Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Kwani kijungu haujui ...Soma hukumuHabari hii ni ya Ukweli au ni kisa cha kutunga ili kuwatoa Watu kwenye reli?
Ni kweli kwamba hiyo ndiyo sababu iliyopelekea mauaji ya huyo mtu au wewe umetumwa ili kuwapoteza Watu maboya?? Just a spining propaganda?
Mkuu inbox tunatafuta nini??Nilichogundua, Dayfath hakunogewa na kusagwa Tu, pia pesa...hadi Milembe anauawa mtaji wa biashara ya kukopesha kwa riba sh. 20mil. alikuwa nazo yeye,
Pia Dayfath alikuwa smart kidogo maana baada ya jaribio la kumuua "the King" mara ya Kwanza kushindikana kutokana na mazingira, aliwaamwambia mmoja WA wauaji aombe lift kwa Milembe wakati Milemba akitoka Mwanza kwenda Geita na humo ndani ya gari adanganye kuwa yeye ni mganga wa kienyeji ambaye huwapa zindiko wachimbaji WA madini (dhahabu na uganga ni kama kulwa na doto) na mlengwa alielewa na yeye akanasa kwenye mtego na kuomba naye afanyiwe zindiko kwenye mradi wake WA ujenzi....
Siku anaenda site kufanyiwa zindiko ndipo majamaa 'waganga' wakamkata mapanga
(nimeyasoma kwenye ukumu) Kama unataka kujifunza kusoma kwa speed kubwa, Pg 200 kwa Sana moja njoo inbox nikupe mbinu!
Buraza .... Hata sisi tuliosoma Shule za vidumu mifagio na mbolea mbona tumesoma hukumu fresh tu... Kama hamumuamini msimulizi kasome hukumu mwenyewe..... Au kiingereza ni Cha " I TEAR MY HAIR " YAANI "NIMECHANA NYWELE ZANGU".... kama kiingereza mgogoro sema tumuite Mwenyekiti awapatanishe na kiingereza muelewane.Hivi unajua kuwa ukiwa una hadithiwa story ya kweli ubongo automatic unakuwa unajua kuwa hii ni kweli lakini kwa hii story yako ni kama una TUNGA TUNGA tu kwa vile majina ya watuhumiwa unayo basi na wewe unatambaa na CHAKI {in kashasha voice }ππππππ
Hapa tutavuluga mada hii...Mkuu inbox tunatafuta nini??
Wewe tufundishe hapa Watanzania wenzako nasisi tuwe wakali kwenye usomaji.
Natanguliza shukrani.
Kuna Wachawi wanakuona na kuwaambia Polisi.ππ¨πͺπΏWatu tunapaswa kujua kuwa ukifanya uhalifu mkubwa kama mauwaji ni lazima ujulikane na kukamwatwa.
Hata ukifanya usiku wa manane bila kumshirikisha
mtu.
Kuna Wachawi wanakuona na kuwaambia Polisi.
Cc MshanaJR, π
Dear Nifah, Sisi wazazi ni wabinafsi sana, tukishaipata starehe yetu ya kijinga tunaingβangβania bila kufikiri watoto wetu watajisikiaje siku wakiujua uchafu huo.Darling! Nimeumia kwa ajili ya huyo mtoto jamani!
Hizo nguvu tutoe wapi Wazee ππ€£π€£π€£ Imeshindikana aisee, utashangaa tuition napigwa Mimi π
Ni sahihi Mkuu hii ni changamoto.Hapa tutavuluga mada hii...
Kuna kitabu nitawapa kinafundisha jinsi ya kusoma kwa speed...
Elimu yetu Tanzania ni shida Sana, unamaliza chuo kikuu bado "unasoma kwa kutamka kimoyomoyo neno kwa neno"
π€£π€£π€£ Haya bhana... sikuhizi sijui wanaume wamekuwaje? Umri unavyokwenda mbele ndo wanazidi kuwa wakakamavu kwenye mambo yetuπ€¦πHizo nguvu tutoe wapi Wazee π
Hata kama tunatenda dhambi, Mungu atusaidie tusifike hukoTunaumiza sana watoto. Watoto wataishi na maumivu maisha yao yote.
Imagine mtoto kukua akiwa anajua mama alikuwa anatembea na KE mwenzie au baba alikuwa anatembea na ME mwenzie!
π€£π€£π€£π€£Huyo ndiyo hataki kabisa Wazee, anasema katikati ya safari hawezi kukumbuka kunipa dawa zangu za Presha, maana atakuwa kwenye Dunia nyingine muda huo π
Hahaha...........itakuwa uzoefu na mbinu ndiyo vinatumika wakati huo.π€£π€£π€£ Haya bhana... sikuhizi sijui wanaume wamekuwaje? Umri unavyokwenda mbele ndo wanazidi kuwa wakakamavu kwenye mambo yetuπ€¦π
Tuoneeni huruma Wazee π€π€£π€£π€£π€£