Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

Ila hii nchi kuna watu wanapaswa wakatwe vichwa ndo tusonge mbele kama huyu mleta uzi

Kwa hiyomatatizo ta sukari kupanda ni Magufuli? Umeme ni magufuli? Shida ya kupanda gharama za maisha ni magufuli
Zitto aliwahi kuyaongea haya kitambo, "we shall pay the price later" ndiyo yanayotokea sasa, tumshukuru sana mama Samia kwa upeo wake wa ajabu na kipekee kwa" quickly economy recovery "uchumi ulikuwa unakwenda kuanguka kifo cha mende!,.....
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Tatizo kajifia katuachia msala.Ilitakiwa awe hai Ili Wanyonge waisome namba vizuri.

Zile tozo mlizolalamikia Samia ni kwamba zilianzishwa na Mwendazake maana Bajeti ya Nchi Huwa inaandaliwa mwezi Desemba Hadi February.

So Samia anachukua Kijiti Kila kitu Kiko tayari,zinapitishwa msala unakuja kumuangukia.

Na Jiwe ambavyo alikuwa hajui kutafuta pesa Bali anatumia Nguvu saizi watu wangenyooka na hakuna wa kukenua.

Mitikisiko ya Dunia ambayo Tzn imeoigia Jiwe angekuwepo aisee saizi Nchi sijui ingekuaje.

Mwisho alichukua mikopo mikubwa ya kibiashara kujengea reli na bwawa ambayo Ina mature ndani ya miaka 3 -5 matokeo yake Sasa hivi pesa zinaishia kulipa Madeni.

Samia amekopa sana tuu lakini mikopo yake Mingi ni ya masharti nafuu itakuja kuiva miaka 15 plus huko wakati Nchi imeshajipanga vyema.

Mwisho mamiraei yenyewe hakuna Cha maana yatasaidia Kwa maskini sana sana itazidi kuleta hasara tuu.
 
Umeongea kitu kikubwa sana ambacho watu wengi hawakijui, Mimi si mshabiki wa CCM ila niseme kiukweli kama siyo Plan za mama Tanzania tulikuwa tumekwisha. Hali hii ngumu ya uchumi kwa sasa ingekuwa mara kumi zaidi hivi sasa kama mwenda zake angekuwepo, kwani alishafukarisha wafanya biashara wote wakubwa kwa wadogo, Deni hili la taifa limeongezeka kwa kasi sio kua mama Anakopa sana ila ni madeni na pesa tulizokopa Kw kausha Damu. Nimpongeze mama kwa kiasi fulani kwa hatua alizo chukua lakini bado anapaswa kukaa chini na kusugua kichwa kwa kina. Pia ahakikishe anapata muafaka na wapinzani kwani wanaweza wakamchafulia na kuanza kumanga manga, kwani hali kwa ujumla kwa sasa siyo kabisa, Watanzania wanataabika ile mbaya.
Moja ya mambo ambayo nashukuru ni Magufuli kutokaa miaka kumi kama angekaa miaka 10 damage kwenye uchumi ingekua kubwa sana
 
Mikopo mingi ni miaka 10 kuendelea, kuanzia mwaka 2030 huko lazima watu walimie meno, jamaa alikopa sana, akawa anaongopea fedha zetu.

Mwigulu naye anakopa kwa spidi ya Boeing 787 .
Bora ingekuwa hata miaka 10,mikopo ya kibiashara kwenye Mabenki ni miaka 3 -5,ukipata wa miaka 10 ni nafuu.

Bora Mwigulu anakopa mikopo ya mda mrefu wa miaka 15 Hadi 30
 
Kuna Watu wanahangaika sana kuhalalisha uozo uliopo kwa kumsingizia Hayati, wanaleta vitu ambavyo hata ushahidi hawana..

