Mkuu kwa wanaume wanaohudumia wake zao waendelee tu na mfumo dume, mimi nazungumzia wale wanaotaka wake zao wawasaidie majukumu, wanawake hawawezi kukubali kuwasaidia majukumu yenu halafu bado wawe submissiveDada pambana sasa. Unataka mfumo dume uishe then unazungumzia 50/50. Huwezi kukomesha mfumo dume kwa kutaka favor. Hamkatazwi kugombea. Gombeeni
Hizo takwimu wewe umezitoa wapi au umeamua kujiandikia tu mradi utetee uongo wako, nilikuuliza hivi kwahiyo other factors being constant mwanaume ambaye ni kibaka mtaani ana akili kuliko mwanamke ambaye ni boss wa kampuni fulani, acheni kulazimisha ionekane kama wanaume wote mna akili ili tu wanawake wakubali kuwa watumwa wenu wakati hali halisi tunaiona kuna wanaume wengi tu ni wapumbavu na wana uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua hojaWapo wanaume ila ni 2/10... ila kwa wanawake ni 9/10 ....na waambia wanawake mjue uongozi ni akili hivyo msishabikie jinsia kwenye mambo ya uongozi maana madhara yake yanawapata nyinyi zaidi tofauti na mnavyo jidanganya kwa hizo akili zenu za kuvukia barabara na kukatikia mashine kitandani mtajiangamiza wenyewe kama ilivyo semwa mwanamke mpumbumbavu uvunja nyumba yake mwenyewe kwa mikono yake mwenyewe ....mpumbavu ni mtu mwenye akili finyu
Sasa ushoga unahusika vipi hapa?Mada Si 50/50
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo hujaelewa mada inasemaje au inataka nn, umekurupukaaa tyuuh.Nimekuchoma penyewe, Sasa endekeza vitonga, usijishughulishe, utaendelea kupakuliwa mpaka unazeeka
Uislamu haujasema hivyo kwa vile ambavyo wewe umetasfiri kwa mtazamo wako wa 50/50.Umemaliza kila kitu Jadda, tatizo wanaume wa Kitanzania hawaitaki hiyo kisa tu wanataka mtu wa kuwatii,
Uislam umeshaweka wazi majukumu ya Mwanamke nayo ni Kuzaa tu, kazi zote za nyumbani ni za Mwanaume kama hawezi aweke msaidizi, Uislam unamtaka Mwanaume amlipe mkewe ili amnyonyeshee watoto (haya hua hawayasemi kwenye mawaidha, wanabana kimyaaa)
Sahihi kabisaa wanaume ndo tatizo kubwa kwenye hili. Wanawake hawanaga noma kabisa huwa wanatembea na beats tuMkuu siyo kweli kwamba wanaume wote wanaowaambia wake zao watafute pesa basi sababu ni kwamba mwanamke anahitaji zaidi kuliko kilichopo, wanaume wengine ni kwamba hawataki kabisa kuhudumia wake zao hata kwa zile basic needs tu yani inshort hawataki mwanamke anayekaa ndani kusubiri kuletewa lakini hapo hapo wanataka mke atimize majukumu ya nyumbani na bado ampe heshima na utii, na ukiona mwanamke anataka zaidi ya kile kilichopo basi ujue huyo anakijua kipato cha mumewe na anajua kabisa kuwa kuna pesa mumewe anabania na mara nyingi wanaume huwa wanahonga michepuko au wanafanyia mambo mengine yasiyo ya msingi
Nimezitoa kila sehemu zipo hizo takwimu hata mitaani zipo duniani zipo kila kwenye dini zipoHizo takwimu wewe umezitoa wapi au umeamua kujiandikia tu mradi utetee uongo wako, nilikuuliza hivi kwahiyo other factors being constant mwanaume ambaye ni kibaka mtaani ana akili kuliko mwanamke ambaye ni boss wa kampuni fulani, acheni kulazimisha ionekane kama wanaume wote mna akili ili tu wanawake wakubali kuwa watumwa wenu wakati hali halisi tunaiona kuna wanaume wengi tu ni wapumbavu na wana uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua hoja
Ndiyo maana huwa nashauri timu Kataa Ndoa, Bora waoe ili kupunguza expenses za kuhonga Mademu.Haya unaona sasa hili nalo ni tatizo jingine, mtu ana michepuko halafu hataki kuombwa hela, mwanamke gani atakubali umtumie bure na anajua kabisa hutamuoa
Nilikuambia kuwa wanawake mna akili finyu sana tazama hiyo hoja yako ya kibaka na boss nani kakudangaya mtu akiwa boss ndiyo kuwa na akili au nani kakudanganya mtu kuwa profesa ndiyo kuwa na akili ....kumbuka kitabu kina elimu ila hakina akili .....kwa hoja yako hiyo wewe unadhani [emoji117] samia ana akili kubwa..wakati ni 0 kichwani ...kuna wanawake wengi tu tuna wajua wametumia tobo zao mbili za chini na si akili zao vichwani kupata vyeo na kuwa mabosi matokeo yake ndiyo kama haya yanayo tokea kwa Sa100Hizo takwimu wewe umezitoa wapi au umeamua kujiandikia tu mradi utetee uongo wako, nilikuuliza hivi kwahiyo other factors being constant mwanaume ambaye ni kibaka mtaani ana akili kuliko mwanamke ambaye ni boss wa kampuni fulani, acheni kulazimisha ionekane kama wanaume wote mna akili ili tu wanawake wakubali kuwa watumwa wenu wakati hali halisi tunaiona kuna wanaume wengi tu ni wapumbavu na wana uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua hoja
Nisengeelewa ningechangia? au na wewe ushakua wa kiwaki kama huyo demu mwenzako anaependa Kila kitu free nahisi walishampakua yule, hata na wewe ushapakuliwa ndo maana akili zenu zipo sawa watu mnaopakuliwa sijui huwa mkoje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo hujaelewa mada inasemaje au inataka nn, umekurupukaaa tyuuh.
