Milo mitatu kama hufanyi kazi ngumu ni tamaa na ulafi tu

Milo mitatu kama hufanyi kazi ngumu ni tamaa na ulafi tu

Mkuu kwa muktadha wako huu basi kila kitu tumerithi kwa wakoloni

Nikikwambia unitajie vitu ambavyo sio vya “wakoloni” utapata tabu sana kuvitaja mkuu

Wewe ungekuja tu na hoja yako kwamba ulaji unatakiwa kuwaje dhidi ya ulaji uliopo
Sehemu kubwa ya mfumo wa maisha yetu tumerithi kwa wakoloni, vitu vingine vina manufaa vingine havina manufaa yoyote kwetu na mojawapo ni huu ulazima wa kula milo mitatu kwa siku kwa raia wengi.
 
Si KIINGEREZA iki mkuu?
Ushauri wa ki afya.
Asubuhui masaa mawili baada ya jua kuchomoza pendelea kula vyakula vyenye protini kama mayai. na matunda yenye sukari kidogo kama parachichi.

Mchana pendelea kula kama kawaida protein nyingine yoyote na vyakula vyenye wanga.

Na jioni majira ya saa 2 kasoro hivi pendelea kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi na vyenye mafuta kiasi.
 
Milo mitatu tumerithi kwa wakoloni
So wazee wetu walivokua wanalima, hawakua wanakula mchana? Think about it. Fikiria chakula kama kande na Togwa (jamii za Iringa, Njombe, Same nk ) wanajua hi. Walikua wanakwenda na hivo vyakula shambani, mapumzikoni wanakula. Hi nayo ililetwa na Wazungu? Mbona tunajidharau hivi?😏
 
Ushauri wa ki afya.
Asubuhui masaa mawili baada ya jua kuchomoza pendelea kula vyakula vyenye protini kama mayai. na matunda yenye sukari kidogo kama parachichi.

Mchana pendelea kula kama kawaida protein nyingine yoyote na vyakuka vyenye wanga.

Na jioni majira ya saa 2 kasoro hivi pendelea kula vyenye nyuzi nyuzi na vyenye mafuta kiasi.
Ewaaaaah, saafi!
Kuiweka sawa hii... Si kwamba sikuelewa ulichomaanisha ila inapendeza zaidi ungereply kwa lugha iliyoandikwa kwa post husika inakaa poa sana.. Ingekua kiingereza na ukajibu kiingereza apo sawa ila post ya kiswahili ww unashusha nondo kwa kiingereza inaonekana KAMA UNATAKA SIFA au U MUCH KNOW mwingiiii...😄 sio kwa ubaya mkuu ni kuekana sawa tu
 
Watu wengi hawajawahi ku experience njaa, Njaa wanazosisema ni hizi ambazo imetokea kuvurugika tu kwa ratiba ya Milo yao mfano mtu mwenye ratiba ya kula Milo mitatu ndani ya mda Fulani ikitokea amechelewa kula ndani ya mda huo atakwambia anahisi njaa ila njaa, njaa kweli ni Ile ambayo mtu anatoboa kuanzia masaa 12 na kuendelea bila kula chochote
Hao ndiyo walafi wenye matumbo makubwa kushinda hata wake zao waliojifungua watoto zaidi ya wanne.
 
So wazee wetu walivokua wanalima, hawakua wanakula mchana? Think about it. Fikiria chakula kama kande na Togwa (jamii za Iringa, Njombe, Same nk ) wanajua hi. Walikua wanakwenda na hivo vyakula shambani, mapumzikoni wanakula. Hi nayo ililetwa na Wazungu? Mbona tunajidharau hivi?😏
Ni lugha tuu mmepichana,;kula utakavyoona inafaa na njaa Yako.
 
Mimi nipo Dar,kama hivi asubuhi nimeshapiga gawaha vikombe viwili,nakaa kidogo nakunywa tangawizi kikombe kimoja (kipimo vile vikombe vya kahawa) saa sita nakula sahani ya matunda mixer hapo tena ni maji sitii kitu tumboni.

