Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Za serikali hazijengwi kwa kodi yako? kama ni hivyo kwa nini utake hospitali za kimisheni peke yake zitoe huduma bure kwa sababu tu serikali inachangia uendeshaji wake?

Amandla...
Sasa hicho ninachochangia kwenye Kodi kwa nini nije nichangie tena??
 

Ndiyo Civic uliyosomeshwa kanisani hiyo ? Yaani kampuni ya simu kwa mfano Tigo ya Waswedish ipewe pesa na Mtanzania kuendesha kampuni ya simu ? 😝😝😝
Hujajibu swali kwanini serikali itoe pesa kuendesha hospitali Za kanisa halafu sisi tuendelee kulipa tena huduma ?
 

Sasa maswala madogo kama hayo hauyajui ,je makubwa ya MOU ya TEC na GOT utayajua?
 
Ni kweli kabisa 100% na si kanisa tu pia marais wastaafu waislamu, mzee mwinyi, JK na huyu Samia na mawaziri waislamu waliowhai kuwa mawaziri wa afya kama Ummy Mwalimu na Hussein Mwinyi wanatakiwa wajibu kwa nini hawakufuta MOU hii.
 
Ujanja ujanja tu huo kama wa sungura.Na itakuwa hukusoma hayo malalamiko yote.Umeambiwa viongozi wa kanisa wamewahi kulalamika mikutanoni na pia kuandika barua kulalamika kwanini serikali inajenga hospitali maeneo yao.
 
Karibu uendelee kutibiwa na wanao waendelee kupata elimu bora.

Leo Ndiyo serikali inahimiza ujenzi was zahanati za Kijiji, ushajiuliza hawa watu walikuwa wanatibiwa katika hospital zipi. Na hata leo wakikosa matibabu wataenda wapi kutibiwa . Ni ktk hospital za misheni sababu Hiyo ya serikali haipo na km ipo haina dawa, wahudumu wala vifaa tiba.

Uislam unajaza watu Ujinga kichwani Sana.
 
Kama serikali inafuata ushauri kama huo basi ni heri.Chukueni kila hospitali munayoona ni ya kwenu hata ikiwa si kweli lakini baada ya hapo MOU ife na muendeshe wenyewe na wengine waendeshe wenyewe.Ardhi Tanzania ipo na watu kila siku wanajenga maeneo mapya.
 
Dp world anaahidi kujenga misikiti. Ntaenda kutibiwa msikitini.

Amkeni toka usingizini.

Nikimsikia muislamu analalamikia vitu km hivi nachekaga Sana.

Wakristo wanajenga kanisa sambamba na shule na hospitali. WENZANGU mmekalia majungu tu. Msikiti siyo maendeleo.

Pigeni kelele sababu Ni wajinga Sana nyie baadhi ya Muslims.
 
Hiyo yote ni kutapatapa ili kutaka kupoteza hoja ya Samia kusaini mkataba wa kifisadi na DpWorld!! Kama mna hoja na mikataba mingine mje nazo baada ya kumalizana na Samia na sio kutaka kuwandoa watu kwenye hoja ya KITAIFA ya kulinda rasilimali za nchi kwa faida ya vizazi vijavyo!!
 
Hayo ni maneno ya mtu aliyefaidika na uwekezaji wa makanisa , halafu wivu unamjaa moyoni na kufurika.
 
Hayo ni maneno ya mtu aliyefaidika na uwekezaji wa makanisa , halafu wivu unamjaa moyoni na kufurika.
Huu ni uamuzi wa busara na wa kuepusha shari.Chukueni hospitali zote munazosema ni za kwenu na zilizojengwa kwa kodi zetu sote halafu MOU kufutwa musiingilie uhuru wa kujenga.Hapo zamani wahindi walitaifishiwa mali zao na wengi wakakimbia ilikuwaje.Majumba muliyoyafanyia choyo mbona yamebaki magofu.Na hospitali zenu bila MOU nazo zitakuwa magofu.
 
Mimi sijauona huo mkataba .

Ila nitachangia kama ifuatavyo , je kwenye huo mkataba kuna sehemu imekataza waislamu kujenga hospitali?

Maana kwa ulivyoandika ni kuwa serikali ndio ilikatazwa ila hakuna katazo kwa waislamu so waislamu ruksa kujenga.
 
Mkuu utaugua tu, zikirudishwa , halafu itabidi ulipie gharama full 100%
 
Napenda sana viongozi wa madhehebu ya kikristo
Ni watu makini wana elimu ya kawaida na elimu ya dini
Na ata nyie mashia mnaruhusiwa kujenga hospitali na kuingia mkataba na serikali kama kanisa lilivyofanya.
Hapana, hatutaki dini ichanganywe na serikali.

Wangekuwa na elimu wangebanduana?
 


Samia kosa lake nini?

Au wema wake ndiyo kosa lake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…