Very true stress na umasikini zinazaa hasiraStress ni kitu kibaya sana hasa kikichanganyikana na umasikini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very true stress na umasikini zinazaa hasiraStress ni kitu kibaya sana hasa kikichanganyikana na umasikini.
Na mitaani ni wengi, sijui hawana msaada? Wala familia za kuwasaidia? Ukitoka Bunju mpaka Mwenge lazima ukutane nao.Serikali ya Mtaa ilipaswa iratibu suala la kumpeleka Mirembe huyo Kichaa mapema
Aumize afu apelekwe Mirembe?Serikali ya Mtaa ilipaswa iratibu suala la kumpeleka Mirembe huyo Kichaa mapema
Alitakuwa adhibitiwe apelekwe milembe ndio sehemu sahihi siyo kuuwawaSasa si unaona yaani jitu linachukua advantage ya uchizi kuua watu hiyo haiwezi kuvumilika Kila mtu anahaki ya kuishi
Yes hafanyi makusudi hana akili timamu , ndio maana hata mahakamani ni defence mkuu, huwezi kuhukumu na kumuua mtu ambaye hayupo sawa kiakili, huyo anahitaji msaada sio kuuwawa, tuache ukatiliAumize afu apelekwe Mirembe?
Ofcourse watu wamekosa utu kabisaWatu wamevurugwa halafu yeye anawaletea ulemavu wake wa akili.Pole kwa nduguze.
NB:Omba sana kichaa asiwe ndugu yako.
Kwahiyo akiua kwakua hana akili timamu aachwe hai sio je huyo aliemuua inakuaje atarudisha uhai wakeYes hafanyi makusudi hana akili timamu , ndio maana hata mahakamani ni defence mkuu, huwezi kuhukumu na kumuua mtu ambaye hayupo sawa kiakili, huyo anahitaji msaada sio kuuwawa, tuache ukatili
YEs hata sheria inatambua hivyo huwezi kumlaumu au kumhukumu mtu ambaye kichaa, anatakiwa apelekwe hospitali akatibiwe, huyo aliyejeruhiwa ni bahati mbaya ,ila hakuna remedy kwa kichaaKwahiyo akiua kwakua anaakili timamu aachwe hai sio je huyo aliouliwa inakuaje
Sheria Gani wewe unaleta mambo ya sheria kwenye uhai hao walioweka sheria ni binadamu tu wanaweza nao kuwa ni machizi tu unaleta mambo ya sheria watu kama nyie hamjielewi tumia akiliYEs hata sheria inatambua hivyo huwezi kumlaumu au kumhukumu mtu ambaye kichaa, anatakiwa apelekwe hospitali akatibiwe, huyo aliyejeruhiwa ni bahati mbaya ,ila hakuna remedy kwa kichaa
Hawakupaswa kumuua.Ni kumdhibiti na kumfungia kabatini/Milembe/custody mpaka athibitike ni mlemavu.Ofcourse watu wamekosa utu kabisa
Ukichaa unaweza kumpata mtunyoyote na humfanya mtu afanye vitu ambavyo asingeweza kufanya kama aangekuwa timamu, ni kama mgonjwa kutoka na haja utamlaumu? Ipo nje ya uwezo wake wa self controlSheria Gani wewe unaleta mambo ya sheria kwenye uhai hao walioweka sheria ni binadamu tu wanaweza nao kuwa ni machizi tumia akili
NIMEUMIZWA SANA NA HII TAARIFA YA MAUWAJI.Hawakupaswa kumuua.Ni kumdhibiti na kumfungia kabatini/Milembe/custody mpaka athibitike ni mlemavu.
Yes ajabu watu na akili zao wanampiga mgonjwa, mambo ya ajabu kabisa.Aise! Naona hasira za watanzania zinaishia kwa Vichaa badala ya kuzimalizia kwa watekaji na wauaji!
Huyo alikuwa wa kukamata na kufunga kamba then anapelekwa Muhimbili au hospitali ya karibu.