Mikopo kwa walimu, NMB vs CRDB

Kopeni CRDB hamtojuta kamwe.
 
Barclays ni nzuri, inakopesha kwa 18% mpaka 22%. Inatoa mkopo kuanzia 1,000,000/= hadi 80,000,000/= muda wake ni kuanzia miezi 12 mpaka 60.
Nenda barclays.

Hawa jamaa ni wezi msithubutu kukopa mie mpaka sasa najuta kuwafahamu. Mnasaini mkataba ukitoka wanafuta na collection fluid, Wana badilisha pia unajaza mkataba wa miaka 5 ukija chukua mkataba unakuta imejazwa miaka 6, wanaanza sound subir miez 6 iishe ufanye top up turekebishe ni wezi tena zaid ya wezi kenge nyie.
 
AC

ACHA UONGO. SALARY SLIP ZA MIEZI SITA NA SIO MITATU KAMA ULIVOAINISHA HAPO JUU

Wewe unachokiongea hukijui,sababu mimi nnaekupa hizi taarifa nna uhakika na nnachokiongea.Japo unaweza ambiwa miezi zaidi ya hiyo (3) kama Benki(kupitia afisa mikopo) wanaona mishahara yako haina consistency,lengo la kukuomba zaidi ya miezi hiyo ni kujiridhisha uhalisia wa hizo salary slip.
 
Pole sana.
 
Wakuu baada ya kufanya utafiti kidogo na kuongea na ma afisa mikopo wa hizi benki mbili nimefikia hitimisho CRDB ni bora labda sijajua kuhusu malalamiko ya kuchelewesha kuweka mkopo. Nmb wanaweka fasta ila wizi wao umekubuhu yani eti mkopo wa 10,700,000 wananipa 10,138,250 nyingne wanakata kama processing fee na bima.
 
Hyo processing fee Ni ya nn
 
hapo kwenye wakukute cjakuelewa mkuu
 
Iyo kwa watumishi na je? Wasio watumishi
 
nilienda kuuliza bank mbili juzi. nikaanza na crdb wakaniambia kwa salari yangu maximum watanipa 11,300,000 kwa miaka 6 na watanikata 257,000. nikaenda nmb wakaniambia maximum watanipa 9,500,000 na watanikata 251,000. Kimsingi hakuna tofauti za riba
nilienda kuuliza bank mbili juzi. nikaanza na crdb wakaniambia kwa salari yangu maximum watanipa 11,300,000 kwa miaka 6 na watanikata 257,000. nikaenda nmb wakaniambia maximum watanipa 9,500,000 na watanikata 251,000. Kimsingi hakuna tofauti za riba

=========================================================================== Kwa maelezo yako hapo juu tofauti ya riba ipo kama ifuatavyo:-

1. Tsh. 11,300,000/- kwa miaka 6 na makato ya Tsh. 257,000/- kwa mwezi ni sawa na riba ya 18% kwa mwaka/per annum au 1.5% kwa mwezi.
2. Tsh. 9,500,000/- kwa miaka 6, kwa makato ya Tsh. 251,000/- kwa mwezi ni sawa na riba ya 24% kwa mwaka au 2% kwa mwezi.

Note: Viwango vya mkopo ulivyotaja ni tofauti kama vinavyoonekana hapo juu (Bolded)

- Hivyo kwa uwiano sawa wa viwango vya mkopo makato ni kama ifuatavyo:-

4. Tsh, 11,300,000/- kwa miaka 6 na riba ya 18% au 24% itapelekea makato ya Tsh. 257,728.04 (18%) au 297,493.19 (24%)
5. Vivyo hivyo Tsh. 9,5000,000/- itapelekea makato ya Tsh. 216,674.02 kwa riba ya (18%) au Tsh. 250,104.89 kwa riba ya 24%

Hope umeona tofauti.
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Usidanganyike na hicho kiwango cha riba !!!!
 
Mi Nina mkopo hapo nlichukua m 4.5 wanakata 132 kwa 5years
Ina maana unalipa riba ya 3,420,000/= yaani karibia asilimia 100 ya mkopo. Duh...!!! hauwezi kuwa mkopo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…