Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Moyoni.Muhuri umepigwa sehemu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyoni.Muhuri umepigwa sehemu gani?
Wapi Yesu amesema "mimi Mungu" au "niabuduni".Moyoni.
Nimeshangazwa sana....Unapoingiza utani kwenye mambo ya Imani sio Haki kabisa,Kwa Imani inagusa maisha ya watu direct,mambo kama Haya ndio yanazuaga taharuki kwenye jamiiSi wapuuzi wapuuzi hao. Huu mtandao ni wa kifreemason na ni wa kiwakala wa Kipepo ndio maana nyuzi zinazoashiria humu kula tunda masihara, kupiga punyeto, ushoga na ulawiti, udhalilishaji wa wanawake,kuudhalilisha Ukristo, mizaha na uongo, uchawi, kutukana Ukristo, kupinga uwepo wa Mungu ndio nyuzi pendwa za Moderators. Pumbavu kabisa hawa.
Niundolee upupu wako na wewe...Fuata unachokiamini usinilazimishe kuabudu unachoabudu weweWapi Yesu amesema "mimi Mungu" au "niabuduni".
Mpenzi wa Yesu wa ukweli ni Muislam.
Sikulazimishi kitu.Niundolee upupu wako na wewe...Fuata unachokiamini usinilazimishe kuabudu unachoabudu wewe
Mimi najitolea kuwa fundi mitambo .(General electronics repair)Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.
Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.
Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.
Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.
Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-
Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE
Katibu wa kanisa
1. Bujibuji Simba Nyamaume
Wazee wa Kanisa
1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla
Mashemasi
1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci
Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada
1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ
Msimamizi wa Muziki
1. mshamba_hachekwi
Mkuu wa Kitengo cha maombezi
dronedrake
Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)
keisangora
Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi
FaizaFoxy
Mkuu wa Logistics
Evelyn Salt
Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa
Chizi Maarifa
Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu
Mshana Jr
Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote
GENTAMYCINE
Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.
Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.
Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Niko out of mood...nitakujibu majibu mabaya ... please stop tag meSikulazimishi kitu.
Wewe mbona unalazimisha kumuabudu mtume wetu Yesu wakati hakuna sehemu kasema "mimi Mungu" au "niabuduni"?
Baba mchungaji ana balaa zito sanaa hajui kukataliwa anachotaka ye akuoe tu na kamati yake ameshaipanga [emoji1787] sasa nauliza ndugu wa kike tutaalikwa kweli
Hij kukariri majina ya id ni kazi ngumu sana, mnawezaje?
oyaaa mie KObaziMkuu wa Kitengo cha maombezi
Mkuu mie umenisahau?Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.
Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.
Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.
Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.
Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-
Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE
Katibu wa kanisa
1. Bujibuji Simba Nyamaume
Wazee wa Kanisa
1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla
Mashemasi
1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci
Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada
1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ
Msimamizi wa Muziki
1. mshamba_hachekwi
Mkuu wa Kitengo cha maombezi
dronedrake
Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)
keisangora
Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi
FaizaFoxy
Mkuu wa Logistics
Evelyn Salt
Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa
Chizi Maarifa
Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu
Mshana Jr
Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote
GENTAMYCINE
Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.
Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.
Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com