Mikopo na sera mbovu za ubinafsishaji ndizo zimetufikisha hapa, Mwaka 2000 exchange rate ilikuwa(1 Usd=Tshs 803.3)

Mikopo na sera mbovu za ubinafsishaji ndizo zimetufikisha hapa, Mwaka 2000 exchange rate ilikuwa(1 Usd=Tshs 803.3)

Juzi nilikuwa namsikiliza Bshe na takwimu zake za sukari ni vituko juu ya vituko,anasema upungufu unatokana na mabadiliko ya haki ya hewa.
Imagine Nchi ambayo 3/4 ya ardhi yake ina rutuba na imezungukwa na maziwa na mito inaagiz sukari na mafuta ya kula kwa kuwa kuna upungufu wa uzalishaji unaotokana na hali ya hewa.

kila mwaka mabadiliko ya hali ya hewa,tunatumia mabilioni ya USD kuagiza sukari na mafuta,bado matakataka mengine kutoka China lundo kwa lundo sisi tunacho export-hakuna.
 
Juzi nilikuwa namsikiliza Bshe na takwimu zake za sukari ni vituko juu ya vituko,anasema upungufu unatokana na mabadiliko ya haki ya hewa.
Imagine Nchi ambayo 3/4 ya ardhi yake ina rutuba na imezungukwa na maziwa na mito inaagiz sukari na mafuta ya kula kwa kuwa kuna upungufu wa uzalishaji unaotokana na hali ya hewa.

kila mwaka mabadiliko ya hali ya hewa,tunatumia mabilioni ya USD kuagiza sukari na mafuta,bado matakataka mengine kutoka China lundo kwa lundo sisi tunacho export-hakuna.
Tatizo kubwa Nchi petu ni RUSHWA, RUSHWA, RUSHWA!!

Mipango tunayo ya kutosha, Nchi Jirani kama Zambia , Botswana, Msumbiji ,zimechukua mipango yetu tuliyoweka makabatini na wanapiga hatua.

Viongozi wasiogope kutia sahihi Wala RUSHWA na wahujumu Uchumi kunyongwa!!
 
WHAT MAKES A CURRENCY STONG.

A currency's strength is determined by ;

1. Interaction of a variety of local and international factors such as demand and supply in the foreign exchange markets.

2. The interest rates of the central Bank.

3. The inflation and growth in the domestic economy.

4. The country 's balance of trade. Exports must be higher than imports.

Kiranga pesa yetu ilikuwa na thamani kubwa Awamu ya mwalimu Nyerere sababu ya viwanda kuzalisha bidhaa na kuuzwa ndani na nje ya Nchi.


Shida yetu ni RUSHWA, RUSHWA, RUSHWA.

Wala RUSHWA wanyongwe!!
Again, pesa kuwa na thamani kubwa au ndogo si issue.

Issue ni strategy ya kuitumia thamani kubwa au ndogo ili kujenga uchumi mzuri.

Nchi inayotegemea sana exports pesa kuwa na thamani kubwa sana ni tatizo, si kitu kizuri.

Kwa sababu pesa kuwa na thamani kubwa sana inaweza kupunguza exports.

Hii ni moja ya sababu China, nchi yenye weak currency, imeweza kuishinda Marekani, nchi yenye strong currency, katika exports za manufacturing.

Tatizo si pesa kuwa na thamani kubwa au ndogo.

Tatizo ni strategy ya kuitumia hiyo thamani ya pesa (bila kujali kwamba ni weak au strong) ili kujenga uchumi mzuri.

Usichoelewa nini?
 
Again, pesa kuwa na thamani kubwa au ndogo si issue.

Issue ni strategy ya kuitumia thamani kubwa au ndogo ili kujenga uchumi mzuri.

Nchi inayotegemea sana exports pesa kuwa na thamani kubwa sana ni tatizo, si kitu kizuri.

Kwa sababu pesa kuwa na thamani kubwa sana inaweza kupunguza exports.

Tatizo si pesa kuwa na thamani kubwa au ndogo.

