Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Wale wanaume wazamani hizo, mbona kama walikua na mfumo dume na bado mwanamke alikua anapambana kwenye kilimo na kazi mbalimbali kuleta chakula nyumbani?

Ukifuatilia vizur utagundua wanaume Wakipndi hicho walikua wanakaa kama wafalme wake zao ndio walikua wanafanya kazi mashambani pamoja na watoto.
Huwezi kuhalalisha jambo kwa kutumia makosa. Wanaume tumeambiwa tuwapende wanawake zetu. Kwa hiyo hao wanaume walikosea.

Kama tukizingatia kumsikiliza Mungu anachotuelekeza kuhusu mwanaume na mwanamke masuala kama mfumo dume na mwanamke kuwa wajeuri hayata tokea.

Mungu ametoa mwongozo mzuri ila sisi binadamu ni wakaidi. Je, hiyo 50/50 imewahi kutatua changamoto? Unaweza kusema ndio kwa ujeuri lakini kimsingi ndio kwanza matatizo yamezidi kuongezeka na kuathiri vizazi na vizazi.

Haya tunayoyaona leo watu kutokuwa na maadili ni matokeo ya 50/50. Ili tuweze kutatua haya turejee kwenye maandiko na tufuate anachokisema Mungu.

Tukiweka akili za kibinadamu kwa kujiona tumeelimika sana lazima tuangukie pua. Maana kwa sasa watu wanaongoza kwa kumkataa Mungu ni wasomi. Nimeshuhudia watu kadhaa ambao ni wasomi wenye shahada na kuendelea wakiamini Mungu hayupo!, hakika ni harari kweli! Mungu atusamehe na atusaidie.
 
Huwezi kuhalalisha jambo kwa kutumia makosa. Wanaume tumeambiwa tuwapende wanawake zetu. Kwa hiyo hao wanaume walikosea.

Kama tukizingatia kumsikiliza Mungu anachotuelekeza kuhusu mwanaume na mwanamke masuala kama mfumo dume na mwanamke kuwa wajeuri hayata tokea.

Mungu ametoa mwongozo mzuri ila sisi binadamu ni wakaidi. Je, hiyo 50/50 imewahi kutatua changamoto? Unaweza kusema ndio kwa ujeuri lakini kimsingi ndio kwanza matatizo yamezidi kuongezeka na kuathiri vizazi na vizazi.

Haya tunayoyaona leo watu kutokuwa na maadili ni matokeo ya 50/50. Ili tuweze kutatua haya turejee kwenye maandiko na tufuate anachokisema Mungu.

Tukiweka akili za kibinadamu kwa kujiona tumeelimika sana lazima tuangukie pua. Maana kwa sasa watu wanaongoza kwa kumkataa Mungu ni wasomi. Nimeshuhudia watu kadhaa ambao ni wasomi wenye shahada na kuendelea wakiamini Mungu hayupo!, hakika ni harari kweli! Mungu atusamehe na atusaidie.
Mungu hayupo ndio , nilishatoka huko kuishi kwa kufuata maandiko na hadithi za kutunga , kama unampenda mke wako mpka uambiwe unafeli sana mkuu , ila nashukuru kwa mchango wako na sitaki ubishi kutoka kwako wa uwepo wa Mungu na hauna uthibitisho🙏🙏
 
Nilijua tu Jadda utapigwa mawe..!!
Ila sema nini?? Ujumbe umefika, na umewachoma ndiomana wanakushambulia…

Wanaume wengi hawapendi kutimiza majukumu yao halafu wanataka kuheshimiwa, kuwatii…. Ndiomana wengine wameleft group wapate unafuu wa maisha kwa kutaka kufanana na sisi labda watapata pesa.
Majukumu ya wanaume ndio kama yapi ?
 
Mungu hayupo ndio , nilishatoka huko kuishi kwa kufuata maandiko na hadithi za kutunga , kama unampenda mke wako mpka uambiwe unafeli sana mkuu , ila nashukuru kwa mchango wako na sitaki ubishi kutoka kwako wa uwepo wa Mungu na hauna uthibitisho🙏🙏
Kutokana na hili usitegemee changamoto zitaisha.
 
Mungu hayupo ndio , nilishatoka huko kuishi kwa kufuata maandiko na hadithi za kutunga , kama unampenda mke wako mpka uambiwe unafeli sana mkuu , ila nashukuru kwa mchango wako na sitaki ubishi kutoka kwako wa uwepo wa Mungu na hauna uthibitisho🙏🙏
Pia kumkataa Mungu ni sawa na kuzuia kisicho zuilika, Mungu ndiye aliyeumba vyote unavyoona na usivyo ona. Ndio maana nikaweka neno automatic lazima uishi katika mstari ambao yeye Mungu ametuagiza.

