Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajijua mwwnyewe na upumbavu wako,,,,,MFYUUUUUUUUUkweli lazima usemwe
Most of them wapo vizuri hata Mimi hapa dsm naendaga wasalimia so ni kukosa Upendo kwa wazazi wao hata Babu yetu Mimi ndo nilimuuguza hosptali nyingi ila nilikuwa naona wao wanajifanya wapo busy na Mambo yaoMaisha nayo yamekuwa magumu, hivyo tuliwalaumu sana watoto.
Ifike mahali wazazi wakizaa watoto wasijiwekee ni lazima kusaidiwa.
Watoto pia wajue kuwa kuna baraka nyingi ukiwasaidia wazazi.
Mkuu lazima ukweli usemwe najua umeumia Sana kuona nakuanikaUtajijua mwwnyewe na upumbavu wako,,,,,MFYUUUUUUUU
Jirekebishe unakera sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri wewe wa nn ?? Mm sijafikisha 30 Wala sipo chini ya 20Una miaka mingapi? Ili tukupe nondo zinazoendana na umri.
Ukisema haya Tanzania utaonekana huna adabu ila ndo ukweliMaisha nayo yamekuwa magumu, hivyo tuliwalaumu sana watoto.
Ifike mahali wazazi wakizaa watoto wasijiwekee ni lazima kusaidiwa.
Watoto pia wajue kuwa kuna baraka nyingi ukiwasaidia wazazi.
Unajua mwamba wewe ni mpumbavu! Hivi wewe si mjukuu wa hicho kibibi? Huoni kama ume take cover kwa niaba ya babako au mamako? Kwa hiyo mkuu usijitoe kwenye orodha ya watoto wa hicho kibibi!Wakuu hiko hivi I have a Grandmother Called Bibi Haya
Kufupisha story siku ya Eaid Nilipewa taarifa kutoka Bukoba kwamba Bibi Hana Mboga ya Eid so niliombwa kutuma pesa kias Flani hivi kukamilisha Mlo mujarabu wa Eid.
Kiufupi nilimtafta Jamaa yangu mmoja yupo kijijini mahali anapokaa my Bibi so nilimwambia aende kwa Bibi yangu amwambie Order everything bill on me.
Kiufupi nilimtumia Jamaa yangu 60k na kila kitu kikapatikana bila tatizo.
Swali la kujiuliza Ni hivi
Huyu Bibi yangu Yupo na watoto 09 then wote wapo na Maisha yao so Inakuaje wanashindwa mjali Mama yao Mzazi aliyewalea hadi kufikia hapo kwa Jasho na Damu .
Dunia imebadilika sana Mimi siwezi Kula au kusherekea siku muhimu Kama Eid bila Kuhakikisha Baba yangu Yupo vipi au Mama yangu .
Mimi Mama yangu na Baba wote niliwatumia mkono wa Eid tena mzee wangu nilimkaangia kuku mzima nikampelekea kwake Temeke na Bi mkubwa nilimpa kitu Kama 20k
Watu Mbadilike watoto 09 nyote mnakula Eid na mnamsahau Mama yenu????😰
Yaani Wahaya shemeji zangu lakini wana shida sana! Akiwa kajambanani utasikia anavyokutishia na Kiingereza kisichokuwa na kichwa wa miguu! Lakini matajiri kama ma Rugemalira yanapiga Kihaya tu hayana shida!Mhaya usie na pesa umebakiza viingereza uchwara