Mimba ya wife inanitesa sana, mpaka najuta

Mimba ya wife inanitesa sana, mpaka najuta

Yaani nikiwa namzughusha sipati picha anavyotamani anikamate animeze
Atatamani sana akumeze ila akishajifungua akili inarudi kama mwanzo inakuwa imetoka. Sasa kama unataka kuendeshwa kama bodaboda tuma hiyo nauli, au ushatuma?
 
hahaaa kumbe tuko wengi, mkuu huko ndiko kunaitwa kulea mimba na hayo ndio matokeo ya ndoa, mimi nnakumbana nayo ila nshazoea na kuna muda muda na mmisi wife nikiwa kwa Job kwa hivyo vituko, ninayokutana nayo sasa
1. kuna siku utaambiwa ana hamu na nyama choma ukileta hali
2. kuna siku apika chakula yeye hali anakunywa uji
3. siku ukishinda nyumbani ndio balaa dakika mbili mbele kimenuka, kupishana ni sekunde tuu, na ukitaka kutoka kanuna, kuna saa unaambiwa mwanao acheza njoo umguse sasa nilivyo na bahati mbaya nikimgusa tu hachezi, hapo yataanza madongo, mtoto hakupendi, ole wako atoke na masikio kama yako ( mabaya )
4. unaweza ambiwa ana hamu ya mahindi ya kuchoma saa saba za usiku usishangae,
5. hulali, unaweza amshwa mara 8 usiku kumpeleka kukojoa,
6. vikicharuka mzungu wa nne anahusika
7. unaweza rudi ukakuta hamna msosi na ukaambiwa leo nna hamu ya chakula cha mama ntilie, na ukimletea anakula kweli..
8. chakula alichokipika yeye asema si kitamu.
9. kuna wakati anakuwa karibu hadi inaboa atashinda jirani na kwapa akunuseee weee asema harufu yako inamvutia na kweli hadi anapata usingizi hapohapo sasa ole wako umsogeze,
siku ingine baba ukirudi unakaguliwa mgegedeo kama haupo used.
akianza kuumwa nyonga sijui mtoto hiyo siku kachachamaa unaweza sema sasa hivi azaa ila ndo muda bado,
utaambiwa jina la mtoto atoa yeye wakati ni kumuomba mungu mtoto atoke salama na yeye ajifungue salama lakini mwenzie ana ka listi kake ka majina ashakaandaa zamani,
kuna wakati wanakuwa viceversa alichokuwa akipenda mwanzo ndicho akichukia, mfano mimi niliombwa niweke dish la Dstv, ila hadi hivi nnavyoandika hapa haangalii na matokeo ya ni seris za kikolea kwenda mbele na kisambuzi chenyewe katupia chini ya uvungu,
nyumba sasa hata ukikwangua vocha ukaisahau mezani utasemwa wewe kwa uchafu hadi utasikia hasira,, aagh kuna raha yake man, hasa ukiwa mbali nae unamkumbuka, japo ukirudi home dakika tano ni nyingi anazingua, ila ukizoea fresh tuu, na uzuri zaidi akusumbue kama hivi uwe huna mchepuko, ukiwa nao kipindi hichi ni kigumu sana kwake, atajua tuu, sababu nawe hutokubali utaona kama mateso ila kama huchepuki wallah kuna raha yake....kwa hiyo ndugu hiyo events ni nzuri na muombee ajifungue salama akiwa fresh utamkumbusha vituko vyake kipindi cha ujauzito, naamini ni mambo ya muda tuu hayo..kaka hapo bado hujaanza kilea, utanyooka wewe...ususahau kutuletea mrejesho na kipindi cha malezi, kila la kheri...
Na ukute sasa mateso yote hayo wkt mimba sio yako. Kikubwa ni kupiga chini tu.
 
Yaani mimi ndio najua leo kuwa mwenye id hii ni mwanamume......

Akili yangu yote ilikuwa inaniambia kuwa huyu ni mwanamke tena mrembo kweli kweli.....

Samahani ndugu.....
 
Yaani mimi ndio najua leo kuwa mwenye id hii ni mwanamume......

Akili yangu yote ilikuwa inaniambia kuwa huyu ni mwanamke tena mrembo kweli kweli.....

