Mimi mkataa ndoa naangamia rohoni: Nishaurini ili nipone

Mimi mkataa ndoa naangamia rohoni: Nishaurini ili nipone

GREETINGS.
Haloo wananchi wote wa JF, hamjambo?
Baada ya salamu twende kwenye mada...

INTRODUCTION:-
Mimi ni mtumishi wa umma niliye ajiriwa 2012 na fani x (diploma) kwa level za kata (Afisa wa katani @ SIO MTENDAJI KATA).
2013 nikaenda chuo na kurudi 2018 na masters (niliunga) ya fani y.

Nikiwa na furaha na niite bahati, kurudi tu kazini nikapewa ofisi ya fani y, yaani nilimaliza chuo na kurudi kazini November 2018 na January 2019 nikahamishiwa halmashauri.

Niite bahati kwasababu, imekua ngumu kwa watumishi wengi kutoka Shule tu na ofisi zao za Utumishi wakawabadilishia Kazi zao (rectegorization au kuwahamishia kwenye vitengo walivyosomea).

Nilifanya Kazi kwa furaha na juhudi sana na 2019 nikapokea barua ya kubadilishiwa muundo (recategorization).

Niliona zile ndoto zangu za kuwa mkubwa kama zinaanza kutimia hivi na nilifanya Kazi kwa juhudi sana.

Fani y ndio niliyokuwa naipenda.

Fani x nilisomea tu kwa vile nilikuwa yatima na nilikosaga ada ya kusomea fani y miaka hiyo.

Ila hiyo fani x ndio iliniingiza serikalini.

SCENARIO:-
2020 likatokea jambo kazini, mara TAKUKURU hao, mara CAG huyo, mara kamati ya kutuchunguza hiyo, mara usalama wa taifa huo.

Kifupi vitu vilikuwa vingi, ila iliamriwa tusimamishwe Kazi.

Tukiwa tumesimamishwa Kazi niliamua kufungua biashara.

Baada tu ya kusimamishwa Kazi nilitumia wiki 2 kutafuta frame na kuanza biashara.

Baada ya miezi 7 nikarudishwa kazini na mambo yakaendelea.

Ila biashara yangu ilikuwa ya moto sanaa (inauza sanaa).

PROBLEM.
Baada ya kurudi kazini Kuna mambo nikaona yamebadilika.

1. Upendo na ile Kazi ukapoteaaa kabisaa

2. Nilikuwa mtoro balaa mpaka Mkurugenzi aliandika barua kwenda Utumishi ya Mimi kuvuliwa madaraka na kupewa mwengine.
Yaani aliyekuwa kijana wangu wa chini sasa hivi ni boss wangu..!!!

3. Kuona hii ajira siipendi Tena, nikaona nitafute uhamisho, changamoto sasa, Mkurugenzi kagoma kabisaa kusaini barua zangu za kuniruhusu nikatafute post kwengine.
Anasemaga "bado nakuhitaji sanaa na siwezi kukuruhusu uondoke"

4. Nakiri; kunivua madaraka hata sijamlaumu, kiukweli kabisa nimekuwa mtoro balaa, siipendi Kazi Tena (kwasasa napenda sanaa biashara yangu na wanangu).

5. Yaani kazini naweza pitisha wiki sijasaini daftari la mahudhurio maana naingia saa 3 au 4 asubuhi na "ole wako uniulize lolote juu ya hilo..!!""

6. Yaani kwasasa siipendi Tena hii halmashauri, siipendi Tena hii Kazi (niliyokuwa naiwaza kuifanya miaka hiyo), kifupi HII OFISI NA KAZI YA SERIKALI SIVIPENDI KABISAAA.

BIG PROBLEM.
Kuona nawaze kujiharibia future kazini nikaona nishirikishe wakubwa.

Hao wakubwa nao wamenipa ushauri ambao HATA SIJAUKUBALI.

Ninachonipa "Huu ukichaa wa kutopenda Kazi" ni kwamba NAHITAJI KUWA HURU.

Nahitaji kuwa kwenye biashara zangu masaa 24,
Nataka chochote kinachotokea kwenye biashara nikione, KIFUPI BIASHARA IMENIMEZAA HASAA yaani ROHONI na NAFSINI NAWAZA BIASHARA ZANGU.

