macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Pole sana. Wengi hawatakuelewa lakini mimi najua. Hii hali inaitwa Trypophobia. Mimi nikiona kitu cha namna hii ndiyo najisikia vibayaKaka sijawahi kunywa pombe hata kwenye kijiko, kuvuta sigara au chochote chenye kilevi.
Soma zaidi kuhusu hii hali. Ni watu wengi tu huwa inawapataHamna, me home ni kawaida tu, sema kila mtu Kuna kitu kinamdisturb😔
Me wadudu hata siwaogopi haoPenye unyevu huwa havikosekani, hasa mikoa yenye baridi au mvua nyingi, vinakera kiukweli ila havinisisimui km nikiona dudu washa mama weeeeee😂😂😂hata siku iharibika kabisa naweza kuhisi nimezungukwa na madudu washa nakuwa kama mwendawazimu😅
Hatari sana Dunia inavitu vya ajabu sanaNgorongoro pale Makao kuna mimea flani hivi ya kuwasha.. ukigusa nayo tu yale majani kwisha habari yako. Yaani furaha yote inatoweka. Yaani kama umeunguzwa na moto. Huwa nikienda Ngorongoro nakuwa makini.
Yeah, nafikiri tupo wengi wenye hii kituNilijua nipo Peke yangu.
nipo ivyo tangu mtoto. kuanzia hizo moss plant na hivyo kwenye post no: 41 ...... naweza kushindwa Kula SEHEMU yenye hivyo ama nikiviona.
Kabisa ndugu, Asante Kwa kusharePole sana. Wengi hawatakuelewa lakini mimi najua. Hii hali inaitwa Trypophobia. Mimi nikiona kitu cha namna hii ndiyo najisikia vibaya
Aisee nmeisoma hii makala na nimeielewa sana kutokana na ku-experience hii hali Kwa muda mrefu.Soma zaidi kuhusu hii hali. Ni watu wengi tu huwa inawapata
Hii kitu ipo kweli??mossphobia
Kabisa yani km vikianza kutokea kwenye kuta za nyumba nazisugua vitoke, namwagia majivu, km ni njiani sivikanyagi naviona km uchafu na huwa vinateleza, kiufupi sivipendi
PoleSijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!
Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.
Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.
ndiyo ipo...ni aina fulani ya hofu bandiaHii kitu ipo kweli??
Duuh, yaani mpaka mwili umesisimka😩😩Imagine wengine ndio kwanza tunavua viatu tukanyage maana ni vilaini na vinafanya miguu irelax.[emoji13][emoji13].
AsantePole
Najua ipo coz hata mwenyewe nnayo but nauliza kama inafahamika kitaalamu kama moss phobiandiyo ipo...ni aina fulani ya hofu bandia
Kiukweli binadami tuko tofauti mi sitaki vigusane na mwili wangu directImagine wengine ndio kwanza tunavua viatu tukanyage maana ni vilaini na vinafanya miguu irelax.[emoji13][emoji13].
Daah hata siwezi kuziangalia hizo picha kwakweli🤮🤮Haya ni magonjwa ya kisaikolojia ni mtu anajikuta yuko sijui hivyo wataalamu watujuze !! Yote kwa yote me sizipendi hizi hapa !! Kitu kinakua hakiumizi hata kuelezea ni ngumu ndo maana haya mambo kibongo bongo ni ngumu
Ulivyojisikia ndo nilivyojisikia 😂😂😂