Millard Ayo kapoteza maboya vijana wengi waliokuwa wanatamani kuwa kama yeye

Millard Ayo kapoteza maboya vijana wengi waliokuwa wanatamani kuwa kama yeye

Huyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
eti skuizi naskia mtu akiwa bize sana na mambo yake bila kuwa na dem au madem au asipojihusisha na mapenzi na ke yeyote tena ukute ni maarufu na anapesa anaitwa shoga au anaambiwa hadindishi.

Je ni lazima kujihusisha na mapenzi au kuoa????
 
Huyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Ohoooo Cariha....
giphy.gif
 
Kama huna uhakika mabaya unayoombea wenzio yakurudie sometimes usijifanye mjuaji kwenye kila kitu hata kama ni kweli sio vema kumchafua mwenzio.
Ni mchafuaje Sasa, kwani uzinifu huwa ni kuchafuana au ni tendo la asili na kila mtu ana uamuzi wake binafsi na mwili wake.
Ndio maana hivi vitu vihalalishwe tuache unafiki vinatendeka sana tu huku mtaani ila humu JF kila mtu malaika
 
eti skuizi naskia mtu akiwa bize sana na mambo yake bila kuwa na dem au madem au asipojihusisha na mapenzi na ke yeyote tena ukute ni maarufu na anapesa anaitwa shoga au anaambiwa hadindishi.

Je ni lazima kujihusisha na mapenzi au kuoa????
Mbona mashoga wameoa kabisa na Wana watoto mbona, hyo kutokuenekana na demu sio excuse sikuhizi wanaume mnakulana nyie kwa nyie mbona, hata wasio na hela
 
Mara nyingi unakuwa na -ve comments linapokuja swala la Millard.Kuna mida hekima ni kukaa kimya Tu kuliko kumchafua mtu


Stori za huyo jamaa kufanya hicho kitu siyo kigeni masikioni mwa wengi miaka mingi sasa,Kwa hiyo unachokiongea kila muda kuhusu yeye siyo breaking news.
Yanapoongelewa mazuri yake huna sababu ya kutia maneno ya kidhalilishaji.Samtaimz hekima na busara itumike kuliko kuchafuana

Hata km unachokiongea kina ukweli lkn si Sawa unavyofanya

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
1.Siyo kigeni kwako not to everybody... 2. Kama ndiyo staili yake ya maisha aliyochagua (yaani hiyo na. 1) kwa nini iwe ni udhalilishaji? Yaani mimi nikiamua kununua Punda awe ndiyo usafiri wangu badala ya bodaboda nitakuwa nimemdhalilisha nani jombaa??
 
eti skuizi naskia mtu akiwa bize sana na mambo yake bila kuwa na dem au madem au asipojihusisha na mapenzi na ke yeyote tena ukute ni maarufu na anapesa anaitwa shoga au anaambiwa hadindishi.

Je ni lazima kujihusisha na mapenzi au kuoa????
What you see while standing on the table, others see it while seated...
 
Mara nyingi unakuwa na -ve comments linapokuja swala la Millard.Kuna mida hekima ni kukaa kimya Tu kuliko kumchafua mtu


Stori za huyo jamaa kufanya hicho kitu siyo kigeni masikioni mwa wengi miaka mingi sasa,Kwa hiyo unachokiongea kila muda kuhusu yeye siyo breaking news.
Yanapoongelewa mazuri yake huna sababu ya kutia maneno ya kidhalilishaji.Samtaimz hekima na busara itumike kuliko kuchafuana

Hata km unachokiongea kina ukweli lkn si Sawa unavyofanya

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Dah mbona huwa na comment mengi tu humu tofauti na milard ayo, usipende kufanya mambo personal sana mbona, huyo milard ayo zaidi ya ku follow page yake ya habari, pia ni celebrity lazima aseme tu ka walivo celebrity wengine, hata wewe ungekuwa celebrity ungesemwa tu ni vile haijulikani, hafu usinilishe maneno kumbe na wewe unajua hyo issue why unilaumu Sasa.
Humu jukwaani na maelfu ya comments wewe unasema na chuki na huyo milard Ili iweje sasa, [emoji23][emoji23]Mimi mpenda ubuyu tu humu jukwaani usinihukumu bana,
 
1.Siyo kigeni kwako not to everybody... 2. Kama ndiyo staili yake ya maisha aliyochagua (yaani hiyo na. 1) kwa nini iwe ni udhalilishaji? Yaani mimi nikiamua kununua Punda awe ndiyo usafiri wangu badala ya bodaboda nitakuwa nimemdhalilisha nani jombaa??
Nimerudia mara kadhaa kusoma Ila Sijakuelewa point yako mkuu.Unanilaumu Kwa ajili ya kupinga anachofanya cariha kumuhusu huyo Millard?
 
Jamaa alijifanya kama kijana fulani ambae mbususu sio inshu sana kwake,hata siku moja hakuwahi kuonekana kuwa na demu ambae watu wangehisi hata kuwa jamaa anatafuna.

