ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #101
Kwa maana ya Mapato ya Mkoa kutoka chanzo Cha TRA haihusiani.Jibu basi swali!
Mapato ya majiji hayajumuishwi kwenye mapato ya mkoa?
Tunduma border postSongwe pia
Hapana Bado ni Mikoa michanga mfano Katavi.Hii mikoa iliyo mizigo kama Katavi na Lindi ifutwe Tu ni kope kwa Dar Ar na Kilimanjaro! Yaani makusanyo ni 10 bilioni kwa mwaka TRA halafu Una hadhi ya kuwa mkoa?
Vigezo vya kuanzishwa mikoa viangaliwe! Visiwe kisiasa Tu ni lazima kuwe na uwezo lijitehegemea! Mtoto kama anataka kuoa asitegemee Baba akishoa! Yaani 10 bilioni makusanyo kwa Lindi na Katavi ni aibu kubwa Bora ziwe wilaya na mji kama Kahama upandishwe hadhi kuwa mkoaHapana Bado ni Mikoa michanga mfano Katavi.
Pia TRA nao Bado hawajawekeza staff wa kutosha ku capture vyanzo vya Mapato huko.
Mwisho Mkoa kama Lindi una makusanyo makubwa kwenye sekta zingine mfano Halmashauri wanakusanya zaidi ya Bilioni 40 Kwa mwaka ,Bado uvuvi,gesi nk.
Mbona pesa ndogo sana hiyoHizi figure hazina uhalisia Mfanyabiashara yoyote wa mikoa ya Tanganyika akifikisha 1 billion na kuendelea juu anahamishiwa Dar.
Nani amewahamishia Dar ?Dar inaonekana ipo juu wakati figure za makusanyo ya kodi inawasomba walipa kodi wakubwa wa mikoa yote ya Tanganyika.Large Tax Payers wote wamehamishiwa Dar.
Huu ni Uongo wa wazi.. Large Taxpayer hapungui chini ya Bil 50 hadi 100Hizi figure hazina uhalisia Mfanyabiashara yoyote wa mikoa ya Tanganyika akifikisha 1 billion na kuendelea juu anahamishiwa Dar.
Miss you too jamani! Ulipotelea wapi?I miss you Atoto
Kigezo namba Moja ni jiografia,hayo mengine yanategemea uwezeshaji wa kiserikali na sio Mapato au Wingi wa watu,ikiwa hivyo Wilaya za Dar zitakuwa Mikoa Sasa.Vigezo vya kuanzishwa mikoa viangaliwe! Visiwe kisiasa Tu ni lazima kuwe na uwezo lijitehegemea! Mtoto kama anataka kuoa asitegemee Baba akishoa! Yaani 10 bilioni makusanyo kwa Lindi na Katavi ni aibu kubwa Bora ziwe wilaya na mji kama Kahama upandishwe hadhi kuwa mkoa
Hakuna Cha Uwekezaji wowote na upepo wa uvunaji wa Makaa ya Mawe ambao Kwa miaka ya Karibuni umepata mara 200 baada ya vita za Russia vs Ukraine, Wazungu walikacha gesi ya Urusi wakaanza kutumia vyanzo vingine vya Nishati ikiwemo makaa ya Mawe.Baada ya Miaka 5 Mtwara itakuwa iko Top 5, uwekezaji kule ni mkubwa sana. Kama sio Vurugu za Msumbiji nadhani ingekuwa top 3 hapo. Kule ndio kuna miradi mikubwa mikubwa yenye kuingiza pesa za moja kwa moja ukiitoa Dar.
Mwanza na Mbeya ndio hivyo tena kwenye swala la Kodi za TRA hamna kituKwahiyo mwanza wanakaa tu juu ya milima kama mijusi wanazidiwa hadi na songwe
Arusha haina international airport.Wekeni intern airport uone Mwanza inavyopaa
Mwenzenu Mwanza ameshakalishwa kule.ChoiceVariable. Vipi wagogo bado mnataka ligi na Arusha??! π π€£ π π