Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Riba yao huwa ipo kinamna namna yani ni chungwa limepakwa rangi nyekundu juu afu likaitwa apple.Islamic bank, hazina riba
Sizijui saccos mkuu nitajie moja nitafuteRiba wanazo ila hazifanani na za mabenki ya kibiashara.Mkopo wa benki ukipewa mil10 kwa miaka 5 utaambiwa unarudisha mil 18 plus huko,wakati mkopo huo huo kwa saccos utarejesha mil13 Tafuta saccos iliyo strong ukiwa na vigezo unapewa mzigo
Niunganishe icho kikoba kakaWatu wapondaga sana vicoba ila mi nawacheki tu na kucheka kisukuma.
Kikoba chetu unakopa hadi mil 30 riba ni asilimia sifuri....sisemi sana.
Ingia tu bank, kama ni mtumishi tafuta koneksheni ya ile mikopo ya watumishi make wanajipaga huko huko jikoni
Mzeee nilienda hapo kuna kipindi masharti ni magumu riba ni kubwa kuliko hata nmbRiba yao huwa ipo kinamna namna yani ni chungwa limepakwa rangi nyekundu juu afu likaitwa apple.
asilimia ngap?Mkopo wa muda mfupi benki ndo una riba kidogo. Chukuwa usiozidi miaka miwili
Depends na sacoss. Yetu ni chini ya 10 ila ni ya ndani ya ofisi, hawaruhusu wa njeSaccos interest yao ni % ngap
Hiki hauwezi ni cha akina mama tu.....na wanakopa wanachama.Niunganishe icho kikoba kaka
Hamkivunji?Watu wapondaga sana vicoba ila mi nawacheki tu na kucheka kisukuma.
Kikoba chetu unakopa hadi mil 30 riba ni asilimia sifuri....sisemi sana.
Ingia tu bank, kama ni mtumishi tafuta koneksheni ya ile mikopo ya watumishi make wanajipaga huko huko jikoni
Tunavunja kila miaka mitatu.Hamkivunji?
Tafuta ktk eneo lako ulipo,hazikosekaniSizijui saccos mkuu nitajie moja nitafute
Nitavaa dela na vile sina ndevu watanielewaa😂Hiki hauwezi ni cha akina mama tu.....na wanakopa wanachama.
Mi3 sawa kwa hiyo amount.Tunavunja kila miaka mitatu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nitavaa dela na vile sina ndevu watanielewaa😂
Au namuunga mtu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio 3 ni 30 maximumMi3 sawa kwa hiyo amount.
Hongereni, kimsingi VICOBA sio vibaya na soma concept ya VICOBA na jinsi ilivyoanzishwa na kuendelea watu wa India ni vizuri sana. Changamoto kubwa ni tamaa za wana vicoba waswahili.Watu wapondaga sana vicoba ila mi nawacheki tu na kucheka kisukuma.
Kikoba chetu unakopa hadi mil 30 riba ni asilimia sifuri....sisemi sana.
Ingia tu bank, kama ni mtumishi tafuta koneksheni ya ile mikopo ya watumishi make wanajipaga huko huko jikoni
Kwakweli swala la kikundi likimixiwa uswahili mambo yanakua ovyo, niliwakuta wapo zao strict kabisa na hadi leo ni hivo, hakuna mbambambaHongereni, kimsingi VICOBA sio vibaya na soma concept ya VICOBA na jinsi ilivyoanzishwa na kuendelea watu wa India ni vizuri sana. Changamoto kubwa ni tamaa za wana vicoba waswahili.
Ni nzuri hongereni mkuu.Kwakweli swala la kikundi likimixiwa uswahili mambo yanakua ovyo, niliwakuta wapo zao strict kabisa na hadi leo ni hivo, hakuna mbambamba