Kama wewe ni mfanyabiashara, ingia Nmb uchukue mkopo wa Fanikiwa ambao hutolewa kwa wafanyabiashara wachanga. Bahati mbaya hauzidi milioni 5! Na riba yake haizidi laki 4 kwa mwaka.Wakuu swali hili nimeuliza mara kibao na Hamniambiii……Na ilihali mnajua
Semeni bas
NB:KUFICHA TAARIFA MUHIMU SI UTU
We jamaa mwehu sana. Tokea lini Evelyn akawa kaka?Niunganishe icho kikoba kaka
Nasemea kwa kikoba cha 3 yrs kufika 30m ni sawa.Sio 3 ni 30 maximum
Niorodhesheee baadhi ya SACCOS bas mamaKikoba hakina riba?? Sa mtapataje faida 🤣🤣 riba ipo 10 percent…
Nimekwambia tafuta saccoss… ndiyo nyingine unapata riba chini ya 10%
Hili somo la saccos bado silijui vizuriUsenge wa saccos ni kukopa mpaka ununue hisa na uweke akiba na kukupeshwa hela haizidi mara tatu ya akiba uliyoiweka.
Mfano Ili nikope 3M ni lazima niwe na akiba isiyopungua 1M....huu ni utopolo aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini utopolo?? Sasa huna hisa unataka ukopeshwe pesa za kutokea wapi?Usenge wa saccos ni kukopa mpaka ununue hisa na uweke akiba na kukupeshwa hela haizidi mara tatu ya akiba uliyoiweka.
Mfano Ili nikope 3M ni lazima niwe na akiba isiyopungua 1M....huu ni utopolo aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kununua hisa Ili uwe mwanachama ni sawa ugomvi wangu upo kwenye kuweka akiba kubwa Ili upate mkopo mkubwa.Kwanini utopolo?? Sasa huna hisa unataka ukopeshwe pesa za kutokea wapi?
Nenda bank
Aisee huku kwene SACCOS mi mweupeKununua hisa Ili uwe mwanachama ni sawa ugomvi wangu upo kwenye kuweka akiba kubwa Ili upate mkopo mkubwa.
Kwa style hiyo saccos huwezi pata hela ya maana. Unapata vihela vya kubadilisha mboga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu swali hili nimeuliza mara kibao na Hamniambiii……Na ilihali mnajua
Semeni bas
NB:KUFICHA TAARIFA MUHIMU SI UTU
Simply angemwambia "DHAMANA" jamaa kampa majibu ya shetani😂😂😂😂😂😂😂sio utu kumjibu ivi mdau
we kila siku hunaga habar
Sawa mkuu,,Boss, bado una safari ndefu sana.
Kama hujui collateral ni nini, ushauri wangu ni huu, tafuta tu wale kausha damu au nenda kwa mangi weka bondi stuli akukopesge unga watoto wasilale njaa.
Ana hasira na watu wasiojua vituSimply angemwambia "DHAMANA" jamaa kampa majibu ya shetani😂😂
Sisi mbona hakina riba jamani, yani unakopa m 1 unarudisha m 1 unakopa m10 unarudisha m10 kamiliii.Kikoba hakina riba?? Sa mtapataje faida 🤣🤣 riba ipo 10 percent…
Nimekwambia tafuta saccoss… ndiyo nyingine unapata riba chini ya 10%