Naweza kuwa ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni ila nikaishia ku-google na kusoma mambo ya biashara hiyo, nikaishia kupiga simu dukani na Kwa wateja badala nifanye Kazi za watu..!!!

Ushauri..
1. Shangazi yangu aliniambia "NIOE" halafu mke ndio asimamie halafu Mimi niendelee kupambana na ajira.
HUU USHAURI NILIGOMA KABISAAA

2. Boss mmoja, aliniambia nitafute uhamisho ili niwe karibu na biashara yangu.
Nikaona hili wazo ni sahihi, kwa maana biashara yangu ipo mkoa wa jirani na niliko.
Ila sasa tokea 2021 nianze harakati za kuhama basi Mkurugenzi kagoma kabisaaa kunisainia barua ya uhamisho ili nikatafute post kwengine (mkoa ilipo biashara yangu), hili swala LIMEFANYA NIMCHUKIE KABISA.

Nikawaza kuacha Kazi.

Nina watoto wawili mmoja darasa la 3 mwengine la 2.
Hawa watoto nawaelewa sanaa, nawasomesha Shule ada Mil 2.7 *2 (Mil 5.4, WANASOMA SHULE MOJA).
Wapo Dar kwa mama zao (kila mmoja na mama ake), ila tunawasiliana kila siku.

Nahitaji kuhama niende kwenye biashara zangu halafu niwavute wanangu ili niishi nao.
NAWAPENDA SANAA WANANGU.

Nawaza kuacha Kazi ili nikakomae na biashara yangu.

CONCLUSION.
Sina wazo la kuoa na wala sitaki kuoa, hivyo sihitaji kuwa na mtu wa kusimamia biashara sijui kunisaidia kulea.

Nikiangalia Kazini napata hela na biashara napata pesa.

Kwahiyo nipo dilema, nikisema niache Kazi Kuna pesa itapwaya tu kwenye maisha yangu, sasa naona kama duka litahelemewa na majukumu.

NIA YA KUACHA KAZI NINAYO, ILA SABABU SINA..!!!

Ukicheki nilisoma sanaa kwasababu ya hii Kazi ila SIIPENDI TENA.
Mpaka muda mwengine nawaza KWANINI SASA NALISOMA SANAAA HIVI?

Ushauri wenu na MSAADA WENU MUHIMU SANAA.

Asanteni.

#YNWA
Una wenge kinoma, huwezi kusaidiwa kwa wenge lako. Punguza wenge calm down. Angalia mambo katika angle zote. Biashara ina faida na hasara na kazi ina faida na hasara. Watu wana biashara kumi huko na bado wametulia wewe duka sijui frame ya nn unaona mpaka kazi ni mzigo ?? Acha kiburi cha vijipesa hivyo. Unataka kuhama tengeneza mazingira mazuri watu wa sign uhamisho. Wewe unaonekana umejaa jazba kiburi na majivuno, jishushe wahi kazini alafu tengeneza mipango fasta tu unahama. Mambo ya ndoa sijui watoto sio muhimu kama uko mbali nao.
 
Una wenge kinoma, huwezi kusaidiwa kwa wenge lako. Punguza wenge calm down. Angalia mambo katika angle zote. Biashara ina faida na hasara na kazi ina faida na hasara. Watu wana biashara kumi huko na bado wametulia wewe duka sijui frame ya nn unaona mpaka kazi ni mzigo ?? Acha kiburi cha vijipesa hivyo. Unataka kuhama tengeneza mazingira mazuri watu wa sign uhamisho. Wewe unaonekana umejaa jazba kiburi na majivuno, jishushe wahi kazini alafu tengeneza mipango fasta tu unahama. Mambo ya ndoa sijui watoto sio muhimu kama uko mbali nao.

Uko vizuri.
ila muda mwengine being optimism
Pesimisimu..!! HAILIPI.

Bwana awe nawe.