Tatizo ni strategy ya kuitumia hiyo thamani ya pesa (bila kujali kwamba ninweak au strong) ili kujenga uchumi mzuri.

Usichoelewa nini?
Ninaelewa,

Nchi yetu chini ya CCM inakwama wapi kukosa strategy usemazo?

Ukipewa wasaa kushauri, ungesemaje?
 
Nadhani kuna sababu toka nje na kuna sababu za ndani ya mfumo wetu wa uchumi.

Bahati mbaya sana tulikosea pale tulipoanza kuamini kuwa uchumi hauhusiani na siasa.

Uchumi imara hutegemea uimara wa wanasiasa walioko madarakani(watawala na wapinzania wao) na haitegemei Sana nadharia za wasomi wa uchumi wasio na mamlaka na madaraka ya kisiasa.

Ukiona uchumi wetu ni kama umelemewa ni kwa kuwa wanasiasa wetu wamelemewa kifikra na hali mbaya ya uchumi tuliyonayo. Wanasiasa wetu hawajui wafanye nini ili kututoa hapa tulipokwama kiuchumi.
 
Nadhani kuna sababu toka nje na kuna sababu za ndani ya mfumo wetu wa uchumi.

Bahati mbaya sana tulikosea pale tulipoanza kuamini kuwa uchumi hauhusiani na siasa.

Uchumi imara hutegemea uimara wa wanasiasa walioko madarakani(watawala na wapinzania wao) na haitegemei Sana nadharia za wasomi wa uchumi wasio na mamlaka na madaraka ya kisiasa.

Ukiona uchumi wetu ni kama umelemewa ni kwa kuwa wanasiasa wetu wamelemewa kifikra na hali mbaya ya uchumi tuliyonayo. Wanasiasa wetu hawajui wafanye nini ili kututoa hapa tulipokwama kiuchumi.
Ndugu tatizo kubwa linaloikabili Nchi ni RUSHWA, RUSHWA, RUSHWA.

Mirahaba ya migodi Nchi hii, pesa nyingi unaingia mifukoni mwa wanasiasa viongozi wetu kuliko kuingia serikalini ndio maana raslimali hiyo adimu inashindwa kuifanya shilingi yetu kuwa strong, Dhahabu inatoroshwa Kwa ndege haipiti ukaguzi sababu ya RUSHWA.

Tukifanikiwa kutokomeza RUSHWA hata Kwa 50% tu, Nchi itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo na kiuchumi.

Ila No. 3, kuitoa CcM madarakani izingatiwe zaidi, Kisha Katiba mpya.
 
Unaposema exchange rate sio uchumi una maana gani,exchange rate ina impact kubwa kwenye trade,interest rates,investments performances, na inflation.
Utawezaje kuzungumzia uchumi bila kuyazungumzia hayo maeneo??

China anatumia fixed exchange rate system ku promote export kama ulivyosema,ila Tanzania kwa kiasi kikubwa tunatumia floating exchange rate ambayo inategemea nguvu ya soko-hivyo fedha yetu kuwa weak dhidi ya USD ni kutokana na uchumi mbovu.
Unakubali kwamba kuna strategy ya kuwa na uchumi mzuri kwa nchi yenye weak exchange rate kama China?

Kwa maana ya kwamba Mchina kajua kuitumia weak exchange rate yake ku promote exports kwa njia ambayo faida za kuongeza exports zimezidi hasara za kuwa na weak exchange rate?

Na kwa hiyo, mtu mwenye kujua kujipanga anaweza kutumia weak exchange rate kujinufaisha kiuchumi, kwa mfano kama anavyofanya China, kutumia weak exchange rate ku promote exports?

Na kwa hiyo, weak exchange rate does not necessarily mean weak economy, kwa sababu mtu anaweza kutumia weak exchange rate kujenga strong economy.

Kwa hiyo, kufikiri weak exchange rate = weak economy ni makosa.

Tatizo si weak exchange rate, kwa sababu hata weak exchange rate inaweza kutupa strong economy.

Tatizo ni kuwa na weak exchange rate bila ya kuwa na economic strategy ya kutumia weak exchange rate kujenga strong economy.

