Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Baba mchungaji ana gubu ndugu wa kikeni katunyima mwaliko hata sijapentraaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui km sisi tukipika majungu mke hapati we mwache ajifarague hatujui wazaramo tuna nongwa [emoji23][emoji23]
Baba mchungaji halijui hilo kama sisi ndugu wa kike ndio kila kitu [emoji1787] sema kamuudhi ndugu yetu asubiri tu thread ifutwe naye amejiongeza sanaa mpaka kaharibu
 
Baba mchungaji halijui hilo kama sisi ndugu wa kike ndio kila kitu [emoji1787] sema kamuudhi ndugu yetu asubiri tu thread ifutwe naye amejiongeza sanaa mpaka kaharibu

Huyu bwana kwa dada kapenda kweli [emoji23][emoji23]
Aje na uzi mwingine mzuri huu aachane nao.
Afu aache kujieleza sana, yeye aweke mpunga kwenye account ya sisy
 
Huyu bwana kwa dada kapenda kweli [emoji23][emoji23]
Aje na uzi mwingine mzuri huu aachane nao.
Afu aache kujieleza sana, yeye aweke mpunga kwenye account ya sisy
[emoji1787] Hapo ndio alipofeli ukipenda sanaa mwisho inakuwa hivi ila tumuonee huruma na kumuombea msamaha kwa ndugu yetu
 
Kanisa ukipata location nzuri unapiga hela sana..nna mshkaji mmoja tulikuwaga tunavuta wote bange miaka ya nyuma na kununua wote malaya wa bei chee pale Kimboka Dar enzi hizo akatokea kuaminiwa sana na wale malaya kiasi kwamba akaanza kuwa dalali wao kuwaunganishia wateja wenye hela hasa madingi waoga wa kununua malaya hadharani yeye akawa mtu kati.
Cha ajabu nimepotezana na huyu mwamba miaka kadhaa nakuja kumkuta mkoa flani ana bonge la kanisa anafungisha ndoa ya rafiki yangu ambaye nimesafiri kuhudhuria harusi yake huko mkoani[emoji38][emoji38][emoji38]kifupi huyo nabii anaheshimika sana na ana maisha mazuri, nyumba na usafiri na anapiga maokoto kama kawaida.!
Huwezi kuamini kama ndio yule tuliyekuwa tunavuta naye bange na kununua malaya cheap.
Kanisa linalipa
 
Sikulazimishi kitu.

Wewe mbona unalazimisha kumuabudu mtume wetu Yesu wakati hakuna sehemu kasema "mimi Mungu" au "niabuduni"?
KUWA NA AKILI SI MPAKA UJUE KUSOMA NA KUANDIKA VEMA.
Inatosha kukutambua kuwa mwenye Akili kwa uwezo wako wa KUFUMBUA MAFUMBO KADHA WA KADHA.
YOHANA 10;30 Yesu anasema "MIMI NA BABA NI MMOJA".
=> Wayahudi walitafakari na Wakafanikiwa kupata Tafsiri ya Fumbo alilolisema Yesu. . . . . . . . . . . . .WAKAMPIGA KWA MAWE.
Alafu WAYAHUDI WAKAKILI KWAMBA " Hatukupigi mawe kwasababu ya mambo mema, ila kwasababu UNAKILI KWAMBA WEWE NI MUNGU [ Claim to be God.......by Modern English Version ] YOHANA 10:33
...........Mwenye Ufahamu Na Afahamu Sasa.
 
Mt
Baba mchungaji halijui hilo kama sisi ndugu wa kike ndio kila kitu [emoji1787] sema kamuudhi ndugu yetu asubiri tu thread ifutwe naye amejiongeza sanaa mpaka kaharibu
Mtakuwa wapishi mtaungana na FaizaFoxy 🤣
 
Mimi nitakuwa mpiga vuvuzela.kanisa litakuwa kama uwanjawa tarifa Ili tuwanogeshe Wateja wetu.
 
SEMA wakiristo mmezidi Sasa nyumba zaibada kuzifanya ndio ofisi yakulisha familia?
 
Haichekeshi wala nini!
Nawashangaa hata waliolike huu upuuzi! Acheni kudhihaki imani za watu! Kwanini usitafute machine ya betting? Mbona wezi wengi tu wameanzisha hiyo biashara kuliko kuwaongezea raia wasio na hatia matatizo ya akili kwa kuwarubuni kwa kutumia imani!
 
Unataka kufungua kanisa na ombaomba anayeshinda jf kutafuta mabwana wa kumtumia buku la vocha?🤣🤣🤣
Unafel wapi bwashee
Huyo ni mwajuma ndalandefu
Hana maisha🤣🤣
 
Back
Top Bottom