#YNWA
 
Fanya kufunga mifumo ya utambuzi kwenye biashara yako. Tumia teknolojia kama ni duka funga CCTV, weka scanner ya bidhaa, weka mazingira kiasi kwamba utajua mfanyakazi kama yupo au hayupo muda wowote na utajua mauzo ya siku bila kuuliza. Ingia gharama ufanye hivyo upunguze stress za kuona unapoteza usipokuwepo
 
Unaichukia kazi kwasababu ya ulichofanyiwa ukasimamishwa..... Fungua Branch ya biashara yako hapo hapo Halmashauri uliyopo , hlf play smart Halmashauri wanaongoza kwa kufixiana. Walimfix jamaa yangu akapigwa frastruation mpaka tumezika 😭😭😭
 
Hivi siku ukiugua ghafla (siombei hivyo) nani anakusaidia? Au bado unakaa kwenu? Kuna umri ukifika ni dhairi shairi kwamba angalau uwe na msaidizi wa kutoa msaada endapo kitatokea chochote hasa kinachohitaji privacy yako.


Ukiugua kwa mfanyabiashara biashara ndio inaenda kufa, usimamizi unakuwa haupo, ngoja niongezee…

Kwanza mkuu aelewe, kuwa katika maisha hakuna kufaniisha kitu ki “ONE MAN ARMY” hasa biashara ambapo kuwa na network ni muhimu.

Pili, hata Waarabu unaona ukoo na ukoo wanaendeleza utajiri kuna zile orientation practically zinafanywa kutoka kizazi to kizazi, hapa lazima atafute mtu wa karibu mwenye uchungu na maono yake, anytime anapokuwa hawezi kusimamia kazi zake.

Tatu, Seems alipata good start biashara ikaita, sometimes unaweza kuta everything umefanya kwa ufanisi ila biashara inagoma, unapanga na mungu anapanga( kwa wale wanaoamini mungu) so kuacha kazi sio chaguo zuri, kazi inakua back up.

Nne, Tunashauriwa kuwa na multiple incomes, anzisha biashara nyingine ambayo unaona unaweza kuisimamia 100% while uko naendelea na majukumu yako kikazi, si busara kuacha kazi kabla ya kuongeza aina nyingine ya kipato.
 
Sina ushauri ila sasa nimeelewa kwanini serikali ina wafanyakazi wengi inaowalipa mishahara lakini hakuna wanalofanya kwa sababu wanajua hawawezi kufukuzwa.
Ndio maana unaenda kwenye ofisi ya serikali badala mtu akuhudumie yuko busy na simu hajali maana anajua mshahara utakuja tu.
Poor Tanzania...
 
Kuna jinga moja zumbukuku hivi kiazi kiande ntobe kabisa " alitem bijijii kwa karanga z kuonjeshw" bure kabisa box box box ambalo linakataa ndoa
 
Usiache kazi kwa Sasa bado hujafikia u mature wa kuacha kazi wanaoacha kazi hawaji kuandika thread ukiona unasita kuacha kazi usijaribu kuacha

Nakwambiaje you will walk alone

Na utakumbuka hii comment
 
Sina ushauri ila sasa nimeelewa kwanini serikali ina wafanyakazi wengi inaowalipa mishahara lakini hakuna wanalofanya kwa sababu wanajua hawawezi kufukuzwa.
Ndio maana unaenda kwenye ofisi ya serikali badala mtu akuhudumie yuko busy na simu hajali maana anajua mshahara utakuja tu.
Poor Tanzania...

Very poor.

Mungu akubariki.

#YNWA
 
GREETINGS.
Haloo wananchi wote wa JF, hamjambo?
Baada ya salamu twende kwenye mada...

INTRODUCTION:-
Mimi ni mtumishi wa umma niliye ajiriwa 2012 na fani x (diploma) kwa level za kata (Afisa wa katani @ SIO MTENDAJI KATA).
2013 nikaenda chuo na kurudi 2018 na masters (niliunga) ya fani y.

Nikiwa na furaha na niite bahati, kurudi tu kazini nikapewa ofisi ya fani y, yaani nilimaliza chuo na kurudi kazini November 2018 na January 2019 nikahamishiwa halmashauri.

Niite bahati kwasababu, imekua ngumu kwa watumishi wengi kutoka Shule tu na ofisi zao za Utumishi wakawabadilishia Kazi zao (rectegorization au kuwahamishia kwenye vitengo walivyosomea).

