Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Itabidi uhame nchi au ujitoe akili maana maRais unaowataka wewe siyo anaowaleta Mungu. Samia mpaka 2030
 
Aiseeee una kumbukumbu kali sana!🙆 😆😆🤣. Nilikuja kugundua baadae kumbe nashabikia Kilaza mmoja asiye na uwezo.
 
Well said
 
Itabidi uhame nchi au ujitoe akili maana maRais unaowataka wewe siyo anaowaleta Mungu. Samia mpaka 2030
"Kuhama nchi", ndiyo mawazo yenu? Ni lini mlichukuwa nchi hii kuwa mali yenu!
Samia kaletwa na "Mungu", au shetani?
Shetani hatamwezesha kuvuka 2025. Taarifa ndiyo hiyo.
Akilazimisha kubaki, watu hawatahama nchi....; na hawatanyamaza wala kukubali nchi kugeuzwa kuwa ya kijingajinga kama inavyo kwenda sasa.
 
Wewe na wenzio ndiyo mashetani? Kura zenu siyo nyingi hata mkimpigia mnyemtaka
 
Enzi zile ukisikia rais atahutubia kila mtu anakimbilia tv na redio kusikia Tamko la nchi,siku hizi wala hakuna mwenye hata kutaka kujua yupo wapi
 
Wewe na wenzio ndiyo mashetani? Kura zenu siyo nyingi hata mkimpigia mnyemtaka
Umetuhesabu lini?
Kama kisomo ulicho niaminisha unacho kuhusu eneo hilo ni cha kweli, utaandika vipi hapa kuhusu hizo kura? Akili zinapo gota kwa sababu tu ya unazi juu ya mtu, au undugu wa aina yoyote na mtu huyo ni ishara ya kuto komaa kwenye taaluma inayo kuhusu.
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Kutomsikiliza kwako hakupunguzii idadi ya chawa alionao, labda uanzishe kundi la ukarimu kama la Mafwele.
 
Njoo uchukue vyeti vyangu ukavichome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…