Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii bado inashida kubwa kushughulika na watu wenye changamoto ya afya ya akili, najiuliza kama wamepata muda kujua huyo analotatizo la afya ya akili wanashindwa kumdhibiti mapema na kumfikisha sehemu husika?Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
atakuwa alivuta SKANKA!!!!Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
Mji wa daressalam maisha ni magumu sijawahi kuona, watu wenye stree za maisha ni wengi sana
Huo ujasiri na uthubutu wangeuhamishia kwa atu fulani, au wangeutumia kwenye kulunda Katiba, Sheria na uwajibikaji, ningewaona watu wa maana sana.Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukijifanya shujaa anakushushia la kichwaKuna siku hapo Kariakoo mbele yangu nlimuona jamaa anakuja ana bonge la panga halafu kama anaongea peke yake vile. Basi nikaapply mbinu za Wanaume wa Dar nikaswitch upande huku nikihakikisha distance ni mita nyingi sana.
Ndio mkuu. Mbaya ukimuwahi wewe una kesi, akikuwahi yeye hana kesi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukijifanya shujaa anakushushia la kichwa
Ndo wapi huko?Hii ingetokea na kule mahaba city ingekua poa
Aisee .Leo barabara ya Mwai Kibaki ilikumbwa na foleni isiyomithilika baada ya wananchi kumpiga mlemavu wa akili mpaka kifo eneo la Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kipigo hicho kilichohusisha mawe na magongo kilianza baada ya mlemavu huyo kushambulia magari yanayopita barabarani ikiwemo daladala la Buza-Kawe na kuvunja vioo, pia inasemwa mapema alimshambulia dereva bodaboda aliyetoka damu nyingi na kukimbia kisha kutaka kumrudia abiria wa kike aliyempakiza.
Polisi walifika kuchukua mwili na kuondoka nalo kituoni daladala husika likiwa na dereva na kondakta wake huku abiria kila mmoja akichukua njia yake baada ya tukio.
AiseeNadhani wamefanya sawa kabisa.
Haiwezekani wadhuru watu, wengine wanajitoa ufahamu.
Hiyo ndo dawa
Kuna mmoja mng'oa site mirror maeneo ya Morocco.Kuna mmoja Mwanza maeneo ya buzuruga stand mpaka njia mpya ya kwenda Airport kupitia Nyasaka anatabia ya kusimama katikati ya barabara na kuanza kupiga kila kinachopita na Rungu, huyu anachokitafuta atakipata nae.
AiseeKariakoo niliwahi kushuudia kichaa akichoma mtu kisu,na alimuua...
Polisi wanawaachia tu hawana hata hela kiasi chakusema wanafaida kwaoAisee .
Wangemfunga kamba tu, wangemchalaza bakora kidogo kisha kumpeleka polisi, wao wangejua zaidi namna ya kumdhibiti.