Nilifanya Kazi kwa furaha na juhudi sana na 2019 nikapokea barua ya kubadilishiwa muundo (recategorization).

Niliona zile ndoto zangu za kuwa mkubwa kama zinaanza kutimia hivi na nilifanya Kazi kwa juhudi sana.

Fani y ndio niliyokuwa naipenda.

Fani x nilisomea tu kwa vile nilikuwa yatima na nilikosaga ada ya kusomea fani y miaka hiyo.

Ila hiyo fani x ndio iliniingiza serikalini.

SCENARIO:-
2020 likatokea jambo kazini, mara TAKUKURU hao, mara CAG huyo, mara kamati ya kutuchunguza hiyo, mara usalama wa taifa huo.

Kifupi vitu vilikuwa vingi, ila iliamriwa tusimamishwe Kazi.

Tukiwa tumesimamishwa Kazi niliamua kufungua biashara.

Baada tu ya kusimamishwa Kazi nilitumia wiki 2 kutafuta frame na kuanza biashara.

Baada ya miezi 7 nikarudishwa kazini na mambo yakaendelea.

Ila biashara yangu ilikuwa ya moto sanaa (inauza sanaa).

PROBLEM.
Baada ya kurudi kazini Kuna mambo nikaona yamebadilika.

1. Upendo na ile Kazi ukapoteaaa kabisaa

2. Nilikuwa mtoro balaa mpaka Mkurugenzi aliandika barua kwenda Utumishi ya Mimi kuvuliwa madaraka na kupewa mwengine.
Yaani aliyekuwa kijana wangu wa chini sasa hivi ni boss wangu..!!!

3. Kuona hii ajira siipendi Tena, nikaona nitafute uhamisho, changamoto sasa, Mkurugenzi kagoma kabisaa kusaini barua zangu za kuniruhusu nikatafute post kwengine.
Anasemaga "bado nakuhitaji sanaa na siwezi kukuruhusu uondoke"

4. Nakiri; kunivua madaraka hata sijamlaumu, kiukweli kabisa nimekuwa mtoro balaa, siipendi Kazi Tena (kwasasa napenda sanaa biashara yangu na wanangu).

5. Yaani kazini naweza pitisha wiki sijasaini daftari la mahudhurio maana naingia saa 3 au 4 asubuhi na "ole wako uniulize lolote juu ya hilo..!!""

6. Yaani kwasasa siipendi Tena hii halmashauri, siipendi Tena hii Kazi (niliyokuwa naiwaza kuifanya miaka hiyo), kifupi HII OFISI NA KAZI YA SERIKALI SIVIPENDI KABISAAA.

BIG PROBLEM.
Kuona nawaze kujiharibia future kazini nikaona nishirikishe wakubwa.

Hao wakubwa nao wamenipa ushauri ambao HATA SIJAUKUBALI.

Ninachonipa "Huu ukichaa wa kutopenda Kazi" ni kwamba NAHITAJI KUWA HURU.

Nahitaji kuwa kwenye biashara zangu masaa 24,
Nataka chochote kinachotokea kwenye biashara nikione, KIFUPI BIASHARA IMENIMEZAA HASAA yaani ROHONI na NAFSINI NAWAZA BIASHARA ZANGU.

Naweza kuwa ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni ila nikaishia ku-google na kusoma mambo ya biashara hiyo, nikaishia kupiga simu dukani na Kwa wateja badala nifanye Kazi za watu..!!!

Ushauri..
1. Shangazi yangu aliniambia "NIOE" halafu mke ndio asimamie halafu Mimi niendelee kupambana na ajira.
HUU USHAURI NILIGOMA KABISAAA

2. Boss mmoja, aliniambia nitafute uhamisho ili niwe karibu na biashara yangu.
Nikaona hili wazo ni sahihi, kwa maana biashara yangu ipo mkoa wa jirani na niliko.
Ila sasa tokea 2021 nianze harakati za kuhama basi Mkurugenzi kagoma kabisaaa kunisainia barua ya uhamisho ili nikatafute post kwengine (mkoa ilipo biashara yangu), hili swala LIMEFANYA NIMCHUKIE KABISA.

Nikawaza kuacha Kazi.

