Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Sijui ni nani kati ya Le Mutuz ama mzazi wake wenye hasara zaidi. Maana kuwa mfano wa kila baya la kufeli kimaisha hasa kwa umri alionao Le Mutuz (50+) si jambo zuri kabisa.Wengi ni losers tu, we angalia lemutuz na washkaji kibao waliopelekwa ulaya enzi zile… sasa hivi wachovu tu!!
ILA hao unaowaona wanapata ni Kwa sababu Muda wao kwenye majungu na kulalamika ni Mdogo sana
Sio kama mimi na wewe kutwa kulalama tu