 
Back
Top Bottom