Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Raisi wa nchi hii October mwaka huu atawekwa na Nguvu ya umma na sio huo uchwara wenu Eti mfumo. Kama mlikuwa hamuijui nguvu ya umma mwaka huu ndo mtaijuaHahaha you guys you are not serious. Eti Lissu awe Rais wa JMT? labda mfumo wa nchi hii uwe umeenda wote mbinguni!! He will never ever be President of this country! May be after 50 years to come sisi wote wananchi wazalendo tuwe tumekufa hatuwezi mpa nchi mtu ovyo ovyo kama Lissu hata Chadema in general.
Endelea kujitekenya et "he will never ever be president of this country.."..!!Hahaha you guys you are not serious. Eti Lissu awe Rais wa JMT? labda mfumo wa nchi hii uwe umeenda wote mbinguni!! He will never ever be President of this country! May be after 50 years to come sisi wote wananchi wazalendo tuwe tumekufa hatuwezi mpa nchi mtu ovyo ovyo kama Lissu hata Chadema in general.
Tunampa kura za ndiooooooWachagga hawawezi kumchagua Lissu!
Pole inaonekana ni uchaguzi wako wa kwanza ukiwa mtu mzima.Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Unaota wewe!!Pol
Pole inaonekana ni uchaguzi wako wa kwanza ukiwa mtu mzima.
Nakuhakikishia hivi hiyo mikoa yote Magufuli atashinda vizuri tu. Hiyo mikoa.
Wewe ndo unaota Ukipata nafasi ya kuuliza Lisu, Mbowe,Zitto na wengine watakuambia hata ubunge hatuwezi fikisha majimno 30.Endelea kujitekenya et "he will never ever be president of this country.."..!!
Endelea kuota
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba;Wachagga hawawezi kumchagua Lissu!
Wewe ni mchaga?Wachagga hawawezi kumchagua Lissu!
Acha niote but October 28 utajua CCM bado wananguvu.Unaota wewe!!
Ongeza Kagera Songwe na KigomaUnaijua mikoa ya Mbeya, Mara na Manyara mkuu?
Anasisitiza kuwa chaguzi zifanyike kwa uhuru na haki kama ilivyo ada. Maana tokea vyama vingi vianze mwaka 1992 chaguzi zimekuwa huru na za haki. Hakumaanisha kuwa huwa haziko huru.Huyu hapa polepole akithibitisha
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Sema wana nguvu ya dola ila safari hii haitawasaidiaAcha niote but October 28 utajua CCM bado wananguvu.
Huko sindio kawalalia kwenye korosho halafu akasema atawapiga mpaka shangazi zao mkuu?? Hawataki hata kumsikia hukoRuvuma futa rafiki yangu,Hawa jamaa Bado Sana Huko Ni CCM tu.
Kuna mikoa mingi sana Lisu atapa kura nyingi sana tuliaKwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Hivi yale maduka mliyokuwa mnakopeshwa mabati , nondo na cement , yale ambayo askari wengi mliyatumia kujenga kule kitunda kwanini yaliondolewa ?Na hivi sasa polisi tunasema sasa basi!
Tumeshawachoka watawala! Tumeshachoka kuweka sheria pembeni na kutekeleza maelekezo!
Maagizo sasa basi!
Tunataka turudishe mahusiano mazuri na raia tunaowatumikia.
Tunataka raia akituona afurahi, aone fahari ya kumuona afisa usalama.
Tutasimamia "fair play ground" kwa vyama vyote! Muamuzi ni sanduku la kura, hakuna tena kuwabeba chama
👊Kama wewe unavyo ota