Shetani alijifanya mwamba ona kilichomkuta, eti na sisi binadamu tunajitutumua kuwa hakuna Mungu!? Wewe sio wa kwanza wala sio wa mwisho kumkataa Mungu ila utakuja kuelewa baadaye naomba uje uelewe kabla hujachelewa.

Na suala la kumjua Mungu ni lazima wala sio uamuzi (automatic). Mungu atusamehe na atusaidie.
 
Pia kumkataa Mungu ni sawa na kuzuia kisicho zuilika, Mungu ndiye aliyeumba vyote unavyoona na usivyo ona. Ndio maana nikaweka neno automatic lazima uishi katika mstari ambao yeye Mungu ametuagiza.

Shetani alijifanya mwamba ona kilichomkuta, eti na sisi binadamu tunajitutumua kuwa hakuna Mungu!? Wewe sio wa kwanza wala sio wa mwisho kumkataa Mungu ila utakuja kuelewa baadaye naomba uje uelewe kabla hujachelewa.

Na suala la kumjua Mungu ni lazima wala sio uamuzi (automatic). Mungu atusamehe na atusaidie.
Umehubiri tu na kutoa hisia zako kwa kile ulichoaminishwa toka ukiwa mtoto , kitendo cha watu kupinga uwepo wake ni uthibitisho tosha kwamba hayupo , huna uthibitisho kaa kimya ,kuamini ni haki yako , ukileta habari za kuaminisha wengne lazima upigwe.
 
Umehubiri tu na kutoa hisia zako kwa kile ulichoaminishwa toka ukiwa mtoto , kitendo cha watu kupinga uwepo wake ni uthibitisho tosha kwamba hayupo , huna uthibitisho kaa kimya ,kuamini ni haki yako , ukileta habari za kuaminisha wengne lazima upigwe.
Siwezi kuwa kimya kwa jambo ambalo ni la kweli na halisi. Turudi kwenye mada. Mungu ametoa muongozo kwa mwanaume na mwanamke je, tumeishi katika maagizo yake? Bila kufuata miongozo wake ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

50/50 haitakuja kusimama kamwe kwa sababu asili ya binadamu imetokana na Mungu hivyo narudia tena "automatic" lazima ufuate alicho sema Mungu la sivyo ni kazi bure tutaangukia pua kama ilivyo sasa. Ndoa nyingi hazidumu, watoto wa mitaani, mashoga, ulevi uliokithiri, wizi, ufisadi, n.k.

Huwezi kutegemea akili yako binadamu bila kumuhusisha Mungu. Lazima utafeli kama ilivyo sasa. Usiwe kiburi.
 
Mkuu kama hamtaki 50 50 basi hudumieni wake zenu 100%, na siku mkiachana gawaneni mali pasu kwa pasu, simple tu
haina noma ila kwenye mali labda tulizochuma wote, kama alinikuta nazo BIG NOOOOOO
 
"Jambazi ni mwanaume inabidi apambane na mwanaume mwenzake"

Hapana mi nasema huo ni ubaguzi wa kijinsia.

Mali mbona ni za mwanaume lakini tukiachana share inakatwa 50/50?

Mwanamke kupambana na jambazi wa kiume sio mwiko unaohusiana na jukumu la kimaumbile.

Hata feminism huwa haiwataji nyinyi kama watu dhaifu. Unawaangusha wenzio wanaokuangalia wewe kama mfano.

Feminism inasisitiza ujasiri kwa mwanamke dhidi ya mwanaume, feminism inasisitiza kuondoa mfumo dume.

Mfumo dume ni pamoja na dhana ya mume kama kichwa cha familia, kichwa cha familia ni pamoja na kuwa mlinzi kuhakikisha usalama wa familia

Kwenye mfumo dume ni wajibu wa mwanaume kumuacha mke ndani kisha yeye kutoka nje kwenda kupambana na jambazi.

Feminism imekuja kuondoa hiyo kingdom ya mwanaume na kumpa miliki mwanamke.

Maana yake wewe ndio unatakiwa utoke mbele u prove kwamba ni kweli mnao uwezo wa kusimamia majukumu ya mwaume.

Sasa wewe unaogopa

Halafu unabidi ujue kuwa matokeo ya mwisho (kufeli) sio jambo la msingi.

Yani kupigwa au kuzidiwa nguvu na jambazi sio kitu kinacho matter, kinacho matter ni ule uthubutu (ujasiri)

Maana yake hata mwanaume pia anaweza akapigwa na huyo jambazi kwa hiyo hoja ya kusema kwamba hutaki kutangulia mbele kwasababu maumbile sioni kama ni utetezi wenye mashiko.

Maana.

Hata nyinyi wanawake mbona huwa tunawaoma mkiwa mnapigana?

