Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Baba mchungaji halijui hilo kama sisi ndugu wa kike ndio kila kitu [emoji1787] sema kamuudhi ndugu yetu asubiri tu thread ifutwe naye amejiongeza sanaa mpaka kaharibuBaba mchungaji ana gubu ndugu wa kikeni katunyima mwaliko hata sijapentraaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui km sisi tukipika majungu mke hapati we mwache ajifarague hatujui wazaramo tuna nongwa [emoji23][emoji23]