Millard Ayo kapoteza maboya vijana wengi waliokuwa wanatamani kuwa kama yeye

Millard Ayo kapoteza maboya vijana wengi waliokuwa wanatamani kuwa kama yeye

Jamaa alijifanya kama kijana fulani ambae mbususu sio inshu sana kwake,hata siku moja hakuwahi kuonekana kuwa na demu ambae watu wangehisi hata kuwa jamaa anatafuna.

Jamaa kila siku alkuwa busy kuisaka pesa aendelee kujitajirisha,na vijana wengi sana walitamani kuishi kama yeye yaani unazisaka pesa huna habari na mbususu.

Sasa jamaa ghafla kapindua meza,tena kwa kishindo kabsa kafunga na ndoa kabsa ingawaje ndoa yenyewe ilikuwa na element za kiuwabata.

Hongera billionea mtoto kwa kuanzisha familia.

Unawajuwa mabilionea wewe? Huyo millard una uhakika gani amefikia hata umilionea au tajiri wa kawaida????


Wewe ni mchagga co!!!!!!
 
Mara nyingi unakuwa na -ve comments linapokuja swala la Millard.Kuna mida hekima ni kukaa kimya Tu kuliko kumchafua mtu


Stori za huyo jamaa kufanya hicho kitu siyo kigeni masikioni mwa wengi miaka mingi sasa,Kwa hiyo unachokiongea kila muda kuhusu yeye siyo breaking news.
Yanapoongelewa mazuri yake huna sababu ya kutia maneno ya kidhalilishaji.Samtaimz hekima na busara itumike kuliko kuchafuana

Hata km unachokiongea kina ukweli lkn si Sawa unavyofanya

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Mkuu,,,milad na delicious wana undugu?
 
Millard,rommy jones,b twelve na sammisago mbona wanachukuliwa negative mnoo
Lisemwalo lipo mkuu na duniani hamna Siri, shida sikuhizi hyo ni michezo ya wanaume wengi sema hao ni maarufu, ndio maana wanawake tumekuwa na kimsemo chetu, sikuhizi ukikuta mchepuko ni mwanamke mwenzako shukuru Mungu, waweza kuta mwanaume ni mke mwenza kwako
 
Angerikuwa ameowa angeposti kwenye accountyake mzehe. So hakuna ukweri wowote mzehe acha ku2ongopea
 
Acha mishe za ajabu mkuu,Millard Ayo hawezi kuitwa Billionaire hata kidogo! Kipato chake ni cha kawaida tu! Sema sababu ni celebrate ndiyo maana watu wengi wanasema jamaa ni billionaire! Hua nashangaa sana hata Marehemu Msuya kuitwa Billionaire! Au ndiyo yale ya kina Mwijage! Vichwa 4 vya cherehani ni kiwanda tayari???

Dahhh mwenyewe nashangaa,,eti bilionea. Kuna matajiri wenye migodi hapa nchini but hawajafikia umilionea, ijekuwa bilionea!!!!
 
Back
Top Bottom