Baadae kwenye saa nane nakula bites karanga korosho saa kumi na moja natafuta muwa au kipande cha muhogo m'bichi jioni saa moja niko rodin nakimbiza upepo(jogging) maana nina kakitambi kasikojulikana mwanzo wake na uzito mkubwa.
 
Ewaaaaah, saafi!
Kuiweka sawa hii... Si kwamba sikuelewa ulichomaanisha ila inapendeza zaidi ungereply kwa lugha iliyoandikwa kwa post husika inakaa poa sana.. Ingekua kiingereza na ukajibu kiingereza apo sawa ila post ya kiswahili ww unashusha nondo kwa kiingereza inaonekana KAMA UNATAKA SIFA au U MUCH KNOW mwingiiii...😄 sio kwa ubaya mkuu ni kuekana sawa tu
Umerudi jamaa yeye tuu mmepishana padogo!umuch know ni kiswahili?!!!!!
 
Mimi nipo Dar,kama hivi asubuhi nimeshapiga gawaha vikombe viwili,nakaa kidogo nakunywa tangawizi kikombe kimoja (kipimo vile vikombe vya kahawa) saa sita nakula sahani ya matunda mixer hapo tena ni maji sitii kitu tumboni.

Baadae kwenye saa nane nakula bites karanga korosho saa kumi na moja natafuta muwa au kipande cha muhogo m'bichi jioni saa moja niko rodin nakimbiza upepo(jogging) maana nina kakitambi kasikojulikana mwanzo wake na uzito mkubwa.
Sawa punguza lishe!
 
Ewaaaaah, saafi!
Kuiweka sawa hii... Si kwamba sikuelewa ulichomaanisha ila inapendeza zaidi ungereply kwa lugha iliyoandikwa kwa post husika inakaa poa sana.. Ingekua kiingereza na ukajibu kiingereza apo sawa ila post ya kiswahili ww unashusha nondo kwa kiingereza inaonekana KAMA UNATAKA SIFA au U MUCH KNOW mwingiiii...😄 sio kwa ubaya mkuu ni kuekana sawa tu
Pamoja chief.
 
Unafikiri babu wa babu yako alikuwa anakula breakfast??
Majina tu hayo bro. Labda kama neno breakfast ndio tuseme limeletwa na Wazungu but asubuhi watu wanao fanya kazi ngumu walikua wanakula, tena ugali mkubwa tu, sio chai kama sasa. Jamii za wafugaji as well, nao walikua wanakula kwanza asubuhi ndio wanakwenda kuchunga mifugo yao, labda hawa mchana ndio walikua wana kunywa kunywa zaidi na zio kula or else maporini huko walikua wanakula matunda, mizizi na hata nyama pori as well.
Guys iko hivi, kinacho haribu afya zetu kwasasa sio idadi ya milo, ni aina ya vyakula tunavyo kula, sasa hivi tunakula junk food. Nyama za kopo, aina upishi wake nao ni changamoto, nyama ina mafuta but unatia mafuta mengine tena, chumvi hiyo. Ugali tunakula uliokobolewa kwenye machines, wazee wetu walikua wanatumia vinu kuandaa chakula chao; umewahi kujiuliza vile vyuma vinavoishaga kwenye zile machine za kusaga na kukoboa, particles zake zinaendaga wapi? Or vinaishaje? Njoo kwenye viungo vyetu kama mbogq mboga, nyanya, vitunguu hata hayo mahindi yenyewe, full dawa; hizo dawa zinaendaga wapi kama sio miilini mwetu? Njoo kwenye mayai, yai limetengenezwa bila jogoo, litakua na protein ya wapi? Samaki, dagaa nk vyote hizo ni dawa tu. So kula mlo mmoja au 2 kama with those chemicals, what do you expect?
 
IMG_20240930_062711_801.jpg
 
Back
Top Bottom