ASA mtu km Koffi Annan yule alivyokua na pesa nae walimuweka kin Psquare pia mama Yao alikaa km miezi hiviWengi ni kuweka mazingira ya nyumbani vizuri. Kuna ambao kipindi hicho ndio wanajenga au kukarabati nyumba.
Kaahh...Yaani wale kunaufaisha watu yeye mda huo kafa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dunia Ina mambo sanaHuwa ni sherehe na kuna mgeni rasmi wakati wa mazishi. Kwa kawaida hapo ndipo inaonesha mtu aliyekuja alikuwa na utajiri kiasi gani. Waghana unaambiwa huwa anakula kwa shida na anatunza fedha itakayotumika katika kuomboleza Kifo chake
Joannah[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unakua motivated kufaaaUsisahau kuangalia Google na majeneza yao,Ni disaster!...kifo kimerahisishwa Sana huko Hadi mtu unakuwa motivated kufariki[emoji16]
😂😂😂😂Acha kabisa sio kwa maparty Yale na majeneza poshposh!Joannah[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unakua motivated kufaaa
Nimetoa mfano huo kutoka West AfricaPi skwea nao ni Ghana?
Kila jumuia ina vitu ambavyo wasio wanajumuia wanavishangaaKaahh...Yaani wale kunaufaisha watu yeye mda huo kafa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dunia Ina mambo sana
Ahsante Kwa elimu
Hili ni jambo la kawaida mno kwa tribes za nchi za west Africa; the earliest they can go huwa ni siku 30Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Kuna sababu kubwa sana ya kimila na sio hizi wanazodai kwamba wanaandaa sherehe.West Africa ndo kawaida Yao dear misiba inakaa mwezi na kitu hivi nadhani wanaangalia nyota pia kutoka kwenye Mila zao hata yule katibu WA UN Koffi Annan alikaa karibu mwezi sijuii ndo akazikwa na wanaheshimu mnoo mila zao
Kwani biblia zinasemaje kuhusu siku za kuzikwaBaba yako alikuwa chifu wa kijiji. Ila hizi mila hizi
Hawa sindio wale wanacheza na jeneza kwa mbwembwe zoteHeri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.
Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu.
Nimeshangaa sana inakuwaje Mtu amefariki 17 October 2022 halafu aje azikwe January 28, 2023 maanake alikuwa mortuary tu? Na muda wote huo mambo mengine yote yalikuwa yanaendelea kama kawaida. Hawa wanachukuliaje kifo? Je, ni sherehe kwamba watu wapate muda wa maandalizi au?
Hii mila ya Waghana ya ajabu sana.
Sambeke alisimamisha mkoa wa kilimanjaroGhana nchi au waghana kitu gani
Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo ?
Hapa Tanzania watu wanamaliza mwezi inategemea Ni Nani
Mzee wangu alikaa 3weeks na siku mbili mochwari Kisha akasafirishwa kijijini kwao alikaa Tena siku tatu watu wanaaga tu kifupi msiba tuliuzoea kabla hajazikwa tulishaona Ni kawaida sasa labda machungu yanakuja wakati mnamzika Tena ..nilikuwa Sina kauli kulingana na ukubwa wake Mimi au kaka zangu au wake zake aliowahi zaa nao hawana kauli kazi yao kupewa ratiba tu ..kila kitu Kiko planned na wausika japo sisi ndo wafiwa