Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
kwahiyo unamaanisha jamaa wasio na time na mwanamke/wanawake wowote, washanogewa kulana? au ndo hawadindishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mwingereza, naona hujui kiswahili, huko britain wanasemeje.What you see while standing on the table, others see it while seated...
Huyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Kipato kizuri ni shilingi ngapi? Na mnajuaje kipato cha mtuMkuu kwa watu wanao mjua Millard kule mtaani walikuwa wanamuona anakaa na msichana flani muda mrefu kabla ya hiyo ndoa.
Alikuwa anampeleka salon au anamuita mtu wa salon nyumbani kwake kumremba huyo msichana.
Kijana yuko vizuri tu ni vile hakupenda mahusiano yake kuwa public sana kwenye mitandao na media nyingine.
Waswahili wengi tukiona mtu mwenye kipato kizuri haangaiki na mapenzi au mambo ya ngono ovyo ovyo tunamhisi vibaya.
Walete uthibitisho wa hilo swala kwanza sio kumsema tu kila kukichaMara nyingi unakuwa na -ve comments linapokuja swala la Millard.Kuna mida hekima ni kukaa kimya Tu kuliko kumchafua mtu
Stori za huyo jamaa kufanya hicho kitu siyo kigeni masikioni mwa wengi miaka mingi sasa,Kwa hiyo unachokiongea kila muda kuhusu yeye siyo breaking news.
Yanapoongelewa mazuri yake huna sababu ya kutia maneno ya kidhalilishaji.Samtaimz hekima na busara itumike kuliko kuchafuana
Hata km unachokiongea kina ukweli lkn si Sawa unavyofanya
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Achana na connection mkuu, mbona Hilo jambo la kawaida unafiki tu wa wabongo bana, Sasa ajiskie vibaya Ili iweje na ni starehe zaoMna connection zao au proof za kutosha wakuu? Hivi watakuwa wanajisikiaje kama hizi mnazosema sio za kweli daah!!? Ni wanadamu wale aisee..
Hata baba yako alikuwa sawa na kina b twelveHuyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Jokate ana umri gani kwanMiaka 35 huyo alikuwa anatafuta kwanza wakufanan nae kwanza sio mbaya kingine alikuwa anapata msukumo kwa ndugu na jamaa utaoa lina ila jua kuoa sio lazima ni binadamu tu tumeamua kupeana stress mtu bado hayuko tayari watu wanamsema vibaya
Na mkitoka hapo mtaanza kumsema jokate
As long as anazalisha no problem at all, unfortunately hajawahi fanya hivo ka kina b twelve so usiingize hapa na hata akifanya naheshimu maamuzi na starehe yake mkuu, so relaxHata baba yako alikuwa sawa na kina b twelve
Kwanini anamsengenya Kwanza amekukosea nini kijana wa watu ulimzaa wewe?Mara nyingi unakuwa na -ve comments linapokuja swala la Millard.Kuna mida hekima ni kukaa kimya Tu kuliko kumchafua mtu
Stori za huyo jamaa kufanya hicho kitu siyo kigeni masikioni mwa wengi miaka mingi sasa,Kwa hiyo unachokiongea kila muda kuhusu yeye siyo breaking news.
Yanapoongelewa mazuri yake huna sababu ya kutia maneno ya kidhalilishaji.Samtaimz hekima na busara itumike kuliko kuchafuana
Hata km unachokiongea kina ukweli lkn si Sawa unavyofanya
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Achana na connection mkuu, mbona Hilo jambo la kawaida unafiki tu wa wabongo bana, Sasa ajiskie vibaya Ili iweje na ni starehe zao
You mean the guy is rumored to be sexually unstable?Kweli kabisa inasikitisha sana, uyo mke wake watamchapia tu
Hii dunia ukiwa busy na mambo yako pimbi kama hii lazima ukutane nayoHuyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Hili ni tatizo la wabongo wengi,mtu akisikia Stori mahali anaibeba km ilivyo nae anaenda kuisambaza km alikuwepo.Akiulizwa ulikuwepo eneo la tukio anajibu Mimi nimesikia TuWalete uthibitisho wa hilo swala kwanza sio kumsema tu kila kkukicha
Sijajua ila 30 na kitu yuleJokate ana umri gani kwan
Na life linasonga tuu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
We ndo uache hayo masiahara .... huo ndo ukwelAcha masihara mkuu. Ukimiliki m1 wewe ni milionea???? Wabongo bwana.
Dah na wewe utakuwa mama pimbi Hadi umemuona pimbi mwenzako humuHii dunia ukiwa busy na mambo yako pimbi kama hii lazima ukutane nayo
Bullshit
Nyie wenyewe mnakulana wanaume hasira mje kumalizia wengine aisee, mwisho wa siku starehe ya mtu hyoDaah! Sasa Wanaokula tobo nyezi za hawa ni kina nani..
Maana inasemekana wanaliwa wanaliwa wanaowala kina nani?
Anyway ni starehe zao
Mbona na wewe unaendeleza huo mjadala acheni unafiki nyieWacha kumchafua mwenzako kwa jambk ambalo huna uhakika nalo.
wengine hupenda usiri ktk mahusiano