CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sijasema sifi,ila kifo changu hakitaleta nafuu kwa wengi kama taifa lilivyopata nafuu kwa kifo cha yule dhalim.Safari ya wote hiyo, na wewe utaenda, cha kuomba Mungu ni kupewa mwisho mwema.
Hadi hadi sasa Mama amekopa Tsh ngapi na Magufuli alikopa ngapi? Na hii mikopo ndio imesababisha Sukari kupanda bei,Umeme kukwama? Mafuta na nauli kupanda maradufu? Hebu tunyamvulie mkuu!Mikopo mingi ni miaka 10 kuendelea, kuanzia 2030 huko lazma watu wlimie meno, jamaa alikopa sna, akawa anaongopea fedha zetu.
Mwigulu naye anakopa kwa spidi ya Boeing 787 .
Unafuu kwenye Umeme na sukari? Au cement na Mafuta? Hebu dadavua mkuu jukwaa hili linasomwa na watu wengi 🥸🥸🥸🥸🥸Sijasema sifi,ila kifo changu hakitaleta nafuu kwa wengi kama taifa lilivyopata nafuu kwa kifo cha yule dhalim.
Nilikuwa nakazia kutokana na swali uliloulizwa na Mdau, hata hivyo katika Uzi wako unadai hali ngumu ya sasa imesababishwa na Mikopo iliyofanywa na Serikali ya awamu ya tano kwenye Taasisi za Fedha za ndani ya Nchi bila kuleta ushahidi hapa.Uzi hauhusu umeme jikite kwenye uzi
Naomba kukuita doctor from today.Sema watu wenye uwezo kama wako, hawawezi jua kitu kwakuwa hawana kitu cha ku-offer!
Umeongea kwenye level ya kina Baba Levo!
Ebu tutajie deni la taifa/nchi liko vipi kwa sasa ili tujue ukilinganisha na kipindi cha Msoga then Mwamba!
Utueleze tu, ni kiasi gani kinaenda kizimkazi kwa gharama ya Tanganyika only?
- Kiasi gani kinaenda kwa mkwe?
- Kiasi gani wakina Bahashe wanatia mifukoni?
- Unafuatilia semina mfu na warsha zinazoendelea kwa sasa?
- Unajua ni kwanini KQ wameufyata? Watumishi wa umma wanaishi angani siku hizi.
- Unaweza kutufafanulia ni kwa kiasi gani uchumi umekuwa kiuhalisia kiasi cha watumishi kuweza kufanya matusi wanayofanya mtaani kwa nyongeza ya Tsh 23,000 tu?
Unaelewa nini ukiwaona mateja kule vituoni, wale waliokuwa wametoweka?
Unaishi wapi usijue ni jinsi gani wizi wa kizamani umerudi kwa kasi?
Kuwa CHAWA ni LAANA na hasa kama ni MWANAUME.
Umepata unafuu gani katika Maisha yako? Kuna wakati humu Watu mnaleta hoja kwa kufuata mkumbo! Hali ilivyo sasa hapa Tanzania kwako ni unafuu? Au upo kwenye kundi la Walamba Asali?Sijasema sifi,ila kifo changu hakitaleta nafuu kwa wengi kama taifa lilivyopata nafuu kwa kifo cha yule dhalim.
Kizimkazi kupitia Mwigulu huoni kila sikuHadi hadi sasa Mama amekopa Tsh ngapi na Magufuli alikopa ngapi? Na hii mikopo ndio imesababisha Sukari kupanda bei,Umeme kukwama? Mafuta na nauli kupanda maradufu? Hebu tunyamvulie mkuu!
kaka huyu CHIEF PRIEST atakuwa high table, tunatumbukia shimoni yeye anakula hela za STK, ni sawa na Chawa akina Baba levo , mwijaku na manara huwezi waambie kuna njaa .Umepata unafuu gani katika Maisha yako? Kuna wakati humu Watu mnaleta hoja kwa kufuata mkumbo! Hali ilivyo sasa hapa Tanzania kwako ni unafuu? Au upo kwenye kundi la Walamba Asali?
Hawezi kuwa na ushahidi juu ya hili.Twende taratibu.
JPM alikopa bank gani na kiasi gani?
Mpaka sasa mama analipa kiasi gani Kwa mwezi hiyo mikopo?
Itakuwa hivyo Mkuu! Kama sivyo basi atakuwa Mtoto wa Mama, kula, kulala, hajui hata bei ya Sukari.Kizimkazi kupitia Mwigulu huoni kila siku
kaka huyu CHIEF PRIEST atakuwa high table, tunatumbukia shimoni yeye anakula hela za STK, ni sawa na Chawa akina Baba levo , mwijaku na manara huwezi waambie kuna njaa .
Acha upumbavu
Chawa asie na damu aliyofyonzaChawa wa mama[emoji848]
Hapa haya mashirika yalikuwa yanajiendesha kwa hasara at the same time yanatoa gawio feki kwa serikali.Twende taratibu.
JPM alikopa bank gani na kiasi gani?
Mpaka sasa mama analipa kiasi gani Kwa mwezi hiyo mikopo?
Umeandika nini hapa wewe mbumbumbu?
MAGUFULI ALIKOPA SANA MIKOPO YENYE RIBA KUBWAHadi umeme na maji vinakatwa kisa Magufuli kaacha madeni yasiyolipika!?
Usisema tunakufa sema nakufaUmepata unafuu gani katika Maisha yako? Kuna wakati humu Watu mnaleta hoja kwa kufuata mkumbo! Hali ilivyo sasa hapa Tanzania kwako ni unafuu? Au upo kwenye kundi la Walamba Asali?
Mimi sijawahi kuwa kwenye mifumo ya dola wala taasisi zake, niko kivyangu vyangu. Unafuu ninaozungumzia ni kutokuishi kwa hofu kama enzi za giza za yule mwovu. Na vile vile siufagilii utawala wa mama Abdul. Adui yangu ni utawala wa CCM.Kizimkazi kupitia Mwigulu huoni kila siku
kaka huyu CHIEF PRIEST atakuwa high table, tunatumbukia shimoni yeye anakula hela za STK, ni sawa na Chawa akina Baba levo , mwijaku na manara huwezi waambie kuna njaa .
Umaua kaka, hivi hii hela walizipeleka wapi au ndio KIGWANGALA kasema wamenunulia appartment Dubai?Mimi sijawahi kuwa kwenye mifumo ya dola wala taasisi zake, niko kivyangu vyangu. Unafuu ninaozungumzia ni kutokuishi kwa hofu kama enzi za giza za yule mwovu. Na vile vile siufagilii utawala wa mama Abdul. Adui yangu ni utawala wa CCM. View attachment 2891821View attachment 2891822View attachment 2891823
Sawa Chief!Usisema tunakufa sema nakufa
Dada mimi ni mtu mzima nina wake watatu kama vipi nikuoe uwe mke wangu wa nne,karibu sana kwenye maisha bora siyo unaendelea kuzalia nyumbani kwa babako .Ni
Itakuwa hivyo Mkuu! Kama sivyo basi atakuwa Mtoto wa Mama, kula, kulala, hajui hata bei ya Sukari.