Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi

Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi

Mkuu jifunze kuwa na kiasi, hata misingi ya kidini mingi inashauri kiwa na kiasi kwa kila kitu. Hii ina-apply hata kwenye mapenzi, ukishamwonyesha mtu unamjali na kumpenda sana, kupita kawaida unampa hali ya kujiamini na atakuona kama fungu ambalo lipo tu. Unavyozidi kumpenda mwanamke ndivyo unavyomweka mbali na wewe. Jaribu kuwa na moyo mgumu, wanawake watakuumiza kichwa ukiwaweka sana nafsini mwako.
Ukiweza kumaster hili utaona wanawake wanavutika zaidi na wewe. Jiulize kwanini wanawake huwapenda wanaume wanaowapuuzia, na kuwaepuka wanaume waliozama katika mapenzi nao?
Nimekuelewa vizuri.
Kubwa mimi kilichokua kinanitesa ni kwasababu huwa sipendi kushindwa kirahis.
Nafanya kazi vijijini, warembo ni wachache sana, kila ukiona mzuri huku unapata ni mke wa mtu.
Vitoto vidogo sipend

Sasa huyu work mate wangu ndo anabakia Queen peke yake.

Huyu dada, Natamani angekua mbali tu na mimi,
Akiwa karbu yangu anazidi kunichanganya tu.
Nimempenda hadi mimi mwenyewe najishangaa, but najua ananisumbua kwa sababu sina plan B ni yeye peke yake ndo ananivutia.
 
Utakuta mwanamke mwenyewe anabebwa na uzuri tu ila akili ni zero, hela hana wala kazi ni mshamba wa kawaida tu then anakuliza bado unajiita mwanaume kulalake.
 
Mkuu. Kama kupenda mim nlimpenda sana yule mwanamke mshenzi lakin nimeweza kumuacha, sembuse wewe. Be a man hukuumbwa kwa ajili ya uyo tu, tafuta mwanamke mwingine uyo utamsahau
Sure, nipo kwenye hiyo processs aisee
 
Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.

Nimesoma mrejesho ndio nikaja huku,, kiukweli nimecheka sanaaaaaaaa..

Mwanaume kulia lia hivi ni ukenge - alisikika mwana Jeiefu akisema
 
Mapenzi yenyewe hayajielewi.. viumbe hai tutachukua mda wa miongo mingi sana kuyaelewa.. yatatutesa sana
 
Pole mkuu.

Mapenzi hayana bouncer..

Usikute hata mbabe Putin , kuna mtu anamwendesha kimapenzi hahahahah
 
Kaishakuona wewe ni popoma, kuanzia leo futa hicho cheo cha UANAUME.

MWANAUME hawezi kuwa kama wewe jamaa yangu.
 
Shida mwenzio huyu binti Nipo nae ofisi moja.
Wewe utakoma,utachakata,utapigika haswaaa.......wenzio sehemu Kama hizo huwa tunakula kimasihala hatujengi urafiki wa mapenzi. Katika maisha yako usitengeneze urafiki wa mapenzi na mate wako yoyote yule
 
Mapenzi yamenitoa machozi,

Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana.

Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge. Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana

Hataki niwe mume wake, lakini kanikubalia upenzi wa muda tu, Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.


Pia soma: Mrejesho: Mwanaume nilie lizwa na mapenzi
Mapenzi hayana komando, mtu yoyote yanaweza muumiza
 
Simba 2 Asec 0
20220316_181732.jpg
 
Hili nifundisho kwangu, nimekua king'ang'anizi wa vitu vingi sana kwa Mungu wangu.

Sasa nimezidi kufahamu kuwa Mambo mengine afanye tu Mungu atakavyo amua yeye wala si kwa mapenzi yangu

Relax mkuu,, mapenzi ni timing tu... Yupo mmoja nawewe utampatia atakupa mapenzi kama yote..

Ila USIOE
 
Back
Top Bottom