Kura ya kidemokrasia ni siri ndugu! Kaka yako kapiga NDIYO halafu kakuzuga...! All in all hata za HAPANA zingekuwa 500 ndiyo demokrasia. #Tumwache Mwenyekiti na Rais wa nchi achape kazi.🙏🙏🙏Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano.
Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea dodoma ni upotoshaji mkubwa kwasababu mimi pia nilipiga kura ya hapana.