cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kupasi kabla ya kulala utafurahia muda zaidi asubuhi.. au nunua uniform zaidi ya moja.. pasi weekend zote.Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
Kucheza nao au kupiga stories saa ngapi?Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..