Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

Mikopo mingi ni miaka 10 kuendelea, kuanzia 2030 huko lazma watu wlimie meno, jamaa alikopa sna, akawa anaongopea fedha zetu.

Mwigulu naye anakopa kwa spidi ya Boeing 787 .
Hadi hadi sasa Mama amekopa Tsh ngapi na Magufuli alikopa ngapi? Na hii mikopo ndio imesababisha Sukari kupanda bei,Umeme kukwama? Mafuta na nauli kupanda maradufu? Hebu tunyamvulie mkuu!
 
Uzi hauhusu umeme jikite kwenye uzi
Nilikuwa nakazia kutokana na swali uliloulizwa na Mdau, hata hivyo katika Uzi wako unadai hali ngumu ya sasa imesababishwa na Mikopo iliyofanywa na Serikali ya awamu ya tano kwenye Taasisi za Fedha za ndani ya Nchi bila kuleta ushahidi hapa.

Hali ngumu ni pamoja na tatizo la Umeme lililopo, ndiyo maana umeulizwa kuwa hata hili tatizo sababu ni hiyo? Lakini pia unatakiwa kujua kuwa hata ukichukua Mikopo kwa hao Wazungu bado utatakiwa kulipa.

Kama unafuu wa Maisha unatokana na kunyenyekea na kupiga magoti kwa Wazungu basi usingelalamika hapa kuwa kuna hali ngumu ilihali Serikali iliyopo imechukua Mikopo huko kwa hao unawaona bora.

Kipi bora kukopa kwenye Taasisi za nje na kuwabana Wanamchi wa hali ya chini kulipa Kodi ikiwemo Tozo kwenye Miamala na Kodi ya Jengo kupitia LUKU au kukopa kwenye Taasisi za ndani bila kuwabana Wanamchi wa hali ya chini?
 
Naomba kukuita doctor from today.
Maswali yako haywawezi jibiwa na mtu CHAWA.
Eneo moja tu la Warsha , BRELA wanazunguka nchi nzima , watumishi wa pale wanapishana hewni, kila mtu anakula atakavyo. Wametengeneza vijisemina vinakula hela nakwambia CAG akitoa ripoti tutashika midomo.
 
Hadi hadi sasa Mama amekopa Tsh ngapi na Magufuli alikopa ngapi? Na hii mikopo ndio imesababisha Sukari kupanda bei,Umeme kukwama? Mafuta na nauli kupanda maradufu? Hebu tunyamvulie mkuu!
Kizimkazi kupitia Mwigulu huoni kila siku
Umepata unafuu gani katika Maisha yako? Kuna wakati humu Watu mnaleta hoja kwa kufuata mkumbo! Hali ilivyo sasa hapa Tanzania kwako ni unafuu? Au upo kwenye kundi la Walamba Asali?
kaka huyu CHIEF PRIEST atakuwa high table, tunatumbukia shimoni yeye anakula hela za STK, ni sawa na Chawa akina Baba levo , mwijaku na manara huwezi waambie kuna njaa .
 
Acha upumbavu

Vumilia ukweli, hili jambo tulilisema muda mrefu wakati dhalimu anasaka sifa za kijinga kuwa anafanya mambo kwa fedha za ndani, huku anaenda kukopa kichwa kichwa. Leo hii tunalipa riba kubwa, na wakandarasi wanashindwa kulipwa, kisa dhalimu alikuwa anasaka sifa.
 
Hadi umeme na maji vinakatwa kisa Magufuli kaacha madeni yasiyolipika!?
MAGUFULI ALIKOPA SANA MIKOPO YENYE RIBA KUBWA
"Rais Magufuli alikuwa hasemi kweli, alikuwa anaendesha miradi yake kwa mikopo, tena kwa mikopo ghali sana ambayo sasa hivi inatupa matatizo makubwa sana, ilikuwa ni mikopo ya kibiashara ambayo imechukuliwa kwa mambo ya kimaendeleo na bado haijaanza kuzalisha mapato" FULL VIDEO BONYEZA LINK HII https://youtu.be/jcdLyzFOUHU
 
Umepata unafuu gani katika Maisha yako? Kuna wakati humu Watu mnaleta hoja kwa kufuata mkumbo! Hali ilivyo sasa hapa Tanzania kwako ni unafuu? Au upo kwenye kundi la Walamba Asali?
Usisema tunakufa sema nakufa
 
Unajua hakuna kitu kibaya kama kujiongopea.

Ukishaanza kujiongopea na kuishi kwa uongo, inabidi kila siku utunge uongo mwingine to back up uongo wa awali.

Baada muda mrefu wa kutunga tunga uongo unajikuta maisha yako yametawaliwa na uongo. Huo sasa ndio mwanzo wa kuishi kwenye delusional world na kujiaminisha uongo unaoamini wewe na wengine wote unao jaribu waaminisha ni wapuuzi wa kuamini.

Hapo ndio mlipomfikisha ‘bi-tozo’ mmemuongopea mama wa watu kaja kushtuka baada ya madhara kuwa makubwa.

Ukope zaidi ya trillion kumi kwa miaka mitatu halafu umsingizie Magufuli madeni ya kikuelemea, what do you people take us for (ni kwamba sisi watanzania hamnazo kweli kweli).

Amkeni kutoka kwenye hizo njozi zenu za uongo; meli ina zama hiyo.
 
Kizimkazi kupitia Mwigulu huoni kila siku

kaka huyu CHIEF PRIEST atakuwa high table, tunatumbukia shimoni yeye anakula hela za STK, ni sawa na Chawa akina Baba levo , mwijaku na manara huwezi waambie kuna njaa .
Mimi sijawahi kuwa kwenye mifumo ya dola wala taasisi zake, niko kivyangu vyangu. Unafuu ninaozungumzia ni kutokuishi kwa hofu kama enzi za giza za yule mwovu. Na vile vile siufagilii utawala wa mama Abdul. Adui yangu ni utawala wa CCM.
 
Ni

Itakuwa hivyo Mkuu! Kama sivyo basi atakuwa Mtoto wa Mama, kula, kulala, hajui hata bei ya Sukari.
Dada mimi ni mtu mzima nina wake watatu kama vipi nikuoe uwe mke wangu wa nne,karibu sana kwenye maisha bora siyo unaendelea kuzalia nyumbani kwa babako .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…