ANT - NYONDENYONDE
Senior Member
- Jul 29, 2024
- 154
- 173
Samia anaupepo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi uhame nchi au ujitoe akili maana maRais unaowataka wewe siyo anaowaleta Mungu. Samia mpaka 2030EEEeeeenHEEEee.
Inanibidi nicheke tu. Nakumbuka mada zako nyingi huko nyuma ulikuwa huambiwi kitu juu ya "mama anaupiga mwingi".
Hapana, sikumbushi ili kukusuta kwa lolote, bali sote sasa hivi ni mashuhuda wa hali halisi iivyo..
Hofu yangu kubwa ni huyu kuendelea miaka mingine zaidi ya 2025!
Aiseeee una kumbukumbu kali sana!🙆 😆😆🤣. Nilikuja kugundua baadae kumbe nashabikia Kilaza mmoja asiye na uwezo.EEEeeeenHEEEee.
Inanibidi nicheke tu. Nakumbuka mada zako nyingi huko nyuma ulikuwa huambiwi kitu juu ya "mama anaupiga mwingi".
Hapana, sikumbushi ili kukusuta kwa lolote, bali sote sasa hivi ni mashuhuda wa hali halisi iivyo..
Hofu yangu kubwa ni huyu kuendelea miaka mingine zaidi ya 2025!
Subiri batch 4 itoke akiona Jina lake na akaunti inasoma 3M ataimba Mama anapiga mwingiMikopo kwa Wanafunzi wa level zote Diploma & Degree ipo
Well saidKuchapisha hela kwa nchi maskini hiyo ni last resort (too desperate) maana yake umehelemewa na hakuna wa kukusaidia.
Madhara yake ni currency devaluation, sasa kama umekopa kwa dollar expect rise deni lako kukuwa through inflation and all sorts of downtown spiral za kiuchumi.
Usishangae wakishadadia PPP huko serikalini hakuna hela ya kufanya miradi, na kwenye most likely wanatengeneza matatizo mengine. Eventually tutafikia hatua tu ya ‘chasing the dragon’.
Uwezi kuchapisha hela currency ikawa stable, hata huko US; lazima kuwe na inflation (kwa sababu luluki). Kipindi cha Magufuli exchange rate ilikuwa stable na alikuwa anakopesheka mpaka na private banks without intervention ya IMF/WB.
Vinginevyo uwezi kukopeshwa na private banks or gain access to money market nchi ya third bila ya kelele za donors kama uchumi wako sio stable na cashflow yako sio nzuri.
Uongozi wa huyu mama anapoipeleka nchi liko wazi, mambo yanayotokea sasa wengine tuliyasema miezi mitatu au minne baada ya kuapishwa.
Sasa watu wenye akili zao timamu huko serikalini, waendelee kusikiliza huu utoto wa Magufuli aliharibu uchumi na sasa hivi wanarekebisha.
Siasa ni science na uchumi ni science; ni rahisi kutabili nchi inapoelekea kwa uongozi uliopo; the worst is yet to come.
"Kuhama nchi", ndiyo mawazo yenu? Ni lini mlichukuwa nchi hii kuwa mali yenu!Itabidi uhame nchi au ujitoe akili maana maRais unaowataka wewe siyo anaowaleta Mungu. Samia mpaka 2030
Wewe na wenzio ndiyo mashetani? Kura zenu siyo nyingi hata mkimpigia mnyemtaka"Kuhama nchi", ndiyo mawazo yenu? Ni lini mlichukuwa nchi hii kuwa mali yenu!
Samia kaletwa na "Mungu", au shetani?
Shetani hatamwezesha kuvuka 2025. Taarifa ndiyo hiyo.
Akilazimisha kubaki, watu hawatahama nchi....; na hawatanyamaza wala kukubali nchi kugeuzwa kuwa ya kijingajinga kama inavyo kwenda sasa.
Umetuhesabu lini?Wewe na wenzio ndiyo mashetani? Kura zenu siyo nyingi hata mkimpigia mnyemtaka
Kutomsikiliza kwako hakupunguzii idadi ya chawa alionao, labda uanzishe kundi la ukarimu kama la Mafwele.Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Njoo uchukue vyeti vyangu ukavichomeUmetuhesabu lini?
Kama kisomo ulicho niaminisha unacho kuhusu eneo hilo ni cha kweli, utaandika vipi hapa kuhusu hizo kura? Akili zinapo gota kwa sababu tu ya unazi juu ya mtu, au undugu wa aina yoyote na mtu huyo ni ishara ya kuto komaa kwenye taaluma inayo kuhusu.
Itanisaidia kitu gani mimi, wakati utakuweo ukiendelea kutetea uovu kwa misingi ya mahaba tu ya undugu wa kiimani.Njoo uchukue vyeti vyangu ukavichome