Mimi mkataa ndoa naangamia rohoni: Nishaurini ili nipone


Amen.
Nimekuelewa sanaa

Me too soma hii

#YNWA
 
Utakuja kulia hapa hapa jf ukiacha hyo kazi.
Fungua biashara nyingine dar uniajiri nipige kazi ila kazi usiache.
Kwahiyo nikutafutie wewe Kazi ila sio kunitafutia Mimi Kazi?

#YNWA
 
.... Amen.

Na nitaikataa mpaka kifo.

#YNWA
 
Kuacha kazi HAKUMBWI.

Unatakiwa kuondoka ili wakufukuze ili iwe advantage kwako.

#YNWA
 
Pole sana .
Bwana mdogo , nakupa pole kwa maana nahisi bado wewe ni mdogo na ujana unakudanganya ila nahisi tutaelewana vyema .Naomba nijibu haya .

Vipi kwenda kusomea doctorate ulighairi ?
Vipi biashara imepanda tena faida maana kuna kipindi ulisema imeporomika ?

Ndugu kuacha kazi sio kufeli maisha wapo wengi walioacha kazi na maisha yakaenda kawaida hivyo sikukatazi kuacha kazi .

Ila sasa nakuona na matumizi mengi kiasi kuwa biashara italemewa .
Mkurugenzi kagoma kusaini barua zako ndugu hujui jinsi ya kuitafuta haki yako na masters degree kwel?

Be seriuos man naomba simama kidete tafuta haki yako maana kuhama sio uamuzi wa mkurugenzi ni haki yako .

Hivyo tafuta haki yako juu ya huyo mkurugenzi , ila pia ukifeli basi hamisha biashara yako hapo mkoani ulipo .

Pole sana ila usiache kazi kwanza jiweke sawa kiuchumi usikurupuke kuacha kazi sio rahisi ila ni rahisi .

Pole sana .
 

Mbona una hasira sanaa...
Kodi zako wewe na nani?, Kwani Mimi SIKATWI KODI?

#YNWA
 

PhD NILIGOMA kwasababu, nilishindwa kuacha mambo yangu ya pesa halafu kwenda nje miaka 3, Akili iligoma.

Biashara, Kuna mtu alinishauri jambo, nikalifanya na biashara IMEKUWA changamfu Tena (binadamu wabaya sanaa).

#YNWA
 
PhD NILIGOMA kwasababu, nilishindwa kuacha mambo yangu ya pesa halafu kwenda nje miaka 3, Akili iligoma.

Biashara, Kuna mtu alinishauri jambo, nikalifanya na biashara IMEKUWA changamfu Tena (binadamu wabaya sanaa).

#YNWA
Pole sana .
Usiache kazi pambana uwezavyo ila kazi pambana nayo jiweke sawa kiuchumi theb maamuzi ni yako .

Kila la kheri.
 
Mkuu life is too short to waste time doin what you hate.
Hata hivyo jipange sana kabla ya kuacha hiyo kazi.
Kwa sasa pambania uhamisho uwe karibu na hiyo biashara unayoipenda.

Huwa siwaelewi team KATAA NDOA ila usiwasikilize wanaokushauri eti uoe ili mke asimamie duka.Atakayeolewa na wewe team KATAA NDOA atateseka sana.
 
hapo angalia tu jinsi ya kuacha kazi yako taratibu maana kama unavyosema yalishatokea maseke na wazee wa takukuru walikuja ina maana mpaka now bado mpo kwenye rada za wazee wa kazi wanawaangalia.

na kama unavyosema kuwa biashara inatembea vizuri siku ukiacha ghafla jamaa wakikufatilia na kugundua una mamilioni kadhaa alafu mshahara wako mdogo jiandae kufilisiwa
 
Kwahiyo nikutafutie wewe Kazi ila sio kunitafutia Mimi Kazi?

#YNWA
Expand kipato chako ili ukiacha uwe umeacha na visima vya vipato vyengine sio kimoja tu.So hata hapo unaweza fungua huoni kuna maduka ya discount centre kwenye majiji makubwa.
 
Mmekosa hoja sasa, wewe ameshakwambia amewalawiti watoto wake au unafikiri wanawake hawafanyi mabaya kwa watoto wao. Ninaendelea kusema wanawake mkikosa hoja mpotayari kutusi au kumkejeli mtu ili tu ujionee mshindi hasa kwakulitumia hilo neno ulilolitaja huku mkiwa mnapiga vita hayo mambo yasiendelee sasa sijui kwanini midomo yenu hilo neno limewajaa. Uoe nani wakati kizazi kimezaa uzinzi na uasherati balaa.
 
Kama umevuka 35 kaa kwa kutulia kwenye 9-5, biashara konyo dakika sifuri unajikuta on the trenches, bado familia huku energy ishakata
 
Usije ukathubutu kuacha kazi ndugu yangu, tafuta mtu mwenye kujielewa muweke kwenye biashara akusaidie ikiwa wewe unaendelea na kazi labda wakufukuze, lakin kama Bado wanakuitaji piga kazi.
 
Yeye haufanyi?? Mkiamua kutokuona,acheni pia Uasherati na Uzinzi!!!
 
Jibu unalo fanya maaumiz ambayo unaona kwako ni sahihi
 
Yeye haufanyi?? Mkiamua kutokuona,acheni pia Uasherati
Sasa tatizo lako nini maana nothing changes kama hamna tofauti ya ndani ya ndoa na nje ya ndoa. Kote ni yaleyale, so achana na maneno pamoja na matusi yasiyo na tija. Believe me, angeandika kuwa ni kapuku hamna mtu angesuggest aoe na wanawake ndio mngekejeli balaa. Hivyo acheni kuwa motivational speakers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…