Kwenye huo ugomvi kwani ni mara zote umekuwa ukishinda?

Sometimes mnapigana wenyewe kwa wenyewe na sometimes mnajitutumua kupigana hadi na waume zenu kisa hiyo spirit ya feminism kuona kuwa ndani ya nyumba wote mna haki sawa.

Sasa linapokuja swala la kukabiliana na jambazi kwanini usitangulie mbele na kuithibitishia dunia kuwa mwanamke sio kiumbe dhaifu bali ni mkakamavu?
Mkuu unaposema "mali mbona ni za mwanaume ila mkiachana zinakatwa 50/50" unamaanisha nini, je wakati wa ndoa yenu ulikuwa unamsaidia kufanya majukumu ya nyumbani ikiwemo kulea watoto tangu wakiwa wachanga, na je alikuwa hakupi ile heshima na utii kama mwanaume au hayo hayawi considered

Na hata hivyo mbona wapo wanawake wengi tu wanaopambana na wanaume katika mazingira tofauti tofauti na wanashinda, nilichogundua wanawake wengi bado wanasita kuitumia hiyo 50/50 kwa asilimia mia kwa sababu wanaume wengi bado mnataka mfumo dume, siku mkiachana kabisa na mfumo dume basi hata wanawake nao watakubali kufanya hayo mnayotaka wafanye bila hiyana

Na ukizingatia siku hizi wanawake wengi tu wanafanya kazi ngumu mnazoziita za kiume kuna hadi makomandoo wanawake kwenye majeshi ya nchi mbalimbali, ila ninyi hadi leo bado mnakomaa kwamba majukumu ya nyumbani ni ya mwanamke na kwamba bado mwanaume anatakiwa amtawale mwanamke, sasa kwa mitazamo hiyo wanawake wanaona kama mnataka kuwatapeli yani eti wakubali majukumu sawa ndio muwape haki sawa

Lakini kumbe shida yenu mnataka wafanye majukumu mengi zaidi huku hiyo haki sawa yenyewe mnasuasua kuwapa na mnaitafutia visingizio vingi, na kama nilivyosema hii haki sawa kwa asilimia kubwa ililenga zile day to day activities sasa mambo ya kupigana vita na kupambana na majambazi siyo day to day activities kwenye individual life, kuna wanaume wengi tangu wanazaliwa hadi wanakufa wazee hawajawahi kupigana vita au kupambana na majambazi kabisa

So hicho siyo kigezo cha kuzuia wanawake wasidai haki sawa hizo ni uncertainties tu kwenye daily individual life, kwa sababu hata wanaume ambao hawajawahi kukutana na hayo masaibu (ambao ndio wengi kuliko waliowahi kukutana nayo) nao watajifichia kwenye hicho kichaka, na kingine wengi mnapotosha feminism maana yake siyo mwanamke amtawale mwanaume bali kusiwe na wa kumtawala mwenzie kila mmoja ajitawale mwenyewe
 
Mwa 3:16 SUV

Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.

Mtoa mada wewe ni dini gani? Hebu chukua mda kusoma fungu hili, weka msisitizo sentensi yaa mwisho
Vipi na lile andiko la mwanaume kula kwa jasho nalo umeliona au limepotea ghafla kwenye biblia, sijaona sehemu mungu alipomuambia mwanamke ale kwa jasho lake, hudumia mwanamke ndio umtawale na ndio mada yangu inachohusu
 
Magenius wengi ni vichaa. Nimesha kujibu kuwa akili za mwanamke yoyote ni finyu kuweza kuongoza nchi .... uongozi ni vita na damu siyo kukatika mauno.....nchi yoyote inayo ongozwa na mwanamke hiyo nchi hipo kwenye hasara kubwa sana mwanamke ni kipofu ...ndiyo maana wanaongoza kwa kudanganywa na kudanganyika.... mtu strong kama mimi uwezi kunidanganya nikadanganyika kipumbavu

Lakini kwenye wodi zote za vichaa huwezi kuwakuta magenius, nimekuambia hivi taja hizo nchi zinazoongozwa na wanawake ambazo zipo kwenye hasara kubwa unaniletea habari za magenius hivi mzima kweli wewe, halafu nikakuambia kwenye nchi kama Tanzania hao wanaume ambao wameongoza kwa miaka 60 tangu nchi imepata uhuru wamefanya lipi la maana ikiwa hadi leo huduma muhimu ni tatizo huna cha maana ulichojibu zaidi ya pumba tu hebu ficha ujinga wako basi
 
Wale wanaume wazamani hizo, mbona kama walikua na mfumo dume na bado mwanamke alikua anapambana kwenye kilimo na kazi mbalimbali kuleta chakula nyumbani?

