Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora useme na weweHaka kajamaa niliwahi kusikia kwamba ni mmoja ya vijana wanaotafunwa akiwemo Dizoni na yule msanii maarufu wa gospel
BirianiMchicha mwiba ama
[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikazurule mieUshaanza
You sound like Mange Kimambi [emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikazurule mie
Millard,rommy jones,b twelve na sammisago mbona wanachukuliwa negative mnooHuyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Jamaa alijifanya kama kijana fulani ambae mbususu sio inshu sana kwake,hata siku moja hakuwahi kuonekana kuwa na demu ambae watu wangehisi hata kuwa jamaa anatafuna.
Jamaa kila siku alkuwa busy kuisaka pesa aendelee kujitajirisha,na vijana wengi sana walitamani kuishi kama yeye yaani unazisaka pesa huna habari na mbususu.
Sasa jamaa ghafla kapindua meza,tena kwa kishindo kabsa kafunga na ndoa kabsa ingawaje ndoa yenyewe ilikuwa na element za kiuwabata.
Hongera billionea mtoto kwa kuanzisha familia.
Mara nyingi unakuwa na -ve comments linapokuja swala la Millard.Kuna mida hekima ni kukaa kimya Tu kuliko kumchafua mtu
Stori za huyo jamaa kufanya hicho kitu siyo kigeni masikioni mwa wengi miaka mingi sasa,Kwa hiyo unachokiongea kila muda kuhusu yeye siyo breaking news.
Yanapoongelewa mazuri yake huna sababu ya kutia maneno ya kidhalilishaji.Samtaimz hekima na busara itumike kuliko kuchafuana
Hata km unachokiongea kina ukweli lkn si Sawa unavyofanya
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Lisemwalo lipo mkuu na duniani hamna Siri, shida sikuhizi hyo ni michezo ya wanaume wengi sema hao ni maarufu, ndio maana wanawake tumekuwa na kimsemo chetu, sikuhizi ukikuta mchepuko ni mwanamke mwenzako shukuru Mungu, waweza kuta mwanaume ni mke mwenza kwakoMillard,rommy jones,b twelve na sammisago mbona wanachukuliwa negative mnoo
Sio mange mkuuYou sound like Mange Kimambi [emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
Huyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Acha mishe za ajabu mkuu,Millard Ayo hawezi kuitwa Billionaire hata kidogo! Kipato chake ni cha kawaida tu! Sema sababu ni celebrate ndiyo maana watu wengi wanasema jamaa ni billionaire! Hua nashangaa sana hata Marehemu Msuya kuitwa Billionaire! Au ndiyo yale ya kina Mwijage! Vichwa 4 vya cherehani ni kiwanda tayari???
Unasema kijana kasomea iyefuemu?Huyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Umilionea? Mtu akifikisha 1m tayar huyo ni milionea ....1b huyo ni bilionea ...mbona n vitu ambavyo vinawezekanaDahhh mwenyewe nashangaa,,eti bilionea. Kuna matajiri wenye migodi hapa nchini but hawajafikia umilionea, ijekuwa bilionea!!!!
kuna tuko ma Bukunea hatuna habari na buku buku zetuUmilionea? Mtu akifikisha 1m tayar huyo ni milionea ....1b huyo ni bilionea ...mbona n vitu ambavyo vinawezekana
Umilionea? Mtu akifikisha 1m tayar huyo ni milionea ....1b huyo ni bilionea ...mbona n vitu ambavyo vinawezekana
Usiseme hiiiiivyoHuyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake