Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Wewe shida yako ni Uislamu ambao umeshindwa kufanya cha maana kwa watanzania labda kufundisha madrasa tu.

Wakristo wana vyuo vikuu zaidi ya 20, sekondari zaidi ya 500, mahospitali na vituo vya afya tele. Waislamu kazi kubwa kupiga mbinja na ueneza ugaidi.

Miaka ya 90 kulikuwa na wimbi la uchomaji wa shule za makanisa nchini hasa kule Moshi ambapo wachomaji waliokamatwa wote walikuwa waislamu! Hayo ndio matunda ya Uislamu hakuna jingine, wakristo wanafanya maendeleo waislamu wanaharibu.

Suala la bandari limeutia Uislamu aibu kubwa sana na viongozi waislamu wameonesha uwezo wao wa kuuza rasilimali za nchi kwa waarabu. Uislamu ndio tatizo kubwa dunia hii na kwa wewe mtoa mada. Nakushauri uachane na utumwa huu!
Sio kweli waislamu wanazo hospital,vyuo,mashule,ni wewe tu usiye na maarifa hujui kama vipo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unajua Kanisa linaidai sirikali vyuo na shule ngapi ambazo Nyerere (mkatoliki mzuri) alitaifisha miaka ya 60 kwa lengo moja tu la kuwaokoa waislamu wasije wakaachwa nyuma mno na wakristo kimaendeleo? Unajua historia hiyo?
Shule za waislamu pia zilitaifishwa nyingi tu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mnashangaa hospitali za kanisa kuwalipisha wananchi gharama za huduma, lakini hamshangai serikali inayochukua kodi na tozo toka kwa mwananchi huyo huyo bado analipishwa gharama za huduma.

Kama mnaona hizo hospitali za kanisa gharama ipo juu, nani aliyewalazimisha muende huko? au aliyewakata msiende pengine? tatizo hapa sio serikali wala kanisa, ni ujinga wenu wenyewe.

Kwanza mna hakika hizo pesa za kusaidia huwa wanatoa zote kwa makanisa kama walivyokubaliana? serikali huwa haitoi pesa zote, ni hayo makanisa ndio yanajiongeza ili kufidia pengo la gharama linalojitokeza.

Mwisho, bandari zetu watanganyika mtazitema tu, msituletee ujinga wa udini ili kukwepesha malengo, hakuna anayedanganyika, mkataba wa hovyo wa bandari lazima uvunjwe, hatuwezi kugeuzwa watumwa ndani ya nchi yetu.
Huna hoja

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Lengo la serikali kuingia mikataba na makanisa kwasababu hospitali nyingi zilikuwa za Misheni(Missionaries) lilikuwa ni lengo zuri sana , waarabu walivyokuja walijenga masinagogi tu ,kwakuwa mzungu alikuwa na akili nyingi alijenga shule ,hospitali na makanisa akawapiga bao waarabu.(ambao walijenga misikiti tu).

Waislam wengi walisoma shule za misheni na kubadili majina ,hata JKIkwete alisoma shule za kikristo.

Kwahiyo serikali kuwalipa TEC kwasababu ya kutumia miuondombinu yao siyo tatizo ,kama waislamu wanaona nongwa basi na wao wajenge hospital nao wapate fedha.
Sio kweli zipo hospital na mashule ya kiislam,Bakwata peke ake ina shule za secondary karibia 60.Mbali na waislamu wengine kama Agha Khan(-Ismail Islamic Community),hospital ya Agha Khan ya mwanzo ilijengwa 1964,mbali ya shule na vyuo vya jumuia hii ya uislamu..Bado Direct Aid,bado Istiqama.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Akili za wazungu ndio hizo hizo za kanisa,kufisidi vya wenzao halafu kufanya vya kwao ndio mwisho wa kila kitu.Wazungu wana akili gani kuwazidi waislamu.
Kwa mara ya mwanzo walipokuja ukanda wa Afrika mashariki walishangaa kuona waislamu wako mbali sana wana madrasa zilizoenea kila sehemu(Kumbuka madrasa zilifanya kazi inayolingana na shule).Walikuta watu wanajua kusoma na kuandika na ilibidi wawatumie waislamu kukushanya kodi wakiandika kwa herufi za kiarabu. Mara walipojiimarisha kifedha wazungu chini ya ukristo wakawapiga chini waislamu.Hali ni hiyo hiyo wakati wa siasa za kupigania uhuru.
Waislamu waliposoma shule za misheni ilikuwa ni katika tabia zao za kupenda kujifunza na kufuata kuliko na haki zao hata zikiwa mbali.Ilibidi wafanye hivyo baada ya kunyang'anywa vyao na wazungu kwa hila Sio kwamba walifanya kwa kupenda.
Huu ndio ukweli.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
Hiyo biashara wakristo walizo pendelewa wengine hawaruhusiwi kufanya mpaka waulizwe hao wakristo au ipoje hiyo
 
Sasa hicho ninachochangia kwenye Kodi kwa nini nije nichangie tena??
Swali liko pale pale. Je unatibiwa bure katika hospitali za serikali? Au nako hulipi kwa sababu zinajengwa na zinaendeshwa kutokana na kodi yako na misaada kutoka kwa mabeberu?

