Yeah na mimi nikamrekebisha na kumpa ushauri ninaouona kuwa ni mzuri kwake.Naona yeye ametaja mtaji wake tu huenda kutokana na ujuzi duni juu ya biashara husika ameitaja kama bajeti ?
Hiyo ni minimum, chini ya hapo itakuwa ni grocery.nakubali, ila sio kila eneo litataka hio hela
Alafu anasema afungue bar aweke wahudumu wa3, hivi anajua anachokiongea kweli huyu?? Ili bar iuze inahitaji wahudumu wa kutosha hapa namaanisha bila kuweka wahudumu utatafuta san waganga yaan utachelewa sana! Labda kam unaingia kujaribu biashara! Kuna bar moja Maarufu Mbey niliwahi kwend ina wahudumu 70 inawez kuwa si kweli lakin yule jamaa anauza vibaya mno yaan ukifika saa 2 usiku hamna pa kukaa😂😂😂😂😂Namaanisha budget haielezewi kihivyo. Au wewe unaona kuwa hiyo aliyoielezea ni budget?
Kuanzisha Bar at least awe na 30m.
Japo inategemea na location, bei zako na weledi wa kutafuta wateja na mahusiiano, (networking and communication skills)Hili ni jibu sahihi, japo soda kwangu ningetoa.
Nakubaliana na wewe mkuu, ila kuna kitu nilikutana nacho kwenye biashara sikuwahi kukitegemea nisingekaza nilikuwa narudisha mpira kwa kipa.Japo inategemea na location, bei zako na weledi wa kutafuta wateja na mahusiiano, (networking and communication skills)
Lakini biashara ya chakula inatakiwa usimamizi mzuri unatakiwa uwepo sikuhizi kuna camera sehemu muhimu unaweza fungaFungu mgahawa mkuu, badala ya watu kulewa, wale msosi mzuri, usipuuze
Kwanza wahudumu wenyewe tu wanavuta wateja kwa kiasi kikubwa.Alafu anasema afungue bar aweke wahudumu wa3, hivi anajua anachokiongea kweli huyu?? Ili bar iuze inahitaji wahudumu wa kutosha hapa namaanisha bila kuweka wahudumu utatafuta san waganga yaan utachelewa sana! Labda kam unaingia kujaribu biashara! Kuna bar moja Maarufu Mbey niliwahi kwend ina wahudumu 70 inawez kuwa si kweli lakin yule jamaa anauza vibaya mno yaan ukifika saa 2 usiku hamna pa kukaa😂😂😂😂😂
Persistence and problem solving, uvumilivu na kutafuta ufumbuziNakubaliana na wewe mkuu, ila kuna kitu nilikutana nacho kwenye biashara sikuwahi kukitegemea nisingekaza nilikuwa narudisha mpira kwa kipa.
Shida sio kodi suala ni kujiuliza iyo sehemu imaweza ingiza faida kias ganMkuu una milioni 10 alafu unakimbilia sehemu ya Kodi ya milion 3 kwa mwezi???? Strange
Mkuu hii biashara kwa sehemu kama dar ina ushindani mkubwa sana kulinganisha na sehem zingine hvyo hawezi kuifanya local tu akategemea atawini kirahisi hvyo na sikuhizi watu wamejiongeza sana kweny hii biashara kwenye kujibrand mpka mitandaoni sasa akianza tu kma waliofungua bar miaka ya 90 huko lazima aangukie pua!Shida sio kodi suala ni kujiuliza iyo sehemu imaweza ingiza faida kias gan
Ata soko kuu la kariakoo kodi yake sehemu nying huanzia million 3 ila watu wanapanga sabu wanajua return yake ni kubwa
Mi sio mkazi wa dar ila kwa uelewa wangu dar vitu ving bei nafuu
Tv,mziki mzito,viti, jokofu ni bei poa na ata used unaweza pita
Sikuhizi kuna watu wenye akili, (smart people) wao wanafikilia jinsi ya kuiondoa bidhaa yako sokoniMkuu hii biashara kwa sehemu kama dar ina ushindani mkubwa sana kulinganisha na sehem zingine hvyo hawezi kuifanya local tu akategemea atawini kirahisi hvyo na sikuhizi watu wamejiongeza sana kweny hii biashara kwenye kujibrand mpka mitandaoni sasa akianza tu kma waliofungua bar miaka ya 90 huko lazima aangukie pua!
HAKIKISHA KUWA NA MGANGA NA UZIZI USHIKE KASI HAPO KWENYE BAR YAKOMilion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Kama ni kuuza nyapu hapo Sawa ila kama pombe mtaji hautoshiMilion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Njoo Dodoma mkuu hutojuta!Kuna mzee pale Tegeta karibu na Kibo complex amekataa kodi ya mil 3 kwa mwezi hata angekubali nisingepaweza pale inabidi nisogee nje ya mji..!
Acha kukatisha tamaa kama huwezi kumshauri.Hela yako ndogo,,,,achana na wazo la bar kwa hela hio,,,naongea kwa uzoefu mkubwa, unashauriwa unashupaza shingo,,, walau uwe na 50m+ walau ufungue chimbo la kueleweka,,,kwa hela yako hio jikite kwenye kigrocery tu ,,,,
Hii michezo ipo ila kwenye mipango yangu haipoHAKIKISHA KUWA NA MGANGA NA UZIZI USHIKE KASI HAPO KWENYE BAR YAKO
bar nazielewa kama unataka kupoteza pesa yako mda mfupi usifungue bar.Hii michezo ipo ila kwenye mipango yangu haipo
Unapenda ubishi, league na ujuaji wakati umeomba ushauri, una haki ya kuchukua ushauri au kuuacha ila sio kuzodoa na kupingana na wanaokushauri.theory nyingi sana! sina uzoefu na bar ila nina uzoefu wa biashara zingine iyo ni tofauti na mtu ambaye hajawai fanya biashara kabisa.