Mimi naomba Ushauri Bibi Yangu yupo na watoto 09 wote are Mutured hila wanashindwa kumlipia bill zake zote.

Mimi naomba Ushauri Bibi Yangu yupo na watoto 09 wote are Mutured hila wanashindwa kumlipia bill zake zote.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Wakuu hiko hivi I have a Grandmother Called Bibi Haya

Kufupisha story siku ya Eaid Nilipewa taarifa kutoka Bukoba kwamba Bibi Hana Mboga ya Eid so niliombwa kutuma pesa kias Flani hivi kukamilisha Mlo mujarabu wa Eid.

Kiufupi nilimtafta Jamaa yangu mmoja yupo kijijini mahali anapokaa my Bibi so nilimwambia aende kwa Bibi yangu amwambie Order everything bill on me.
Kiufupi nilimtumia Jamaa yangu 60k na kila kitu kikapatikana bila tatizo.


Swali la kujiuliza Ni hivi
Huyu Bibi yangu Yupo na watoto 09 then wote wapo na Maisha yao so Inakuaje wanashindwa mjali Mama yao Mzazi aliyewalea hadi kufikia hapo kwa Jasho na Damu .


Dunia imebadilika sana Mimi siwezi Kula au kusherekea siku muhimu Kama Eid bila Kuhakikisha Baba yangu Yupo vipi au Mama yangu .

Mimi Mama yangu na Baba wote niliwatumia mkono wa Eid tena mzee wangu nilimkaangia kuku mzima nikampelekea kwake Temeke na Bi mkubwa nilimpa kitu Kama 20k

Watu Mbadilike watoto 09 nyote mnakula Eid na mnamsahau Mama yenu????😰
 
Wakuu hiko hivi I have a Grandmother Called Bibi Haya

Kufupisha story siku ya Eaid Nilipewa taarifa kutoka Bukoba kwamba Bibi Hana Mboga ya Eid so niliombwa kutuma pesa kias Flani hivi kukamilisha Mlo mujarabu wa Eid.

Kiufupi nilimtafta Jamaa yangu mmoja yupo kijijini mahali anapokaa my Bibi so nilimwambia aende kwa Bibi yangu amwambie Order everything bill on me.
Kiufupi nilimtumia Jamaa yangu 60k na kila kitu kikapatikana bila tatizo.


Swali la kujiuliza Ni hivi
Huyu Bibi yangu Yupo na watoto 09 then wote wapo na Maisha yao so Inakuaje wanashindwa mjali Mama yao Mzazi aliyewalea hadi kufikia hapo kwa Jasho na Damu .


Dunia imebadilika sana Mimi siwezi Kula au kusherekea siku muhimu Kama Eid bila Kuhakikisha Baba yangu Yupo vipi au Mama yangu .

Mimi Mama yangu na Baba wote niliwatumia mkono wa Eid tena mzee wangu nilimkaangia kuku mzima nikampelekea kwake Temeke na Bi mkubwa nilimpa kitu Kama 20k

Watu Mbadilike watoto 09 nyote mnakula Eid na mnamsahau Mama yenu????😰
wauleze wazazi wako unakuja humu ndio kuna wazazi wako,,
 
Wakuu hiko hivi I have a Grandmother Called Bibi Haya

Kufupisha story siku ya Eaid Nilipewa taarifa kutoka Bukoba kwamba Bibi Hana Mboga ya Eid so niliombwa kutuma pesa kias Flani hivi kukamilisha Mlo mujarabu wa Eid.

Kiufupi nilimtafta Jamaa yangu mmoja yupo kijijini mahali anapokaa my Bibi so nilimwambia aende kwa Bibi yangu amwambie Order everything bill on me.
Kiufupi nilimtumia Jamaa yangu 60k na kila kitu kikapatikana bila tatizo.


Swali la kujiuliza Ni hivi
Huyu Bibi yangu Yupo na watoto 09 then wote wapo na Maisha yao so Inakuaje wanashindwa mjali Mama yao Mzazi aliyewalea hadi kufikia hapo kwa Jasho na Damu .


Dunia imebadilika sana Mimi siwezi Kula au kusherekea siku muhimu Kama Eid bila Kuhakikisha Baba yangu Yupo vipi au Mama yangu .

