Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Nimesema alipaswa apelekwe kabla, sio baada ya kujeruhiAumize afu apelekwe Mirembe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema alipaswa apelekwe kabla, sio baada ya kujeruhiAumize afu apelekwe Mirembe?
Mungu anisamehe....ila SAFI SANA.Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Watu wa dar akili hamna! Yaan hasira zote wanamalizia Kwa kichaa wakati Kuna watu wazima huko mnasikia wanaua mpaka wenzenu huyu kavunja kioo tu ndo mnamalizia hasira??Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Ugumu wake uko kwenye sehemu zp mkuu.?Mji wa daressalam maisha ni magumu sijawahi kuona, watu wenye stree za maisha ni wengi sana
Nimeelewa kwamba huyo ni mlemavu wa akili yaani kichaa, mtu ambaye mwezi mchanga ukitoka akili inafyatuka. Wangeweza kumdhibiti hata kwa kipigo miguuni alegee na baadae apelekwe wodi za vichaa. Anyway ndiyo jamii tuliyonayo kwa sasa kwenye Bus wakati dereva anasulubiwa na kuuwawa wote wako kimyaa wanachukua clips za video. Ila kwa mgonjwa wa akili fasta wamemtanguliza ahera.Nadhani wamefanya sawa kabisa.
Haiwezekani wadhuru watu, wengine wanajitoa ufahamu.
Hiyo ndo dawa
Hao wanaojifanya vichaa wanatakiwa wajibiwe kichaa zaidiNimeelewa kwamba huyo ni mlemavu wa akili yaani kichaa, mtu ambaye mwezi mchanga ukitoka akili inafyatuka. Wangeweza kumdhibiti hata kwa kipigo miguuni alegee na baadae apelekwe wodi za vichaa. Anyway ndiyo jamii tuliyonayo kwa sasa kwenye Bus wakati dereva anasulubiwa na kuuwawa wote wako kimyaa wanachukua clips za video. Ila kwa mgonjwa wa akili fasta wamemtanguliza ahera.
Nchi yetu inanuka damu kwa sasa. Huko geita watu wawili waripotiwa kufa baada ya kuvamia kituo cha polisi. Siku hz haipiti siku 3 bila kusikia tukio la kinyama. Mungu anaona na atainusuru nchi yetu. Watawala wajitafakari. Hizi ni ishara mbayaLeo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Ukichunguza kwa umakini utagundua hao wananchi wote pia wana ulemavu wa akili piaLeo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Za kujitakia! Dar hii iliyojaa fursa ni kwa vile vijana wengi hawataki kujituma! Wanasubiri ajira za serikali wabunge tai!Mji wa daressalam maisha ni magumu sijawahi kuona, watu wenye stree za maisha ni wengi sana
HIZI ZIWE SALAMU KWA WASIOJULIKANA.Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Machizi waneongezeka sana sijui kwaniniNa mitaani ni wengi, sijui hawana msaada? Wala familia za kuwasaidia? Ukitoka Bunju mpaka Mwenge lazima ukutane nao.
Huyu kuna kuna jambo limemsibu
Umaskini ni moja ya chanzo kikuu cha stress, if you look closely jamii zenye umaskin mkubwa hazina stable mindStress ni kitu kibaya sana hasa kikichanganyikana na umasikini.