Siku za mwanzo Umeme unasumbua, wakaja na hoja kwamba mitambo ilikuwa haifanyiwi ukarabati enzi za Hayati, saa hizi tena tunaambiwa Maji yamepungua kwenye Mabwawa ya kuzalisha Umeme, Wanatuona sisi ni Wajinga wa kudanganywa kila leo.
Na mvua ikinyesha wanasema maji hayatiririki kuelekea yalipo mabwawa
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Mmeanza uongo mwacheni Magufuri apumzike kazi alishafanya ila ninyi nchi imewashinda.
 
Watu wenye akili ndogo hawawezi elewa Magufuli alizingua sana
Kama mtu mwenye akili nyingi anashuhudia umeme kuktwa hovyo bila mpango, watu kufisadi fedha za umma bila uoga na rushwa kukithiri, miradi haina mwelekeo, sukari kupandishwa bei bila utaratibu inshort hamna muongozo wowote zaidi ya kumtesa mwananchi wa hali ya chini. Kama mtu mwenye akili ataona haya yote ni sawa basi atakuwa mbumbumbu wa mwisho na lofa kabisa kumponda Magufuli.
 
Kama mtu mwenye akili nyingi anashuhudia umeme kuktwa hovyo bila mpango, watu kufisadi fedha za umma bila uoga na rushwa kukithiri, miradi haina mwelekeo, sukari kupandishwa bei bila utaratibu inshort hamna muongozo wowote zaidi ya kumtesa mwananchi wa hali ya chini. Kama mtu mwenye akili ataona haya yote ni sawa basi atakuwa mbumbumbu wa mwisho na lofa kabisa kumponda Magufuli.
Ila uzi hauhusu hayo uliyoyasemea kwanini usijikite kwenye mada ya uzi
Hakuna sehemu nimeongelea umeme au changamoto nyingine
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Wewe unahisi ungewai kuwa na akili kuliko Magufuli?
Yakwenu yamewashinda; kazi kupambana na Hayati.Fanyeni kazi nanyie mtasifiwa na kupendwa dunia nzima.

Kwanza siyo visibility study.
 
Ila uzi hauhusu hayo uliyoyasemea kwanini usijikite kwenye mada ya uzi
Hakuna sehemu nimeongelea umeme au changamoto nyingine
Mada gani wewe,unataka watu wakupongeze wakati unachapia?Wewe yanayofanyika leo unaona sawa??
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili

Katika andiko lako, unetumia hisia na mihemko bila kutumia akili.
Tulitegemea tuone
1. Benki gani binafsi alikopa.
2. Riba ilikuwa kiasi gani.
3. Muda wa kurejesha mkopo una urefu gani.
4. Kiasi alichokopa ni shs ngapi.
5. Concessional loans wanakopesha kwa riba kiasi gani.
6. Nk.
Bila kuainisha mambo kama haya utakuwa unafukuza upepo tu na kupiga ngumi hewani.

Pia faida kwa mabenki haiathiri mzunguko wa fedha kama ulivyokuwa unasema. Kwa taarifa yako, sasa kuna mzunguko wa fedha mkubwa sana hivi kwamba BoT imetoa sera ya udhibiti.
 
Kuna Watu wanahangaika sana kuhalalisha uozo uliopo kwa kumsingizia Hayati, wanaleta vitu ambavyo hata ushahidi hawana..

Siku za mwanzo Umeme unasumbua, wakaja na hoja kwamba mitambo ilikuwa haifanyiwi ukarabati enzi za Hayati, saa hizi tena tunaambiwa Maji yamepungua kwenye Mabwawa ya kuzalisha Umeme, Wanatuona sisi ni Wajinga wa kudanganywa kila leo.
Wameshindwa kazi; wanakuwa ni visingizio kila siku.
 
Zitto aliwahi kuyaongea haya kitambo, "we shall pay the price later" ndiyo yanayotokea sasa, tumshukuru sana mama Samia kwa upeo wake wa ajabu na kipekee kwa" quickly economy recovery "uchumi ulikuwa unakwenda kuanguka kifo cha mende!,.....
Chawa kwenye ubora wenu, hata hivyo mna hali mbaya kiasi kwamba mnashindwa kumtetea boss wenu
 
Back
Top Bottom