Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
Kupasi kabla ya kulala utafurahia muda zaidi asubuhi.. au nunua uniform zaidi ya moja.. pasi weekend zote.
Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
Kucheza nao au kupiga stories saa ngapi?
 
Kwanza hongera kwa kuwa karibu na familia,na kuweza kujenga upendo na ushirikiano na mkeo katika kuhudumia watoto.

Kama itakupendeza,waanze pia kufundisha kujifanyia vitu wao wenyewe,kama kuvaa,kuchana nywele,kupaka mafuta,hata kuoga,itawajenga zaidi.Kuliko kuwafanyia kila kitu.

Japo ni kama ina ugumu zaidi kuliko kuwafanyia.
Sometimes huyu mkubwa huwa anajiogesha, sometimes pia huwa nawaambia wajipake mafuta but under supervision coz si unajua tena kesi za watoto na mafuta , usipokuwa makini wanaweza jipaka kopo zima. Kuhusu kunyoosha nguo, bado sijaweza kuwa na imani ya kuwaacha wanyooshe coz naona ni hatari kwao. Kupiga kiwi viatu huyu mkubwa huwa anafanya vyake na vya mdogo wake, ameshakuwa expert.
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Maisha yako hayana tofauti na wale mababa wenzetu walioko ughaibuni...
Big up sana sana...
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Hongera,.. Ratiba yako nzuri sana, nimeipenda. Maintain
 
Sometimes huyu mkubwa huwa anajiogesha, sometimes pia huwa nawaambia wajipake mafuta but under supervision coz si unajua tena kesi za watoto na mafuta , usipokuwa makini wanaweza jipaka kopo zima. Kuhusu kunyoosha nguo, bado sijaweza kuwa na imani ya kuwaacha wanyooshe coz naona ni hatari kwao. Kupiga kiwi viatu huyu mkubwa huwa anafanya vyake na vya mdogo wake, ameshakuwa expert.
Safi sana mkuu,hicho unachofanya unawaandaa waje pia kuwa wazazi bora sana badae,maana wanasema mtoto anajifunza zaidi kwa kile anachoona unafanya kuliko kile unachomwambia.
 
Mimi:
Naamka saa 9 au 10 alfajiri. Nasali hadi saa 11 au 11:30. Naanza fanya kazi zangu kwenye Laptop kuanzia saa 11:30 alfajiri hadi saa 1:30 Alfajiri.

Saa 1:30 hadi 1:45 ni kuoga na kujiandaa kwenda Kazini. Saa 9:30 alasiri narudi toka Kazini. Naenda Shambani au kuangalia mifugo hadi saa 12:45 au saa 1:00 Usiku.

Hiyo saa 1:00 nitaoga na kufanya kazi kidogo kwenye laptop huku naingia mtandaoni na saa 2:00-3:00 usiku nakula Msosi huku naangalia taarifa ya habari. Saa 3:00 naingia kusali then saa 3:30 au 4:00 Nalala.

Ni Baba wa watoto 4, siwaogeshi wala wafulia wala shughulika nao. Mama yao na dada yao wanafanya hayo.
Bila shaka we ni mwalimu
 
Mimi:
Naamka saa 9 au 10 alfajiri. Nasali hadi saa 11 au 11:30. Naanza fanya kazi zangu kwenye Laptop kuanzia saa 11:30 alfajiri hadi saa 1:30 Alfajiri.

Saa 1:30 hadi 1:45 ni kuoga na kujiandaa kwenda Kazini. Saa 9:30 alasiri narudi toka Kazini. Naenda Shambani au kuangalia mifugo hadi saa 12:45 au saa 1:00 Usiku.

Hiyo saa 1:00 nitaoga na kufanya kazi kidogo kwenye laptop huku naingia mtandaoni na saa 2:00-3:00 usiku nakula Msosi huku naangalia taarifa ya habari. Saa 3:00 naingia kusali then saa 3:30 au 4:00 Nalala.

Ni Baba wa watoto 4, siwaogeshi wala wafulia wala shughulika nao. Mama yao na dada yao wanafanya hayo.
Safi sana. Nimejifunza jambo hapo.
 
ana kazi yenye heshima ktk jamii hivyo basi haitaji kwenda bar wala vijiweni kuboost self esteem pia jamaa ni introvert kinywaji ananywea nyumbani alafu ni mtu anayependa kufanya jambo moja kwa moyo wote hapend kujaribu kitu kingine ndo maana hujaona biashara wala mchepuko kwenye daily routine yake
Unakipawa kikubwa sana cha kumsoma mtu
 
Mi kwanza kuamka usiku usiku sipendi kwahiyo sifai kuwa mfano wa kuigwa especially na watu walioajiriwa na wanatakiwa kureport mapema

Pia maswala ambayo yanawezekana kufanyika usiku mfano pasi huwa nayafanya usiku Ili asubuhi nisiwe na mambo mengi.
Ooh.hii ya kupasi usiku nzuri, sema kunakujisahau
 
Mimi:
Naamka saa 9 au 10 alfajiri. Nasali hadi saa 11 au 11:30. Naanza fanya kazi zangu kwenye Laptop kuanzia saa 11:30 alfajiri hadi saa 1:30 Alfajiri.

Saa 1:30 hadi 1:45 ni kuoga na kujiandaa kwenda Kazini. Saa 9:30 alasiri narudi toka Kazini. Naenda Shambani au kuangalia mifugo hadi saa 12:45 au saa 1:00 Usiku.

Hiyo saa 1:00 nitaoga na kufanya kazi kidogo kwenye laptop huku naingia mtandaoni na saa 2:00-3:00 usiku nakula Msosi huku naangalia taarifa ya habari. Saa 3:00 naingia kusali then saa 3:30 au 4:00 Nalala.

Ni Baba wa watoto 4, siwaogeshi wala wafulia wala shughulika nao. Mama yao na dada yao wanafanya hayo.
Hiyo ratiba uzeeni itakuja kutesa, watoto nao watakuwa busy na mama yao, wewe watakuacha peke yako coz huna chemistry nao. Hiyo mifugo muda huo hutakuwa na uwezo wa kuihudumia.
 
Back
Top Bottom