Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Mimi ntaongea live na yesu kama Mwakasege ,zumarid 👇👇😅

 
Si wapuuzi wapuuzi hao. Huu mtandao ni wa kifreemason na ni wa kiwakala wa Kipepo ndio maana nyuzi zinazoashiria humu kula tunda masihara, kupiga punyeto, ushoga na ulawiti, udhalilishaji wa wanawake,kuudhalilisha Ukristo, mizaha na uongo, uchawi, kutukana Ukristo, kupinga uwepo wa Mungu ndio nyuzi pendwa za Moderators. Pumbavu kabisa hawa.
Nimeshangazwa sana....Unapoingiza utani kwenye mambo ya Imani sio Haki kabisa,Kwa Imani inagusa maisha ya watu direct,mambo kama Haya ndio yanazuaga taharuki kwenye jamii
 
Mi nitakuwa muumini wenu wa Kwanza andaeni tu patatu suala la promo hapa ndo nyumbani huko kwenye vibanda umiza na vijiwe vya kahawa habari zitakuwa zenu tu
 
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Mimi najitolea kuwa fundi mitambo .(General electronics repair)
 
Kama ni kweli Hongereni sana, naomba mnipatie nafasi kwenye kitengo cha Ubunifu na miujiza hamtojutia.
 
Sikulazimishi kitu.

Wewe mbona unalazimisha kumuabudu mtume wetu Yesu wakati hakuna sehemu kasema "mimi Mungu" au "niabuduni"?
Niko out of mood...nitakujibu majibu mabaya ... please stop tag me

.
 
Mimi nitakuwa mwizi anayevamia na kupora kapu la sadaka [emoji23][emoji23][emoji23]

Sema sisy Joannah hapa harusi tunayo mama mchungaji
 
Baba mchungaji ana balaa zito sanaa hajui kukataliwa anachotaka ye akuoe tu na kamati yake ameshaipanga [emoji1787] sasa nauliza ndugu wa kike tutaalikwa kweli

Baba mchungaji ana gubu ndugu wa kikeni katunyima mwaliko hata sijapentraaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui km sisi tukipika majungu mke hapati we mwache ajifarague hatujui wazaramo tuna nongwa [emoji23][emoji23]
 
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Mkuu mie umenisahau?
 
Back
Top Bottom