Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Hao wanawake wakupigwa bakoraWapi?[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanawake wakupigwa bakoraWapi?[emoji848]
Copy that.. do not engage I repeat do not engage over..The target is on the move .. we need immediate evac ...
Sir
Sir
Utajiju unalo hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Polee nawewe..[emoji28]
Njoo huku mamii halafu ulete maijinga ndio utajuahao wanawake wakupigwa bakora
Copy that.. do not engage I repeat do not engage over..
Ahsante kwa ushauri wako nitaufanyia kaziKatika vitu ambavyo huwa naregret kwenye maisha ya ujana wangu ni kulazimisha mapenzi..
Mtu kama hakupendi hakuna namna utafanya akupende, cha zaidi atakuigiziatu.
Acha kupoteza muda, mapenzi acha yaje yenyewe na sio kulazimishana lazimishana.
Sent using Jamii Forums mobile app
HakikaSiri ya kupendwa, Ni kukubali kuchunwa[emoji4]
Umeua Mzee, Km alimpapasapapasa tu alitegemea nini?.Ungepeleka moto Mzee, show ya kwanza huwa tunafanyiwa tathmini….. naona wengi wanazuunguuukaa ila tatizo ni hapo tu.
Rubbish! Halafu eti mtu Kama huyu atapigania Katiba mpya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mapenzi yamenitoa machozi,
Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana.
Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge. Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana
Hataki niwe mume wake, lakini kanikubalia upenzi wa muda tu, Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
Aisee Mwanaume kuwa hivi ni Ufala wa hali ya juuulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
Katiba Mpya hahabhahahahahahahahRubbish! Halafu eti mtu Kama huyu atapigania Katiba mpya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wavulana bhana ndio wanatufanyaga tudharaulike wanaume tunaoishi Dar, bora kwa sasa nipo Rorya, huku hakuna kubembeleza demu akizingua ni mitama kerebu za uso na bakora za mgongoni akalie porini maana hathubutu kusimulia
Usicheke huku mwanaume ukililia mapenzi unatengwa na jamii[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂poleMapenzi yamenitoa machozi,
Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana.
Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge. Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana
Hataki niwe mume wake, lakini kanikubalia upenzi wa muda tu, Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.