Mimi Mama yangu na Baba wote niliwatumia mkono wa Eid tena mzee wangu nilimkaangia kuku mzima nikampelekea kwake Temeke na Bi mkubwa nilimpa kitu Kama 20k

Watu Mbadilike watoto 09 nyote mnakula Eid na mnamsahau Mama yenu????😰
Wewe jamaa una wenge sana 🤣🤣
Sema vijana tuwajali wazazi wangali hai maana wakiondoka ndipo mtu unagundua umuhumu wao.
 
Wakuu hiko hivi I have a Grandmother Called Bibi Haya

Kufupisha story siku ya Eaid Nilipewa taarifa kutoka Bukoba kwamba Bibi Hana Mboga ya Eid so niliombwa kutuma pesa kias Flani hivi kukamilisha Mlo mujarabu wa Eid.

Kiufupi nilimtafta Jamaa yangu mmoja yupo kijijini mahali anapokaa my Bibi so nilimwambia aende kwa Bibi yangu amwambie Order everything bill on me.
Kiufupi nilimtumia Jamaa yangu 60k na kila kitu kikapatikana bila tatizo.


Swali la kujiuliza Ni hivi
Huyu Bibi yangu Yupo na watoto 09 then wote wapo na Maisha yao so Inakuaje wanashindwa mjali Mama yao Mzazi aliyewalea hadi kufikia hapo kwa Jasho na Damu .


Dunia imebadilika sana Mimi siwezi Kula au kusherekea siku muhimu Kama Eid bila Kuhakikisha Baba yangu Yupo vipi au Mama yangu .

Mimi Mama yangu na Baba wote niliwatumia mkono wa Eid tena mzee wangu nilimkaangia kuku mzima nikampelekea kwake Temeke na Bi mkubwa nilimpa kitu Kama 20k

Watu Mbadilike watoto 09 nyote mnakula Eid na mnamsahau Mama yenu????😰
Wahaya Kwa mbwembwe wewe msaidie bibi Yako, pesa kidogo umesaidia matangazo kibao
 
Ila we mtoto ni changamoto kweli,kupika kwenyewe mpaka uunguze sufuria.Lakini umeongea jema watoto hawanaga utu sikuhizi kwa wazazi wao
 
Wakuu hiko hivi I have a Grandmother Called Bibi Haya

Kufupisha story siku ya Eaid Nilipewa taarifa kutoka Bukoba kwamba Bibi Hana Mboga ya Eid so niliombwa kutuma pesa kias Flani hivi kukamilisha Mlo mujarabu wa Eid.

Kiufupi nilimtafta Jamaa yangu mmoja yupo kijijini mahali anapokaa my Bibi so nilimwambia aende kwa Bibi yangu amwambie Order everything bill on me.
Kiufupi nilimtumia Jamaa yangu 60k na kila kitu kikapatikana bila tatizo.


Swali la kujiuliza Ni hivi
Huyu Bibi yangu Yupo na watoto 09 then wote wapo na Maisha yao so Inakuaje wanashindwa mjali Mama yao Mzazi aliyewalea hadi kufikia hapo kwa Jasho na Damu .


Dunia imebadilika sana Mimi siwezi Kula au kusherekea siku muhimu Kama Eid bila Kuhakikisha Baba yangu Yupo vipi au Mama yangu .

Mimi Mama yangu na Baba wote niliwatumia mkono wa Eid tena mzee wangu nilimkaangia kuku mzima nikampelekea kwake Temeke na Bi mkubwa nilimpa kitu Kama 20k

Watu Mbadilike watoto 09 nyote mnakula Eid na mnamsahau Mama yenu????[emoji27]
Kua uyaone Mkuu! Lakini nina swali, Aliyekwambia utume hela kwa Bibi ni nani au ni Bibi mwenyewe? Je una uhakika gani kama kweli watoto wote 9 wa Bibi hawakutuma chochote? Swali la mwisho, wewe wkt unasoma hujawahi kutumia hela lkn ikawa haikizi mahitaji yako ukaamua kumpgia ndg yako mwingine ukimwomba hela?...
 
Kua uyaone Mkuu! Lakini nina swali, Aliyekwambia utume hela kwa Bibi ni nani au ni Bibi mwenyewe? Je una uhakika gani kama kweli watoto wote 9 wa Bibi hawakutuma chochote? Swali la mwisho, wewe wkt unasoma hujawahi kutumia hela lkn ikawa haikizi mahitaji yako ukaamua kumpgia ndg yako mwingine ukimwomba hela?...
Ndio maana nilimtuma jirani ku-prove kwanza.
 
Back
Top Bottom