Mimi kama shabiki wa Yanga naomba msamaha Simba kwa kuwaita Mwaka-robo

Mimi kama shabiki wa Yanga naomba msamaha Simba kwa kuwaita Mwaka-robo

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Simba ilitinga robo fainali klabu bingwa Africa mara nyingi mfululizo, hadi kuipandisha ligi ya Tanzania na kwenye chati na kuwa moja ya ligi bora Africa, Yanga tukadhani ni kitu kirahisi tukabeza na kuanza kuwaita Mwakarobo

Leo hii naona ugumu wa kazi waliyokuwa wanaifanya Simba, Yanga katika ubora wa juu kabisa tangia kuanzishwa kwake lakini tunaomba mungu na sisi angalau tutinge robo fainali
 
Sasa mbona wewe
Simba ilitinga robo fainali klabu bingwa Africa mara nyingi mfululizo, hadi kuipandisha ligi ya Tanzania na kwenye chati na kuwa moja ya ligi bora Africa, Yanga tukadhani ni kitu kirahisi tukabeza na kuanza kuwaita Mwakarobo

Leo hii naona ugumu wa kazi waliyokuwa wanaifanya Simba, Yanga katika ubora wa juu kabisa tangia kuanzishwa kwake lakini tunaomba mungu na sisi angalau tutinge robo fainali
Sasa mbona wewe ni Kolo kabisa nani kakwambia kupoteza game mbili ndio imeisha.

Hawa makolo unaowaona walishawai kupigwa mechi mbili tena kwa vipigo vizito na bado wakafanikiwa kutinga robo final
Walikula hamsa mbele ya AC vita then wakaenda kwa mwarabu wakala tena hamsa

Hata juzi kati walipigwa na Horoya kidude, then wakaja kwa mkapa wakachapwa vitatu napo walipita,
Ukiona mwana yanga anakata tama kwa hizi game mbili jua huyo football haujui.
 
Simba ilitinga robo fainali klabu bingwa Africa mara nyingi mfululizo, hadi kuipandisha ligi ya Tanzania na kwenye chati na kuwa moja ya ligi bora Africa, Yanga tukadhani ni kitu kirahisi tukabeza na kuanza kuwaita Mwakarobo

Leo hii naona ugumu wa kazi waliyokuwa wanaifanya Simba, Yanga katika ubora wa juu kabisa tangia kuanzishwa kwake lakini tunaomba mungu na sisi angalau tutinge robo fainali
Shadeeya
 
Mimi nafikiri kuanza upya Kwa simba was best decision ever Kwa msimu huu,then waboreshe kidogo kidogo mpk makali yafikie,ukiangalia yanga almost wachezaji wao walikua on peak Kwa misimu 3-4 timu ileile wanaongeza mtu mmoja or 2,timu imetumika sana wanatakiwa kufanya sana rotation or kuongeza watoto toka under 23 wawasaidie Kwa games za ligi ili mapro wapate muda wakupumzika
 
Hujui mpira wewe hao unao waona bora walipigwa mechi mbili mfululizo wakianzia dar wakakandwa tatu kwa moja na raja na bado mechi ya pili wakafumuliwa tena lakini walipita kwenda robo fainali mashindano haya haya tulia uone mpira ni nin sio kukurupuka tu..
 
Hujui mpira wewe hao unao waona bora walipigwa mechi mbili mfululizo wakianzia dar wakakandwa tatu kwa moja na raja na bado mechi ya pili wakafumuliwa tena lakini walipita kwenda robo fainali mashindano haya haya tulia uone mpira ni nin sio kukurupuka tu..
Mmeanza kujilinganisha na kaka zenu sasa.safi sana.
 
Huyo msomali wenu atawaponza sana maamumuzi yake kama kipofu.
 
Back
Top Bottom