CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Nyingine walipeleka China na Mauritius. Angalia hizo alizoshika mpwa wake ni dolari tupu.Umaua kaka, hivi hii hela walizipeleka wapi au ndio KIGWANGALA kasema wamenunulia appartment Dubai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingine walipeleka China na Mauritius. Angalia hizo alizoshika mpwa wake ni dolari tupu.Umaua kaka, hivi hii hela walizipeleka wapi au ndio KIGWANGALA kasema wamenunulia appartment Dubai?
Wanaume mmelala sana, hii nchi imepigwa sana. Sijui tumwamini nani!Nyingine walipeleka China na Mauritius. Angalia hizo alizoshika mpwa wake ni dolari tupu.
Wengi hawawez elewaVumilia ukweli, hili jambo tulilisema muda mrefu wakati dhalimu anasaka sifa za kijinga kuwa anafanya mambo kwa fedha za ndani, huku anaenda kukopa kichwa kichwa. Leo hii tunalipa riba kubwa, na wakandarasi wanashindwa kulipwa, kisa dhalimu alikuwa anasaka sifa.
Chawa mwendawa..........Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana
Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi kulipa mikopo aliyochukua magufuli
Miradi mikubwa aliyoanzisha magufuli imekua ni kaa la moto kwa serekali na kuweka mambo magumu serekali kwa shinikizo la kisiasa ikabidi ifanye juu na chini iimalizie huku hio miradi ikihitaji hela nyingi
Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga
Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Sikio la kufa.Tusemezane ukweli mtupu, mikopo ya kibiashara inakopwa ili fedha hiyo izunguke kibiashara, ni upumbavu mkubwa kukopa fedha kwenye mabenki ya kibiashara na kwenda kujengea madaraja na vitu kama hivyo, ni ujinga ulio mkuu kabisa, ndivyo ilivyo na yalifanyika awamu ya tano, kumbuka by any mean bank za kibiashara whenever softication they made to you, lakini maumivu utayapata na yatakuumiza, Nampa pole mwigulu lakini hakuna jinsi tulipe tu hata kidogo kidogo alimradi kote kote kuende.
Ndiyo ukweli wenyewe huo pure truth!Sikio la kufa.
Wewe ndo Waziri wa fedha?Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana
Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi kulipa mikopo aliyochukua magufuli
Miradi mikubwa aliyoanzisha magufuli imekua ni kaa la moto kwa serekali na kuweka mambo magumu serekali kwa shinikizo la kisiasa ikabidi ifanye juu na chini iimalizie huku hio miradi ikihitaji hela nyingi
Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga
Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Wewe ndo Waziri wa fedha?Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana
Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi kulipa mikopo aliyochukua magufuli
Miradi mikubwa aliyoanzisha magufuli imekua ni kaa la moto kwa serekali na kuweka mambo magumu serekali kwa shinikizo la kisiasa ikabidi ifanye juu na chini iimalizie huku hio miradi ikihitaji hela nyingi
Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga
Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Huu mjadala hauhitaji hasiraWewe ndo Waziri wa fedha?
Kiherehere tu
Wewe ndo Waziri wa fedha?
Kiherehere tu
Achana na vithread vya kijinga kwani nani hakopi.Acha kuchafua mtu ambaye hawezi kujibu wala hasikii upuuzi wenuKwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana
Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara
Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa
Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda
Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga
Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli
Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Nenda kanywe maji upepewe na feniAchana na vithread vya kijinga kwani nani hakopi.Acha kuchafua mtu ambaye hawezi kujibu wala hasikii upuuzi wenu
Hoja hujibiwa kwa hoja siyo vijimaneno na matusiAcha upumbavu
Umeongea kitu kikubwa sana ambacho watu wengi hawakijui, Mimi si mshabiki wa CCM ila niseme kiukweli kama siyo Plan za mama Tanzania tulikuwa tumekwisha. Hali hii ngumu ya uchumi kwa sasa ingekuwa mara kumi zaidi hivi sasa kama mwenda zake angekuwepo, kwani alishafukarisha wafanya biashara wote wakubwa kwa wadogo, Deni hili la taifa limeongezeka kwa kasi sio kua mama Anakopa sana ila ni madeni na pesa tulizokopa Kw kausha Damu. Nimpongeze mama kwa kiasi fulani kwa hatua alizo chukua lakini bado anapaswa kukaa chini na kusugua kichwa kwa kina. Pia ahakikishe anapata muafaka na wapinzani kwani wanaweza wakamchafulia na kuanza kumanga manga, kwani hali kwa ujumla kwa sasa siyo kabisa, Watanzania wanataabika ile mbaya.Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu
Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara
Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa
Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda
Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga
Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli
Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Kumbe. Ndo maana dish limeyumba. Wamekuchanganya mpaka unaongelea vitu visivyo na kichwa wala miguuDada mimi ni mtu mzima nina wake watatu kama vipi nikuoe uwe mke wangu wa nne,karibu sana kwenye maisha bora siyo unaendelea kuzalia nyumbani kwa babako .
Ila binadamu viumbe wa ajabu. Mnaridhishwa na nini? Leo hii kilio cha foleni zisizoisha,kimeisha. Sasa madaraja ndo yamekuwa shida. Kwa hiyo,aliyekopa hakujua atalipaje?Tusemezane ukweli mtupu, mikopo ya kibiashara inakopwa ili fedha hiyo izunguke kibiashara, ni upumbavu mkubwa kukopa fedha kwenye mabenki ya kibiashara na kwenda kujengea madaraja na vitu kama hivyo, ni ujinga ulio mkuu kabisa, ndivyo ilivyo na yalifanyika awamu ya tano, kumbuka by any mean bank za kibiashara whenever softication they made to you, lakini maumivu utayapata na yatakuumiza, Nampa pole mwigulu lakini hakuna jinsi tulipe tu hata kidogo kidogo alimradi kote kote kuende.
Nani kakudanganya foleni zimekwisha? Au utembei mijini?ispokuwa endapo haya madaraja yasingekuwepo hali ingekuwa mbaya kweli, hatulalamikii ujenzi wake tunalalamikia formula ya upatikanaji wa fedha za ujenzi wa madaraja hayo, kuliko kuiumiza serekali ni heri yangejengwa kwa PPP.Ila binadamu viumbe wa ajabu. Mnaridhishwa na nini? Leo hii kilio cha foleni zisizoisha,kimeisha. Sasa madaraja ndo yamekuwa shida. Kwa hiyo,aliyekopa hakujua atalipaje?
Au aliyekaimu ndo hajui mbinu za kulipa! Maana tujuavyo,kiongozi wankweli hawezi kulalamika kwamba nilikuta deni lilishachukuliwa!