Ukilalalamikia weak currency, wakati mwenzako Mchina anang'ang'ania currency yake iwe weak, ili uchumi wake uwe mzuri, unatuonesha kuwa, tatizo lako si weak currency (kwa sababu Mchina kaweza kutumia weak currency kujenga strong economy). Tatizo lako huna strategy ya kutunia weak currency kujenga strong economy.

Yani ni kama unalalamika "the stock market is falling, I am not making money".

Wakati wenzako wana strategies za ku make money whether the stock market is falling down or climbing up.

Tunaangalia weak currency kama tatizo.

Wakati weak currency si tatizo.

Weak currency kwetu ni matokeo ya tatizo.

Tatizo letu ni kukosa strategy.

Tungekuwa na strategy, hata hiyo weak currency ina advantages zake za kutuwezesha kujenga uchumi mzuri.
 
Unakubali kwamba kuna strategy ya kuwa na uchumi mzuri kwa nchi yenye weak exchange rate kama China?

Kwa maana ya kwamba Mchina kajua kuitumia weak exchange rate yake ku promote exports kwa njia ambayo faida za kuongeza exports zimezidi hasara za kuwa na weak exchange rate?

Na kwa hiyo, mtu mwenye kujua kujipanga anaweza kutumia weak exchange rate kujinufaisha kiuchumi, kwa mfano kama anavyofanya China, kutumia weak exchange rate ku promote exports?

Na kwa hiyo, weak exchange rate does not necessarily mean weak economy, kwa sababu mtu anaweza kutumia weak exchange rate kujenga strong economy.

Kwa hiyo, kufikiri weak exchange rate = weak economy ni makosa.

Tatizo si weak exchange rate, kwa sababu hata weak exchange rate inaweza kutupa strong economy.

Tatizo ni kuwa na weak exchange rate bila ya kuwa na economic strategy ya kutumia weak exchange rate kujenga strong economy.

Ukilalalamikia weak currency, wakati mwenzako Mchina anang'ang'ania currency yake iwe weak, ili uchumi wake uwe mzuri, unatuonesha kuwa, tatizo lako si weak currency (kwa sababu Mchina kaweza kutumia weak currency kujenga strong economy). Tatizo lako huna strategy ya kutunia weak currency kujenga strong economy.

Yani ni kama unalalamika "the stock market is falling, I am not making money".

Wakati wenzako wana strategies za ku make money whether the stock market is falling down or climbing up.

Tunaangalia weak currency kama tatizo.

Wakati weak currency si tatizo.

Weak currency kwetu ni matokeo ya tatizo.

Tatizo letu ni kukosa strategy.

Tungekuwa na strategy, hata hiyo weak currency ina advantages zake za kutuwezesha kujenga uchumi mzuri.
Kwa kuwa hapa Si china,

Na Nchi Haina strategy ya kutumia kama wafanyavyo china,

Tufanye conclusion kuwa,Kwa Tz,

Weak exchange rate=weak Economy.

CCM must go!!
 
Juzi tulikuwa tunapiga story juu ya haya mambo hapa Ofisini kwetu kwa kutumia mfano mdogo tu wa Sekta tunayoifanyia kazi jinsi Nchi inavyopoteza Rasimali na pesa nyingi kwa hao wanaoitwa wawekezaji.
Hata tulete wawekezaji maelf na maefu kwenye kila sekta ya kiuchumi ndani ya hii Nchi-hatuwezi pata mabadiliko yoyote ya kiuchumi-sababu ni kuwa hawa watu wanakuja na mitaji na teknolojia zao-mnapokuwa kwenye majadiliano jumuisha rushwa za viongozi wetu huwa tunaambulia makombo.

Njia pekee ya Nchi za kiafrika kuendelea kiuchumU ni kuiga model ya uchina,kwenye uwekezaji unaofanywa na hayo makampuni ya kigeni tuwe na his angalau 50/50 na Serikali inatakiwa ianze mikakati ya kuwawezesha wawekezaji wa ndani.
 
