TANZIA Mikola Mahiga afariki dunia kwa ajali ya gari nchini Uswisi. Ni mtoto wa kwanza wa Marehemu Augustine Mahiga

TANZIA Mikola Mahiga afariki dunia kwa ajali ya gari nchini Uswisi. Ni mtoto wa kwanza wa Marehemu Augustine Mahiga

[emoji2960][emoji2960][emoji2960] unaishi wapi bibie? Ye makazi yalikua Switzerland kama upo huko bahati yako mbaya ila kama upo bongo pambana na sisi sisi wavimba macho.

Sisi ndo tupo [emoji41][emoji41][emoji41]
Hiyo ndiyo bahat mbaya yangu yaan nipo hapahapa bongo tena mamzese dah!
 
Mi namuombea tu huruma ya Mungu
Hakuna huruma Careen kule,you received Jesus Christ,you are for Christ,you did not, you are for eternal hell.Mungu ni Mtakatifu mno,he does not entertain sin.Aliyechukua dhambi zetu msalabani ni Bwana Yesu,sasa kama umemkataa,ina maana umebaki na dhambi zako,sasa kama umebaki na dhambi zako,how does God entertain you,no way,because God does not entertain sin.

Na wewe kama hujampokea Bwana Yesu Careen,receive Him today,so that you can be assured of Eternal Life.Careen muda umeenda sana,we do not have much time,so the sooner the better.
 
Njoo tupasue mawe na kokoto huku Maji moto Mkuu...! Kama utahimili!
Hakuna kazi mbaya, kinachotafutwa ni usawa tu, ila objectively hakuna ubaya katika kazi. Umejuaje kama hiyo ni mbaya bila kulinganisha na zingine? Ni kujaribu kuwa sawa ndio kunawapa shida.

Hata hiyo ya hao watoto wa vigogo, ukiilinganisha na kazi za vibopa wengine na yeye anaweza akasema kazi yake ni mbaya pia
 
Hakuna huruma Careen kule,you received Jesus Christ,you are for Christ,you did not you are for eternal hell.Mungu ni Mtakatifu mno,he does not entertain sin.Aliyechukua dhambi zetu msalabani ni Bwana Yesu,sasa kama umemkataa,ina maana umebaki na dhambi zako,sasa kama umebaki na dhambi zako,how does God entertain you,no way.

Na wewe kama hujampokea Bwana Yesu receive Him today,so that you can be assured of Eternal Life.Careen muda umeenda sana,we do not have much time,so the sooner the better.
Ameen! Mungu ni mwema na mwenye huruma!
 
Back
Top Bottom