Majukumu yapi? Mwanamke akae home aangalie familia.Mkuu kwa wanaume wanaohudumia wake zao waendelee tu na mfumo dume, mimi nazungumzia wale wanaotaka wake zao wawasaidie majukumu, wanawake hawawezi kukubali kuwasaidia majukumu yenu halafu bado wawe submissive
Hahaha hilo haliwezekani mkuu maana 'necha' imeshawaambia wanaume wasitosheke na mwanamke mmoja tuNdiyo maana huwa nashauri timu Kataa Ndoa, Bora waoe ili kupunguza expenses za kuhonga Mademu.
Tulipofikia huwezi kudate na Mwanamke bila kumgharamia, sasa hao timu Kataa Ndoa unakuta ana demu Kimara,Gongolamboto,Mbagala,Mwanamanyara, Tegeta n.k wote hao wakimpigia kizinga cha Vocha za 2,000 huoni ingetosha kuitumia yeye na Mke wake nyumbani [emoji12]
Bora Mkeo hata kama una kipato kidogo ataweza kuvumilia as unampa yeye maybe 120k unamwambia naomba unisaidie kubajeti hadi Mwezi Ujao.
Wewe sidhani hata kama unaelewa unachokiandika naona unabwabwaja tu hivi unafahamu maana ya sentensi "other factors being constant", kama ni kutoa hayo matobo mbona hata wanaume wengi tu siku hizi wanatoa na wengine wanadanga kwa mijimama ili wapate urahisi wa maisha, kama kweli wanawake wote wangekuwa vilaza tusingeendelea kuona maboss wa makampuni wanawake either wangekuwa wanafukuzwa kazi au wanashushwa vyeo kila sikuNilikuambia kuwa wanawake mna akili finyu sana tazama hiyo hoja yako ya kibaka na boss nani kakudangaya mtu akiwa boss ndiyo kuwa na akili au nani kakudanganya mtu kuwa profesa ndiyo kuwa na akili ....kumbuka kitabu kina elimu ila hakina akili .....kwa hoja yako hiyo wewe unadhani [emoji117] samia ana akili kubwa..wakati ni 0 kichwani ...kuna wanawake wengi tu tuna wajua wametumia tobo zao mbili za chini na si akili zao vichwani kupata vyeo na kuwa mabosi matokeo yake ndiyo kama haya yanayo tokea kwa Sa100
Kuna wanaume hawataki hilo yani anasema kabisa yeye hawezi kuoa mwanamke golikipa, halafu hata kwa hao wapenzi unaowazungumzia wengi wenu huwa mnataka wawape zile treatment za mke ikiwemo heshima na utii, ndio maana nao wanaona wana haki ya kuhudumiwaHalafu mi naona kuna kitu hamkielewi hamna mwanaume yoyote anayemwita mke wake ombaomba labda kama hana akili timamu tunachokataa ni mpenzi hata hamjaoana alafu unataka upewe hela na uhudumiwe as if ni mke kwa kigezo tu ni wapenzi hiki ndicho wengi tunakikataa na ombaomba ndo wanaitwa Hivo yani inakua kama anakufanyia favour then unamlipa
HAMNA MWANAUME MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KUMUITA MKE WAKE OMBA OMBA NA HAYUPO KWASABABU KUMUHUDUMIA MKE NI WAJIBU NA SI HIARI
Basi labda Kwa kuwa sisi wengine tumezeeka, maana tulishazoea kula "wali maharage" tangu angali Vijana hadi sasa tuna Mvi kichwani pasipo kukinai aina Moja ya chakula πππHahaha hilo haliwezekani mkuu maana 'necha' imeshawaambia wanaume wasitosheke na mwanamke mmoja tu
Hao Wanaume wenzetu watakuwa waoga wa maisha.Kuna wanaume hawataki hilo yani anasema kabisa yeye hawezi kuoa mwanamke golikipa, halafu hata kwa hao wapenzi unaowazungumzia wengi wenu huwa mnataka wawape zile treatment za mke ikiwemo heshima na utii, ndio maana nao wanaona wana haki ya kuhudumiwa