Nina watoto wawili mmoja darasa la 3 mwengine la 2.
Hawa watoto nawaelewa sanaa, nawasomesha Shule ada Mil 2.7 *2 (Mil 5.4, WANASOMA SHULE MOJA).
Wapo Dar kwa mama zao (kila mmoja na mama ake), ila tunawasiliana kila siku.

Nahitaji kuhama niende kwenye biashara zangu halafu niwavute wanangu ili niishi nao.
NAWAPENDA SANAA WANANGU.

Nawaza kuacha Kazi ili nikakomae na biashara yangu.

CONCLUSION.
Sina wazo la kuoa na wala sitaki kuoa, hivyo sihitaji kuwa na mtu wa kusimamia biashara sijui kunisaidia kulea.

Nikiangalia Kazini napata hela na biashara napata pesa.

Kwahiyo nipo dilema, nikisema niache Kazi Kuna pesa itapwaya tu kwenye maisha yangu, sasa naona kama duka litahelemewa na majukumu.

NIA YA KUACHA KAZI NINAYO, ILA SABABU SINA..!!!

Ukicheki nilisoma sanaa kwasababu ya hii Kazi ila SIIPENDI TENA.
Mpaka muda mwengine nawaza KWANINI SASA NALISOMA SANAAA HIVI?

Ushauri wenu na MSAADA WENU MUHIMU SANAA.

Asanteni.

#YNWA
Ni liacha kazi ya serikali 2009 kila mtu ali nishagaa, ila ni lifanikiwa wote nilio acha kazini na wazidi wawili ni mewajili, ila na kushauri kama huna nyota ya biahara usiache kazi yako biashara ni kamari.....mimi i was born lucky sio kwa ujanja wangu, wengi wame acha wamejutia jitathimini mwenyewe nyota yako iko wapi
 
GREETINGS.
Haloo wananchi wote wa JF, hamjambo?
Baada ya salamu twende kwenye mada...

INTRODUCTION:-
Mimi ni mtumishi wa umma niliye ajiriwa 2012 na fani x (diploma) kwa level za kata (Afisa wa katani @ SIO MTENDAJI KATA).
2013 nikaenda chuo na kurudi 2018 na masters (niliunga) ya fani y.

Nikiwa na furaha na niite bahati, kurudi tu kazini nikapewa ofisi ya fani y, yaani nilimaliza chuo na kurudi kazini November 2018 na January 2019 nikahamishiwa halmashauri.

Niite bahati kwasababu, imekua ngumu kwa watumishi wengi kutoka Shule tu na ofisi zao za Utumishi wakawabadilishia Kazi zao (rectegorization au kuwahamishia kwenye vitengo walivyosomea).

Nilifanya Kazi kwa furaha na juhudi sana na 2019 nikapokea barua ya kubadilishiwa muundo (recategorization).

Niliona zile ndoto zangu za kuwa mkubwa kama zinaanza kutimia hivi na nilifanya Kazi kwa juhudi sana.

Fani y ndio niliyokuwa naipenda.

Fani x nilisomea tu kwa vile nilikuwa yatima na nilikosaga ada ya kusomea fani y miaka hiyo.

Ila hiyo fani x ndio iliniingiza serikalini.

SCENARIO:-
2020 likatokea jambo kazini, mara TAKUKURU hao, mara CAG huyo, mara kamati ya kutuchunguza hiyo, mara usalama wa taifa huo.

Kifupi vitu vilikuwa vingi, ila iliamriwa tusimamishwe Kazi.

Tukiwa tumesimamishwa Kazi niliamua kufungua biashara.

Baada tu ya kusimamishwa Kazi nilitumia wiki 2 kutafuta frame na kuanza biashara.

Baada ya miezi 7 nikarudishwa kazini na mambo yakaendelea.

Ila biashara yangu ilikuwa ya moto sanaa (inauza sanaa).

PROBLEM.
Baada ya kurudi kazini Kuna mambo nikaona yamebadilika.

1. Upendo na ile Kazi ukapoteaaa kabisaa

2. Nilikuwa mtoro balaa mpaka Mkurugenzi aliandika barua kwenda Utumishi ya Mimi kuvuliwa madaraka na kupewa mwengine.
Yaani aliyekuwa kijana wangu wa chini sasa hivi ni boss wangu..!!!