Amandla...
 
Ujanja ujanja tu huo kama wa sungura.Na itakuwa hukusoma hayo malalamiko yote.Umeambiwa viongozi wa kanisa wamewahi kulalamika mikutanoni na pia kuandika barua kulalamika kwanini serikali inajenga hospitali maeneo yao.
Usiyeelewa ni wewe. Wao walishangaa kwa nini serikali inajenga hospitali ambapo tayari kuna hospitali inayochangiwa na serikali. Hospitali za serikali hazijawahi kuwa tishio kwa hospitali za misheni.

Amandla...
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
mbona umeishia kwa waziri mkuu je Raisi na makamu wa Raisi nao walikuwa wakristo, punguza mihemko, tafakari kwanza kabla ya kuandika.
 
Huu ni uamuzi wa busara na wa kuepusha shari.Chukueni hospitali zote munazosema ni za kwenu na zilizojengwa kwa kodi zetu sote halafu MOU kufutwa musiingilie uhuru wa kujenga.Hapo zamani wahindi walitaifishiwa mali zao na wengi wakakimbia ilikuwaje.Majumba muliyoyafanyia choyo mbona yamebaki magofu.Na hospitali zenu bila MOU nazo zitakuwa magofu.
Hapa ndio panaonyesha kuwa haujui unachozungumzia. Hospitali zilizomo katika MoU hiyo hazikujengwa na serikali. Hospitali ya Bugando ilijengwa na wakatoliki na ya KCMC ilijengwa na waluteri. Makanisa hayo ndio yalikuwa yakiziendesha hizo hospitali kabla ya serikali kuzitaifisha. Ni baada ya serikali kuzigeuza magofu ndio ikataka kuzirudisha kwa wale iliyowapokonya. Masharti ya wamisheni kuzipokea ndio yapo kwenye hio MoU.

Amandla...
 
Mwenyekiti wa chama haongei na hasemi chochote.

Mama aliyeachiwa mji haongei na hasikiki popote.

Watoto na wazee wadogo na akili wanazurura mitaani wakimtetea mama watoto.

Chama hakina mwenyewe na watoto wa baba mwenye mji wamebakia yatima na Mali alizoziacha baba mama anakula na wababa wengine.
 
Hapa ndio panaonyesha kuwa haujui unachozungumzia. Hospitali zilizomo katika MoU hiyo hazikujengwa na serikali. Hospitali ya Bugando ilijengwa na wakatoliki na ya KCMC ilijengwa na waluteri. Makanisa hayo ndio yalikuwa yakiziendesha hizo hospitali kabla ya serikali kuzitaifisha. Ni baada ya serikali kuzigeuza magofu ndio ikataka kuzirudisha kwa wale iliyowapokonya. Masharti ya wamisheni kuzipokea ndio yapo kwenye hio MoU.

Amandla...
Uongo mtupu. Serikali haikuwahi kutaifisha hospitali yoyote. Weka ushahidi kama u mkweli weka ushahidi. Zingetaifishwa za Aga Khan kwanza.
 
Hapa ndio panaonyesha kuwa haujui unachozungumzia. Hospitali zilizomo katika MoU hiyo hazikujengwa na serikali. Hospitali ya Bugando ilijengwa na wakatoliki na ya KCMC ilijengwa na waluteri. Makanisa hayo ndio yalikuwa yakiziendesha hizo hospitali kabla ya serikali kuzitaifisha. Ni baada ya serikali kuzigeuza magofu ndio ikataka kuzirudisha kwa wale iliyowapokonya. Masharti ya wamisheni kuzipokea ndio yapo kwenye hio MoU.

Amandla...
Umesoma lakini kilichoandikwa mwanzo kuhusu malalamiko ya kanisa?.soma tena
Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.
Sasa askofu Mndolwa hakuwa akizungumzia habari za Bugando. Alikuwa akitetea kuingiliwa majimboni mwao.
 