Ninaelewa,

Nchi yetu chini ya CCM inakwama wapi kukosa strategy usemazo?

Ukipewa wasaa kushauri, ungesemaje?
Matatizo yetu ni haya.

1. Nchi iko top heavy. Maamuzi yanatoka juu kuja chini.

2. Viongozi wengi wa juu kabisa ni washamba. Wanajikita zaidi kwenye kujisimika kwenye madaraka zaidi ya kupandisha uchumi. Hawana vision na hata wakishauriwa hawana interest.

3. Serikali imepewa ushauri mwingi mzuri sana wa kitaalamu. Tatizo ni utekelezaji.
 
Ndugu tatizo kubwa linaloikabili Nchi ni RUSHWA, RUSHWA, RUSHWA.

Mirahaba ya migodi Nchi hii, pesa nyingi unaingia mifukoni mwa wanasiasa viongozi wetu kuliko kuingia serikalini ndio maana raslimali hiyo adimu inashindwa kuifanya shilingi yetu kuwa strong, Dhahabu inatoroshwa Kwa ndege haipiti ukaguzi sababu ya RUSHWA.

Tukifanikiwa kutokomeza RUSHWA hata Kwa 50% tu, Nchi itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo na kiuchumi.

Ila No. 3, kuitoa CcM madarakani izingatiwe zaidi, Kisha Katiba mpya.
Rushwa ndio inaididimiza hii nchi miaka nenda rudi. Wenye mamlaka wakidhibitiwa kwa 100% lazima mabadiliko yatatokea ndani ya muda mfupi sana.

Tatizo tuliowapa madaraka ni wasaliti na wanalindana. Mtu kama anaweza kukwapua billion 300 akishirikiana na kikundi kidogo cha maofisa wa serikali mtatoboa vipi?

Hebu waza hizo fedha zingekwenda kweli kufanya yaliyokusudiwa kwa miaka 10 tu nchi ingekuwa wapi? Hela inaidhinishwa Billion 800 inayoenda kufanya kazi ni 300 billion hio 500billion wanagawana watu wachache wanaenda kununua majumba marekani na Dubai. Maendeleo yatatoka wapi?
 
Rushwa ndio inaididimiza hii nchi miaka nenda rudi. Wenye mamlaka wakidhibitiwa kwa 100% lazima mabadiliko yatatokea ndani ya muda mfupi sana.

Tatizo tuliowapa madaraka ni wasaliti na wanalindana. Mtu kama anaweza kukwapua billion 300 akishirikiana na kikundi kidogo cha maofisa wa serikali mtatoboa vipi?

Hebu waza hizo fedha zingekwenda kweli kufanya yaliyokusudiwa kwa miaka 10 tu nchi ingekuwa wapi? Hela inaidhinishwa Billion 800 inayoenda kufanya kazi ni 300 billion hio 500billion wanagawana watu wachache wanaenda kununua majumba marekani na Dubai. Maendeleo yatatoka wapi?
Mikopo ipingwe pininili ufanyike uchunguzi juu ya mikopo hiyo , manufaa na risk na masharti nyuma ya mikopo hiyo vijulikane na kuwekwa wazi!!

Katika jambo tunalotakiwa kuhakikisha tunafanikiwa,

Ni kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote!!
 
Juzi nilikuwa naangalia Annual Financial Statement 2022 ya Kampuni moja Mkubwa ya Uchimbaji Madini hapa nchini-kwenye hizo hesabu za Mwaka ilikuwa inaonesha Kampuni imetengeneza revenue ya Shs.trillion 1 na point hizi badaye wakatoa cost ikabaki na shs.200B
Sasa ukisoma mchanganuo wa hizo gharama-ni vitko kabisa unaangalia unasema hapa unaona kabisa lengo Lao lilikuwa ni nini.
 
Kwa kuwa hapa Si china,

Na Nchi Haina strategy ya kutumia kama wafanyavyo china,

Tufanye conclusion kuwa,Kwa Tz,

Weak exchange rate=weak Economy.

CCM must go!!
Hapana.

Tanzania haina uchumi wa peke yake.

