Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! 😂😂Una hekima gani wewe?
The target is on the move .. we need immediate evac ...
Sir
Sir
Umejuaje kuwa wewe ni Mwanaume mwenye Hekima??.Mtu mwenye Hekima hajisemi mwenyewe bali watu wengine ndio husema kuwa fulani ana Hekima.Mapenzi yamenitoa machozi,
Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana.
Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge. Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana
Hataki niwe mume wake, lakini kanikubalia upenzi wa muda tu, Kanionjesha tunda mara moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
Shida mwenzio huyu binti Nipo nae ofisi moja.Kijana pole sana!! Mimi nilishapitia hali hiyo muda kidogo najuwa unavyoumia, nilimpenda mdada nikawa kama sina akili lakini alikuwa ananisumbua sana hasa anapolkuwa na mwanaume mwingine!!!! nilikuwa naumia hasaaaaa!!!! basi ikafika sehemu nikasema sasa inatosha nikachuka hatua zifuatazo
- sikumpigia simu wala maseji kama ilivyoukuwa kawaida yangu
-tukawa tunaonana status tuuuu, nikituma anaangalia nami namuangalia za kwake
-ulivyopita mwezi na nusu nikamzuia kuona status zangu, naona zake tuuu
-akawa anapiga simu sipokei mwezi mzima
-Finally nika block contact na kudelete namba yake kabisa.
-Alifanikiwa kunipata mara moja kupitia namba ya mdogo wake ambayo sikuwa naijuwa na kuomba msaada wa lift niwapeleke agakhan hospital
nikakubali kuwapitia na ku wapeleka lakini huwezi amini niliitikia salamu tuuu wala sikupiga story mpaka nawashusha agakhan.
-Baada ya wiki mbili alifanya hivyo mara ya pili sikupokea then wakatumia namba nyingine ya voda ya huyohuyo mdogo wake sikupokea lakini nilivyoenda iangalia kwa tigo pesa nikaona jina la mdogo wake hapo ikawa ndo mwisho sijapokea tena simu yake na ikawa mwisho wa kunipipgia simu
-Nilimuona amepungua sana na amekuwa mtu mwenye hamu ya kuendeleza mazungumzo ila nimeweka barrier ya kufa mtu.
-Dogo kuwa shujaaa fanya maamuzi kwa hatua then utakuja niambia lazima atakuheshimu na just move on, otherwise akisha juwa mapungufu yako ya kumpenda utamkoma!! hao watu hawapendi uonyesha umekufa juu yake.
Take my advice you will remember me. Nawakilisha!!!!
Hizo hekima unazodai unazo, wanakutania tu….
Hiyo scenerio niliyokupa mimi niko nae ofisi moja ila floor tofauti, nimejizuia kabisa kuonana nae wakati ule muda mwingi nilikuwa nampa lift ya kwenda na kurudi nyumbani, kuwa jasir zuia kuonana naye.Shida mwenzio huyu binti Nipo nae ofisi moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzio huyo, sema wee ushakua expert lolYabadili machozi kuwa hirizi pumuzi..[emoji23] Fanya fasta usije sababisha mods waandike RIP..[emoji41]