0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,155
- 11,168
Jamaa alijifanya kama kijana fulani ambae mbususu sio inshu sana kwake,hata siku moja hakuwahi kuonekana kuwa na demu ambae watu wangehisi hata kuwa jamaa anatafuna.
Jamaa kila siku alkuwa busy kuisaka pesa aendelee kujitajirisha,na vijana wengi sana walitamani kuishi kama yeye yaani unazisaka pesa huna habari na mbususu.
Sasa jamaa ghafla kapindua meza,tena kwa kishindo kabsa kafunga na ndoa kabsa ingawaje ndoa yenyewe ilikuwa na element za kiuwabata.
Hongera billionea mtoto kwa kuanzisha familia.
Jamaa kila siku alkuwa busy kuisaka pesa aendelee kujitajirisha,na vijana wengi sana walitamani kuishi kama yeye yaani unazisaka pesa huna habari na mbususu.
Sasa jamaa ghafla kapindua meza,tena kwa kishindo kabsa kafunga na ndoa kabsa ingawaje ndoa yenyewe ilikuwa na element za kiuwabata.
Hongera billionea mtoto kwa kuanzisha familia.