mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
DuhKuna mmoja alikua anajifanya traffic,anasimamisha Magari halafu anaanza kuruhusu moja moja!!
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhKuna mmoja alikua anajifanya traffic,anasimamisha Magari halafu anaanza kuruhusu moja moja!!
Kichapo lazima ale habari za uchizi anazijua yeye mwenyewe Kila mtu duniani kaja kivyake hivyo ukiua lazima ufe wewe jifanye chizi uue halafu uone raia wanavyokuvaa Sheria hizo peleka chumbani ukiwa na mkeo Bora kichaa afe ila sio mtu mwenye akili timamu anaelipa Kodi na kulitumikia taifaUkichaa unaweza kumpata mtunyoyote na humfanya mtu afanye vitu ambavyo asingeweza kufanya kama aangekuwa timamu, ni kama mgonjwa kutoka na haja utamlaumu? Ipo nje ya uwezo wake wa self control
Hao waliotunga sheria sio vichaa , hizi sheria unazoziona zimekuwa zikifanyiwa development na kubadilishwa ili kuendanaa na mazingira, usidhani kwamba watu walikuruouka tu wakatunga hizi sheria
Hasira zako peleka sehemu nyingine siyo kuhukumu watu ambao hawastahili adhabu bali msaada
Hao ndiyo watz walivyo, usione watu wako kimya siku likitokeaAise! Naona hasira za watanzania zinaishia kwa Vichaa badala ya kuzimalizia kwa watekaji na wauaji!
Huyo alikuwa wa kukamata na kufunga kamba then anapelekwa Muhimbili au hospitali ya karibu.
Wakitokea watekaji wanaufyata mkia kama sio wao 😃 ila nao wakipata saiz yao wanaua.Yes ajabu watu na akili zao wanampiga mgonjwa ,mambo ya ajabu kabisa
Uchizi upo ila ukishaua inabidi na wewe ufe huna haki ya kubaki duniani full stop halafu Kila binadamu ni chizi ila tunazidiana ukitaka uamini Kaa ndani peke yako asubuhi mpaka usiku Kwa wiki 1 lazima Kuna vituko utafanya ikiwemo hata kutembea uchi ukiwa ndani au Kaa peke yako mda mrefu lazima utaanza kuongea mwenyewe hivyo hata wewe pia ni chiziJItahidi sana kumuomba mungu wako na kiomber kizazi chako haya unayosema yasije kukurudia
Hapo sasaWakitokea watekaji wanaufyata mkia kama sio wao 😃 ila nao wakipata saiz yao wanaua.
wajinga sana
Kuna siku hapo Kariakoo mbele yangu nlimuona jamaa anakuja ana bonge la panga halafu kama anaongea peke yake vile. Basi nikaapply mbinu za Wanaume wa Dar nikaswitch upande huku nikihakikisha distance ni mita nyingi sana.Kariakoo niliwahi kushuudia kichaa akichoma mtu kisu,na alimuua...
Prank za kishamba zile, kuna siku ataipata fresh.Bado yule anayeigiza na panga
Watu wa dar tuna ugonjwa wa akili kuliko hata walioko mirembe. Halafu tunajionaga tumemaliza dunia yote yaani tunajua kila kitu.Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyothimilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hiko kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Wasiojulikana pia siku wakipatikana.......Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyothimilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hiko kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Kwahiyo huyo dereva baada ya kuona wananchi wanajichukulia sheria mkononi na wao wakabaki kushiriki mauaji?Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyothimilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hiko kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
😂😂😂 dah hatr kwlStress ni kitu kibaya sana hasa kikichanganyikana na umasikini.
Labda angeuwawa Askari yeyote aliyeandama naye ila yeye kama yeye ingekuwa ngumu maana aliwabeba majini wengi mno ,kiasi Cha kuwa wote walikuwa na miguu viunoni hivyo lilikuwa suala la karibu nikujibuMasaunino angepigwa hakika tungefarijika sana Watanzania
Hili lingetendeka kule lingesaidia zaidi. Kichaa wa watu kafa kwa kutokuwa na akili timamu ya kupambanua mambo.Pole pole tutafika wanapopataka, watawala ndio muone kama watu wameua mpaka kichaa haya shauri yenu