Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi

Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi

Ahsante kwa ushauri
Katika vitu ambavyo huwa naregret kwenye maisha ya ujana wangu ni kulazimisha mapenzi..
Mtu kama hakupendi hakuna namna utafanya akupende, cha zaidi atakuigiziatu.
Acha kupoteza muda, mapenzi acha yaje yenyewe na sio kulazimishana lazimishana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
 
Ungepeleka moto Mzee, show ya kwanza huwa tunafanyiwa tathmini….. naona wengi wanazuunguuukaa ila tatizo ni hapo tu.
 
Mapenzi yamenitoa machozi,

Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana.

Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge. Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana

Hataki niwe mume wake, lakini kanikubalia upenzi wa muda tu, Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
Rubbish! Halafu eti mtu Kama huyu atapigania Katiba mpya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wavulana bhana ndio wanatufanyaga tudharaulike wanaume tunaoishi Dar, bora kwa sasa nipo Rorya, huku hakuna kubembeleza demu akizingua ni mitama kerebu za uso na bakora za mgongoni akalie porini maana hathubutu kusimulia
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mapenzi yamenitoa machozi,

Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana.

Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge. Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana

Hataki niwe mume wake, lakini kanikubalia upenzi wa muda tu, Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂pole
 
Mkuu jifunze kuwa na kiasi, hata misingi ya kidini mingi inashauri kiwa na kiasi kwa kila kitu. Hii ina-apply hata kwenye mapenzi, ukishamwonyesha mtu unamjali na kumpenda sana, kupita kawaida unampa hali ya kujiamini na atakuona kama fungu ambalo lipo tu. Unavyozidi kumpenda mwanamke ndivyo unavyomweka mbali na wewe. Jaribu kuwa na moyo mgumu, wanawake watakuumiza kichwa ukiwaweka sana nafsini mwako.

Ukiweza kumaster hili utaona wanawake wanavutika zaidi na wewe. Jiulize kwanini wanawake huwapenda wanaume wanaowapuuzia, na kuwaepuka wanaume waliozama katika mapenzi nao?
 
Back
Top Bottom