Pia, hujaelewwa nested logic ya kusema "even as a weak currency does not necessarily mean a weak economy, a weak currency does not mean a strong economy either".

My point is, kama tunapima uchumi, tusiupime kwa currency/exchange rate.

Kwa sababu, nchi inaweza kuwa na

1.Weak currency, ikawa na weak economy.
2.Weak currency, ikawa na strong economy.
3. Strong currency, ikawa na weak econony
4. Strong currency, ikawa na strong economy.

So, strength ya currency, fundamentally, is irrelevant as an economic indicator.

Uchumi wa nchi unapimwa kwa uzalishaji na ufanisi wa balance of trade.

After all, benki kuu ya Tanzania inaweza kuchapisha noti mpya na kusema kila shilingi moja ya Tanzania ni dola mbili za Kimarekani.

Je, hilo litafanya uchumi wa Tanzania upande mara moja?
 
Matatizo yetu ni haya.

1. Nchi iko top heavy. Maamu,i yanatoka juu kuja chini.

2. Viongozi wengi wa juu kabisa ni washamba. Wanajikita zaidi kwenye kujisimika kwenye madaraka zaidi ya kupandisha uchumi. Hawana vision na hata wakishauriwa hawana interest.

3. Serikali imepewa ushauri mwingi mzuri sana wa kitaalamu. Tatizo ni utekelezaji.
Tunaishi kwenye combination ya Monarchy mated with Oligarchy in stealth mode ila nchi inaitwa ni ya kidemokrasia mbele ya macho ya dunia.

Kuna mizee yenyewe imejikasimisha madaraka na inataka wao na vizazi vyao waendelee kuhodhi madaraka while the rest of us just toiling hard to make ends meet.

Option pekee naona ni umwagaji damu tu. Without it hakuna mabadiliko yatatokea. Ni hadi makundi haya mawili ya clash. Maskini wachoke kuburuzwa waamue kustrike iwe balaa.
 
Juzi nilikuwa naangalia Annual Financial Statement 2022 ya Kampuni moja Mkubwa ya Uchimbaji Madini hapa nchini-kwenye hizo hesabu za Mwaka ilikuwa inaonesha Kampuni imetengeneza revenue ya Shs.trillion 1 na point hizi badaye wakatoa cost ikabaki na shs.200B
Sasa ukisoma mchanganuo wa hizo gharama-ni vitko kabisa unaangalia unasema hapa unaona kabisa lengo Lao lilikuwa ni nini.
Achilia hio, kuna kampuni inaingiza sio chini ya 100B kila quater. Ila hesabu zinachakachuliwa kinachoenda Serikalini hakifiki hata Billion 10.
 
Kwa hoja zako bc hata umri wako usimame hapo hapo, kupanda na kushuka ni lazima kwenye mambo yote.mkuu hivi kweli mabadiliko yawe ya hasara tuu???? Kusema kweli maghufuli na Sera yake usd ingeshuka dhidi ya tsh... tunavyozidi kuwakaribisha hawa watu wa kigeni ndivyo tunavyoporomoa uchumi wetu
 
Achilia hio, kuna kampuni inaingiza sio chini ya 100B kila quater. Ila hesabu zinachakachuliwa kinachoenda Serikalini hakifiki hata Billion 10.
USALAMA wa Taifa wapo na wanaona, Kisha wanapeleka taarifa, hazifanyiwi KAZI Bali zinatiwa kapuni.

Magu alikuwa anasoma Kila taarifa Jiwe yule🤔
 
Mikopo ipingwe pininili ufanyike uchunguzi juu ya mikopo hiyo , manufaa na risk na masharti nyuma ya mikopo hiyo vijulikane na kuwekwa wazi!!

Katika jambo tunalotakiwa kuhakikisha tunafanikiwa,

Ni kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote!!
Kikubwa amendment imuondolee rungu raia namba moja kwenye chama na maamuzi critical kama uuzaji wa rasilimali na mikopo yawe assessed pia na general public. Sio mtu anaamua kusaini tu kisa ni mwenyekiti wa chama na raia.
 
Back
Top Bottom