Milo mitatu kama hufanyi kazi ngumu ni tamaa na ulafi tu

Ungejitihadi uwe unakula mboga za majani mkuu ambazo ni bei rahisi tu mtaani.
 
Hili suala hata mimi limenifikirisha sana na nimeanza kulifanyia kazi yapata miezi miwili sasa. Najaribu ku eliminate msosi wa usiku mostly. Nakunywa chai na vipande viwili vya muhogo kabla ya sa mbili usiku hapo ndio imetoka.
 
Kuna ile unapigwa njaa mpaka nguvu za kutembea unakosa.

Au kutwa nzima unashindia andazi la mia mbili. Au maembe ya mia mbili.

Hii imenipiga kipindi fulani.
 
Kazi ngumu unaipima vipi
 
Zanzibar hatuna dinner? 🤣🤣🤣
 
Pia hakunaga chai Nzito ni kukosa hela tu
 
Nakula nikihisi njaa, lakini Fanya ufanyavo Ili ulale vizuri usiku hakikisha umekula.
 
Sitasahau Mwaka 2017-2018 nilipatwa na majanga maisha yangu yaliyumba sana, Kuna siku nilikaa siku tatu bila kula..... Namwelewa sana mtoa mada
Huo mwaka na Mimi Nina historia nao wa kupitia maisha magumu ambayo sidhani kama nitakuja kuyapitia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…