3. Kuona hii ajira siipendi Tena, nikaona nitafute uhamisho, changamoto sasa, Mkurugenzi kagoma kabisaa kusaini barua zangu za kuniruhusu nikatafute post kwengine.
Anasemaga "bado nakuhitaji sanaa na siwezi kukuruhusu uondoke"

4. Nakiri; kunivua madaraka hata sijamlaumu, kiukweli kabisa nimekuwa mtoro balaa, siipendi Kazi Tena (kwasasa napenda sanaa biashara yangu na wanangu).

5. Yaani kazini naweza pitisha wiki sijasaini daftari la mahudhurio maana naingia saa 3 au 4 asubuhi na "ole wako uniulize lolote juu ya hilo..!!""

6. Yaani kwasasa siipendi Tena hii halmashauri, siipendi Tena hii Kazi (niliyokuwa naiwaza kuifanya miaka hiyo), kifupi HII OFISI NA KAZI YA SERIKALI SIVIPENDI KABISAAA.

BIG PROBLEM.
Kuona nawaze kujiharibia future kazini nikaona nishirikishe wakubwa.

Hao wakubwa nao wamenipa ushauri ambao HATA SIJAUKUBALI.

Ninachonipa "Huu ukichaa wa kutopenda Kazi" ni kwamba NAHITAJI KUWA HURU.

Nahitaji kuwa kwenye biashara zangu masaa 24,
Nataka chochote kinachotokea kwenye biashara nikione, KIFUPI BIASHARA IMENIMEZAA HASAA yaani ROHONI na NAFSINI NAWAZA BIASHARA ZANGU.

Naweza kuwa ofisini kuanzia asubuhi mpaka jioni ila nikaishia ku-google na kusoma mambo ya biashara hiyo, nikaishia kupiga simu dukani na Kwa wateja badala nifanye Kazi za watu..!!!

Ushauri..
1. Shangazi yangu aliniambia "NIOE" halafu mke ndio asimamie halafu Mimi niendelee kupambana na ajira.
HUU USHAURI NILIGOMA KABISAAA

2. Boss mmoja, aliniambia nitafute uhamisho ili niwe karibu na biashara yangu.
Nikaona hili wazo ni sahihi, kwa maana biashara yangu ipo mkoa wa jirani na niliko.
Ila sasa tokea 2021 nianze harakati za kuhama basi Mkurugenzi kagoma kabisaaa kunisainia barua ya uhamisho ili nikatafute post kwengine (mkoa ilipo biashara yangu), hili swala LIMEFANYA NIMCHUKIE KABISA.

Nikawaza kuacha Kazi.

Nina watoto wawili mmoja darasa la 3 mwengine la 2.
Hawa watoto nawaelewa sanaa, nawasomesha Shule ada Mil 2.7 *2 (Mil 5.4, WANASOMA SHULE MOJA).
Wapo Dar kwa mama zao (kila mmoja na mama ake), ila tunawasiliana kila siku.

Nahitaji kuhama niende kwenye biashara zangu halafu niwavute wanangu ili niishi nao.
NAWAPENDA SANAA WANANGU.

Nawaza kuacha Kazi ili nikakomae na biashara yangu.

CONCLUSION.
Sina wazo la kuoa na wala sitaki kuoa, hivyo sihitaji kuwa na mtu wa kusimamia biashara sijui kunisaidia kulea.

Nikiangalia Kazini napata hela na biashara napata pesa.

Kwahiyo nipo dilema, nikisema niache Kazi Kuna pesa itapwaya tu kwenye maisha yangu, sasa naona kama duka litahelemewa na majukumu.

NIA YA KUACHA KAZI NINAYO, ILA SABABU SINA..!!!

Ukicheki nilisoma sanaa kwasababu ya hii Kazi ila SIIPENDI TENA.
Mpaka muda mwengine nawaza KWANINI SASA NALISOMA SANAAA HIVI?

Ushauri wenu na MSAADA WENU MUHIMU SANAA.

Asanteni.

#YNWA
Unakosa faraja ungekua na mke angekupa faraja
 
Back
Top Bottom