Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?

cc The Great Haya 😁😁😁😁
 
Akina nshomile walikwenda kujenga mikoa mingine! Nafikiri walikimbizwa na janga la Ukimwi ndiyo maana mkoa wao ni moja ya mikoa maskini.
Ndo unajifariji hivo unadhani huku kuna nyumba za tembe kama huko kwenu
 
Swala sio chakula Cha Msaada swala ni uzalishaji mkubwa wenye Tija.Kujikiku ndio inaleta umaskini huko Kagera
Huo ulikuwa mfano bro na sio lazima wote tulime mahindi. Twambie nani mzalishaji mkubwa wa kahawa nchini??
 
Ulichofanya ni umeonyesha udhaifu wa kutumia hiyo njia kujua nani maskini lakini ndiyo kusema wote huko Kagera wana chakula na elfu 10 isiyoisha kwenye starehe?

Wakiumwa wanamudu gharama za matibabu? Likitokea janga ghafla mfano tetemeko wanaweza kujiendesha hadi wapi?
 
Ulichofanya ni umeonyesha udhaifu wa kutumia hiyo njia kujua nani maskini lakini ndiyo kusema wote huko Kagera wana chakula na elfu 10 isiyoisha kwenye starehe?
Tanzania wote hio mikoa ambayo wewe unaita sio masikini wana pesa ya chakula hata cha siku moja ? Bora sehemu ambazo hazina ukame wanaweza wakapata chakula na wana malazi (ndani ya kajumba) majority huko kwenye so called mikoa ambayo sio masikini wanakaa kwenye slums
Wakiumwa wanamudu gharama za matibabu?
Ni wapi Tanzania wakiumwa wanamudu gharama za matibabu au haujatembelea hospitali watu hadi maiti zinawekwa rehani ?
Likitokea janga ghafla mfano tetemeko wanaweza kujiendesha hadi wapi?
Ni wapi likitokea janga wanajiendesha.., tena achana na janga la once in a lifetime kuna watu Dar kila mvua zikinyesha mito inahamia sebuleni kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…