Alpha one , Do you copy?.Sir sir ... NATO can you hear me...
Do you copy ....
One man down I repeat .. over
The target is on the move .. we need immediate evac ...Alpha one , Do you copy?.
We need a backup... Over
Copy that....The target is on the move .. we need immediate evac ...
Sir
Sir
Hapa huwa tunajifariji tu,moyo ukipenda ni mwanamke mmoja tuu (tu kama ya mario kwenye bia tamu) yani utapata mwingine tena mzuri zaidi yake but hatokuwa kama yeye i wish Mungu angetupa uwezo wa kutoa copy hawa wanawake yani tujiumbie wetu wanaofanana na tunaowapendaAchana nae mademu wapo kibao
Sasa kama unajijua ni spare tyre ni nini unamganda mtoto wa watu?Mapenzi yamenitoa machozi,
Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana.
Nikimuona na wanaume wengine naumia sana...
Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge.
Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana
Hataki niwe mume wake, lakini kanikubaria upenzi wa muda tu,
Kanionjesha tunda mala moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.
Wavulana bhana ndio wanatufanyaga tudharaulike wanaume tunaoishi Dar, bora kwa sasa nipo Rorya, huku hakuna kubembeleza demu akizingua ni mitama kerebu za uso na bakora za mgongoni akalie porini maana hathubutu kusimuliaMapenzi yamenitoa machozi,
Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana.
Nikimuona na wanaume wengine naumia sana...
Hasa pale atakapokua akiongea na wengine anakua na furaha, wakati akija kwangu anakuwa mkimya na mnyonge.
Yani natamani nimfurahishe kwa kila kitu lakin inashindikana
Hataki niwe mume wake, lakini kanikubaria upenzi wa muda tu,
Kanionjesha tunda mala moja kwa masaa machache, ndipo nimebaki nalia nikidai anipe tena, ulichonionjesha ni kitamu zaidi ya Asali.