Jamaa kila siku alkuwa busy kuisaka pesa aendelee kujitajirisha,na vijana wengi sana walitamani kuishi kama yeye yaani unazisaka pesa huna habari na mbususu.

Sasa jamaa ghafla kapindua meza,tena kwa kishindo kabsa kafunga na ndoa kabsa ingawaje ndoa yenyewe ilikuwa na element za kiuwabata.

Hongera billionea mtoto kwa kuanzisha familia.
Aliamua kuishi maisha ya faragha maana hakuona umuhimu wa kuwaonyesha demu wake.
 
Dah mbona huwa na comment mengi tu humu tofauti na milard ayo, usipende kufanya mambo personal sana mbona, huyo milard ayo zaidi ya ku follow page yake ya habari, pia ni celebrity lazima aseme tu ka walivo celebrity wengine, hata wewe ungekuwa celebrity ungesemwa tu ni vile haijulikani, hafu usinilishe maneno kumbe na wewe unajua hyo issue why unilaumu Sasa.
Humu jukwaani na maelfu ya comments wewe unasema na chuki na huyo milard Ili iweje sasa, [emoji23][emoji23]Mimi mpenda ubuyu tu humu jukwaani usinihukumu bana,
Hujanielewa,my point is;wewe kila linapokuja swala la Millard Ayo hata Jambo lisilohusiana na mambo ya kishoga Kama hii topic lazima uingize Stori za 'jamaa ni sh@g@ hiyo ndoa ni gelesha tu'

Sasa kuna ulazima gani wa kumwongelea mt mabaya hata pale anapoongelewa mema yake?

Sijashangaa Ila Tu nimekwazika Kwa jinsi unavyotumia nguvu kukandia mabaya yake
 
Hujanielewa,my point is;wewe kila linapokuja swala la Millard Ayo hata Jambo lisilohusiana na mambo ya kishoga Kama hii topic lazima uingize Stori za 'jamaa ni sh@g@ hiyo ndoa ni gelesha tu'

Sasa kuna ulazima gani wa kumwongelea mt mabaya hata pale anapoongelewa mema yake?

Sijashangaa Ila Tu nimekwazika Kwa jinsi unavyotumia nguvu kukandia mabaya yake
Nimekuwlewa ila wewe umekuwa mnafiki wa kiwango Cha juu sana, kwanza milard ayo zaidi ya hii topic au mbili sijawahi ziona, naomba uweke ushahidi usio na mashaka yoyote, maana humu jukwaani na comments zaidi ya 10000 iweje useme huwa na msema huyo ayo.
Hafu nyie wanaume si ndio mnakula vijambio vya wanaume wengine mkija hadharani mnapinga huo ushoga kwanini usihalalishwe kuliko huu unafiki wa kujifanya kupinga huku mnafanya, maana kila mtu si yuko huru na mwili wake aisee.
Unikome kunilisha maneno tena ya ushoga ni wewe umesema hadharani
 
Huyo kijana hana tofauti na b twelve hyo ndoa ni coverage tu ya mambo yake
Mkuu kwa watu wanao mjua Millard kule mtaani walikuwa wanamuona anakaa na msichana flani muda mrefu kabla ya hiyo ndoa.

Alikuwa anampeleka salon au anamuita mtu wa salon nyumbani kwake kumremba huyo msichana.
Kijana yuko vizuri tu ni vile hakupenda mahusiano yake kuwa public sana kwenye mitandao na media nyingine.

Waswahili wengi tukiona mtu mwenye kipato kizuri haangaiki na mapenzi au mambo ya ngono ovyo ovyo tunamhisi vibaya.
 
Jamaa alijifanya kama kijana fulani ambae mbususu sio inshu sana kwake,hata siku moja hakuwahi kuonekana kuwa na demu ambae watu wangehisi hata kuwa jamaa anatafuna.

Jamaa kila siku alkuwa busy kuisaka pesa aendelee kujitajirisha,na vijana wengi sana walitamani kuishi kama yeye yaani unazisaka pesa huna habari na mbususu.

Sasa jamaa ghafla kapindua meza,tena kwa kishindo kabsa kafunga na ndoa kabsa ingawaje ndoa yenyewe ilikuwa na element za kiuwabata.

Hongera billionea mtoto kwa kuanzisha familia.
Haka kajamaa niliwahi kusikia kwamba ni mmoja ya vijana wanaotafunwa akiwemo Dizoni na yule msanii maarufu wa gospel
 
Mkuu kwa watu wanao mjua Millard kule mtaani walikuwa wanamuona anakaa na msichana flani muda mrefu kabla ya hiyo ndoa.

Alikuwa nampeleka salon au anamuita mtu wa salon nyumbani kwake kumremba huyo msichana.
Kijana yuko vizuri tu ni vile hakupenda mahusiano yake kuwa public sana kwenye mitandao na media nyingine.
Huyo mwanamke wake wamedumu more than 10 years ila hyo hauwezi kuzuia mengine mbona wengi tu wanaoa.
 
Back
Top Bottom