Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Always malaya ndiye ana demand kuhudumiwa na anaendekeza tamaa.

Mwanamke mwema hana tamaa na anaridhika na anachopewa.

Hakuna mwanamme asiyependa kumuhudumia mwanamke wake.
Mwa 3:16 SUV

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

Mtoa mada wewe ni dini gani? Hebu chukua mda kusoma fungu hili, weka msisitizo sentensi yaa mwisho
 
Magenius wengi ni vichaa. Nimesha kujibu kuwa akili za mwanamke yoyote ni finyu kuweza kuongoza nchi .... uongozi ni vita na damu siyo kukatika mauno.....nchi yoyote inayo ongozwa na mwanamke hiyo nchi hipo kwenye hasara kubwa sana mwanamke ni kipofu ...ndiyo maana wanaongoza kwa kudanganywa na kudanganyika.... mtu strong kama mimi uwezi kunidanganya nikadanganyika kipumbavu
 
Wale wanaume wazamani hizo, mbona kama walikua na mfumo dume na bado mwanamke alikua anapambana kwenye kilimo na kazi mbalimbali kuleta chakula nyumbani?

Ukifuatilia vizur utagundua wanaume Wakipndi hicho walikua wanakaa kama wafalme wake zao ndio walikua wanafanya kazi mashambani pamoja na watoto.
 
"Ushoga ni ukosefu wa akili" Wewe ni mjinga kama wajinga wengine .
 
Yani iwe 50/50 nioshe vyombo na kufua na yeye ni nzima wa afya ni upuuuzi.
 
Automatic Mwanaume huwa anakuwa juu. Kama unataka kuamini hilo hata hao feminist kama wewe kuna masuala kadhaa wanawake wanahitaji yatekelezwe na mwanaume bila wao kujua au kutojua. Mwanaume ndiye aliyepewa mamlaka hapa duniani na sio vinginevyo.

Ukienda kinyume na hilo lazima mambo fulani yaharibike. Suala la mwanaume na mwanamke ni nature kama tetemeko, mafuriko, n.k. huwezi kubadilisha au kuzuia kwa sababu Muumba wa mbingu na ardhi ndiye aliyeamua iwe hivyo.
 
Binadamu huwa tunajifanya wabishi siku zote ila mwisho wa siku tunaangukia pua.
 
Nilijua tu Jadda utapigwa mawe..!!
Ila sema nini?? Ujumbe umefika, na umewachoma ndiomana wanakushambulia…

Wanaume wengi hawapendi kutimiza majukumu yao halafu wanataka kuheshimiwa, kuwatii…. Ndiomana wengine wameleft group wapate unafuu wa maisha kwa kutaka kufanana na sisi labda watapata pesa.
 
Hizo ni propaganda za kikundi cha wanaume walioamua kujipakulia minyama, ukiangalia maneno mengi ya biblia ni wanaume walijitungia 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…