Samahani ndugu.....
teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh
sio peke yako mkuu ata mimi nilikuwa najua nasmapesa ni mwanamke mrembo kumbe ni mwanaume aisee.
nasmapesa waambie mods warekebishe hiyo id yako
 
Jambo la kawaida sana hilo kuwa mvumilivu mambo yatakaa sawa.
 
Vumilia blaaaaza mambo ya muda mfupi na utafurahia saana akishajifungua
 
Piga chini hakuna uhusiano wa kisayans na vituko anavyofanya.....usipokee simu ....fanya yako achana naye huyo ....kwanza keshakongoroka
na alaaniwe yule amtusie mwanamke abebae binadamu tumbo miezi 9
 
hahaaa kumbe tuko wengi, mkuu huko ndiko kunaitwa kulea mimba na hayo ndio matokeo ya ndoa, mimi nnakumbana nayo ila nshazoea na kuna muda muda na mmisi wife nikiwa kwa Job kwa hivyo vituko, ninayokutana nayo sasa
1. kuna siku utaambiwa ana hamu na nyama choma ukileta hali
2. kuna siku apika chakula yeye hali anakunywa uji
3. siku ukishinda nyumbani ndio balaa dakika mbili mbele kimenuka, kupishana ni sekunde tuu, na ukitaka kutoka kanuna, kuna saa unaambiwa mwanao acheza njoo umguse sasa nilivyo na bahati mbaya nikimgusa tu hachezi, hapo yataanza madongo, mtoto hakupendi, ole wako atoke na masikio kama yako ( mabaya )
4. unaweza ambiwa ana hamu ya mahindi ya kuchoma saa saba za usiku usishangae,
5. hulali, unaweza amshwa mara 8 usiku kumpeleka kukojoa,
6. vikicharuka mzungu wa nne anahusika
7. unaweza rudi ukakuta hamna msosi na ukaambiwa leo nna hamu ya chakula cha mama ntilie, na ukimletea anakula kweli..
8. chakula alichokipika yeye asema si kitamu.
9. kuna wakati anakuwa karibu hadi inaboa atashinda jirani na kwapa akunuseee weee asema harufu yako inamvutia na kweli hadi anapata usingizi hapohapo sasa ole wako umsogeze,
siku ingine baba ukirudi unakaguliwa mgegedeo kama haupo used.
akianza kuumwa nyonga sijui mtoto hiyo siku kachachamaa unaweza sema sasa hivi azaa ila ndo muda bado,
utaambiwa jina la mtoto atoa yeye wakati ni kumuomba mungu mtoto atoke salama na yeye ajifungue salama lakini mwenzie ana ka listi kake ka majina ashakaandaa zamani,
kuna wakati wanakuwa viceversa alichokuwa akipenda mwanzo ndicho akichukia, mfano mimi niliombwa niweke dish la Dstv, ila hadi hivi nnavyoandika hapa haangalii na matokeo ya ni seris za kikolea kwenda mbele na kisambuzi chenyewe katupia chini ya uvungu,
nyumba sasa hata ukikwangua vocha ukaisahau mezani utasemwa wewe kwa uchafu hadi utasikia hasira,, aagh kuna raha yake man, hasa ukiwa mbali nae unamkumbuka, japo ukirudi home dakika tano ni nyingi anazingua, ila ukizoea fresh tuu, na uzuri zaidi akusumbue kama hivi uwe huna mchepuko, ukiwa nao kipindi hichi ni kigumu sana kwake, atajua tuu, sababu nawe hutokubali utaona kama mateso ila kama huchepuki wallah kuna raha yake....kwa hiyo ndugu hiyo events ni nzuri na muombee ajifungue salama akiwa fresh utamkumbusha vituko vyake kipindi cha ujauzito, naamini ni mambo ya muda tuu hayo..kaka hapo bado hujaanza kilea, utanyooka wewe...ususahau kutuletea mrejesho na kipindi cha malezi, kila la kheri...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Iseee nimechekaaaaaa mpaka basi
 
Mhmh mbona mnanipa wasiwasi kwa ujasirilimali huu mtu anakwambia Rudi???? Itakuwaje jaman
 
Back
Top Bottom