Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi

Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Mapenzi yamenitoa machozi,

Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana.

Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge. Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana

Hataki niwe mume wake, lakini kanikubalia upenzi wa muda tu, Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.


Pia soma: Mrejesho: Mwanaume nilie lizwa na mapenzi
 
Mapenzi yamenitoa machozi,
Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana.
Nikimuona na wanaume wengine naumia sana...
Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge.
Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana

Hataki niwe mume wake, lakini kanikubaria upenzi wa muda tu,
Kanionjesha tunda mala moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
Sasa kama unajijua ni spare tyre ni nini unamganda mtoto wa watu?
Set her free.. akirud poa asiporud poa pia ni chance ya kupata mwingine bora
 
Mapenzi yamenitoa machozi,
Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana.
Nikimuona na wanaume wengine naumia sana...
Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge.
Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana

Hataki niwe mume wake, lakini kanikubaria upenzi wa muda tu,
Kanionjesha tunda mala moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
Wavulana bhana ndio wanatufanyaga tudharaulike wanaume tunaoishi Dar, bora kwa sasa nipo Rorya, huku hakuna kubembeleza demu akizingua ni mitama kerebu za uso na bakora za mgongoni akalie porini maana hathubutu kusimulia
 
Back
Top Bottom