Umesoma lakini kilichoandikwa mwanzo kuhusu malalamiko ya kanisa?.soma tena
Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.
Sasa askofu Mndolwa hakuwa akizungumzia habari za Bugando. Alikuwa akitetea kuingiliwa majimboni mwao.
Wewe unaona akili serikali kujenga hospitali nyingine sehemu ambapo ipo, na kuacha kujenga pasipo na hospitali?
 
Swali liko pale pale. Je unatibiwa bure katika hospitali za serikali? Au nako hulipi kwa sababu zinajengwa na zinaendeshwa kutokana na kodi yako na misaada kutoka kwa mabeberu?

Amandla...
Hawa viumbe wana chuki na hasira za kimaskini tu, kwao ni bora tukose wote, badala yao kujenga hospitali zao waisaidie serikali kuipunguzia mzigo kwa kuongeza vituo vya afya maeneo tofauti nchini.

Wana thinking ya kimaskini kabisa, wanajaribu kuificha lakini hata haifichiki, kwa mwerevu atawatambua upesi sana.
 
Uongo mtupu. Serikali haikuwahi kutaifisha hospitali yoyote. Weka ushahidi kama u mkweli weka ushahidi. Zingetaifishwa za Aga Khan kwanza.
Faiza unataka ushahidi upi? Kama hazikuitaifisha kwa nini serikali walirudisha hospitali za Bugando na KCMC? Serikali ilichagua hospitali za kutaifisha.
Serikali haikutaifisha hospitali zote. Haikutaifisha Hindu Mandal ya wahindu. Haikutaifisha Aga Khan ya wa shia. Sidhani kama walitaifisha za Peramiho, Kipatimu, St. Walburg Nyangao na nyingine. Hiyo ya Nyangao ilianza 1958 watawa wa Benedictine. Inawezekana iltaifisha za wamisheni kwa sababu zilikuwa kubwa na nyingi. Hizi AgaKhan na Hindu Mandal hazikuwa hivyo miaka ya 1970s.

Haya tuanze na hospitali ya Bugando.

Hiki ni sehemu ya historia ya Bugando iliyopo kwenye hiyo link.

History[edit]​

This hospital was built by the Catholic Church between 1968 and 1977. It was officially opened on 3 November 1971, by Tanzania's founding president, Julius Nyerere. In 1972 the Hospital was nationalized by the Government. However, 13 years later, it was handed back to the Catholic Church in Tanzania, with the understanding that the hospital be run as a regional referral hospital for the Lake Zone, spanning 8 of Tanzania's 31 regions (total population 14 million in 2017), with the collaboration of the Government of Tanzania.[1]

Kuhusu KCMC

Kilimanjaro Christian Medical University College is situated 4 kilometers north of Moshi Municipality on the slopes of the snowcapped Mount Kilimanjaro, Tanzania.

In the early 1960s, the government of the then Tanganyika called upon the Christian Churches in the country to establish a referral and teaching hospital for the Northern Zone. Under the leadership of the Lutheran Church, Anglican and Moravian Churches in Tanganyika established the Good Samaritan Foundation (GSF) which planned and raised money from both local and overseas partners to build and equip the Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) for service, teaching, and research. The KCMC was opened in March 1971 after completion of the hospital buildings and was immediately taken over by the Tanzania Government. It was, however, handed back to the GSF in August 1992. The changes in Government policy to liberalize the economy and provision of social services rekindled the desire for higher education within the circles of the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT). In 1993 the Executive Council of the ELCT decided to establish a Lutheran university, “Tumaini University,” comprising, among others, The Kilimanjaro Christian Medical College.

Uongo haukupendezi Faiza ukiwa ni binti wa kiislamu.

Amandla...
 
Pamoja na madudu ya mkataba wa bandari lakini ukweli usemwe, Huu mkataba wa Kanisa na serikali ambapo serikali imegeuka mtoa mtaji wa biashara za kanisa ni upendeleo wa wazi kinyume cha katiba inayokataza upendeleo kwenye matumizi ya resources za nchi.

Laiti huu mkataba ungekuwa ni kati ya serikali na taasisi za Kiislamu Kanisa lisingekubali

Kibaya Zaidi Kanisa halitaki serikali ijenge hospitali zake yenyewe mahali ambapo kanisa tayari lipo ili liendelee kutumia kodi za wananchi wote kustawisha baishara zake za huduma za afya. Hii ni kujaraibu kuinyang'anya serikali kuexert mamlaka ya sovereignty katika nchi kitu ambacho hakikubaliki.
Na hizi je
👇👇👇
 
Back
Top Bottom