Ukifuatilia vizur utagundua wanaume Wakipndi hicho walikua wanakaa kama wafalme wake zao ndio walikua wanafanya kazi mashambani pamoja na watoto.
Sasa unadhani wanawake walikuwa wanapenda kufanya hayo au walikuwa wanafanya sababu hawakuwa na sauti ujue siyo kisa tu babu zetu walifanya hayo basi maana yake ni sahihi, sababu hiyo zamani hata ukeketaji ni babu zetu ndio walikuwa wanalazimisha wanawake wakeketwe kwa maslahi yao ila si kwamba bibi zetu walikuwa wanapenda na si kwamba ukeketaji ni mzuri, kwahiyo hiyo siyo justification ya wanawake kuendelea kuwa watumwa kwa wanaume eti kisa tu zamani kuna vizazi viliishi hayo maisha
 
Sasa unadhani wanawake walikuwa wanapenda kufanya hayo au walikuwa wanafanya sababu hawakuwa na sauti ujue siyo kisa tu babu zetu walifanya hayo basi maana yake ni sahihi, sababu hiyo zamani hata ukeketaji ni babu zetu ndio walikuwa wanalazimisha wanawake wakeketwe kwa maslahi yao ila si kwamba bibi zetu walikuwa wanapenda na si kwamba ukeketaji ni mzuri, kwahiyo hiyo siyo justification ya wanawake kuendelea kuwa watumwa kwa wanaume eti kisa tu zamani kuna vizazi viliishi hayo maisha
Hili nakubadliana nalo asilimia 100 wala sipingi, nmejaribu kuelezea tu kwa sababu hata sasa hakuna baba anatamani mtoto wake wakike aolewe na mwanaume mnyanyasaji na mwenye maono ya kifedhulu dhidi ya wanawake

Ukiwa kijana mdogo usie na mtoto au usie na mapenzi ya kweli na watoto wako unaweza changia chochote ili mradi tu kujiponya hisia zako .
 
Kwani ye mwanmke hahitaji sex company kutoka kwa mwanaume kwamba mpaka nimlipe ili nimtombe ???

Kama ni hivo aweke dau iwe wazi na sio mahusiano iwe kichaka cha kupewa hela kwasababu nachojua kwenye mahusiano tunahusiana coz tumependana na wote tuna mahitaji sawa ya kihisia ikiwa ni pamoja na sex
Kama wote mnahusiana na mnapendana na mna mahitaji sawa ya kihisia kwanini wanaume ndio mnalihitaji sana hilo tendo na mko tayari kuhonga chochote kilicho ndani ya uwezo wenu ili tu mlipate ilihali kwa wanawake haiko hivyo, na je kwanini baada ya kuwa kwenye hayo mahusiano mkishaachana matusi na lawama huenda kwa wanawake kuwa hawajitunzi na hawajiheshimu ndio maana wanaachwa huku wanaume wakisifiwa, na je kwanini kwenye mahusiano mnapozini mwanamke ndio huitwa malaya kwa kuzini bila ya ndoa huku mwanaume akionekana rijali
 
Automatic Mwanaume huwa anakuwa juu. Kama unataka kuamini hilo hata hao feminist kama wewe kuna masuala kadhaa wanawake wanahitaji yatekelezwe na mwanaume bila wao kujua au kutojua. Mwanaume ndiye aliyepewa mamlaka hapa duniani na sio vinginevyo.

Ukienda kinyume na hilo lazima mambo fulani yaharibike. Suala la mwanaume na mwanamke ni nature kama tetemeko, mafuriko, n.k. huwezi kubadilisha au kuzuia kwa sababu Muumba wa mbingu na ardhi ndiye aliyeamua iwe hivyo.
Sawa hatujakataa hilo lakini huo utawala unakuja pamoja na majukumu juu ya hao wanawake, uzi wangu unasema kama unataka kumtawala mwanamke basi ni lazima umhudumie bila kutaka naye akufanyie hivyo, mkishaanza kutaka kusaidiwa majukumu yenu na wanawake hapo ndipo mfumo dume unapokosa maana na kuanza kupingwa
 
Nilijua tu Jadda utapigwa mawe..!!
Ila sema nini?? Ujumbe umefika, na umewachoma ndiomana wanakushambulia…

Wanaume wengi hawapendi kutimiza majukumu yao halafu wanataka kuheshimiwa, kuwatii…. Ndiomana wengine wameleft group wapate unafuu wa maisha kwa kutaka kufanana na sisi labda watapata pesa.
Si ndio na mimi nawashangaa yani hawa wanachoshindwa kuelewa ni kwamba sisi hatupingi mfumo dume, kama wanataka huo mfumo dume basi wakubaliane na majukumu yanayoambatana na mfumo dume, siyo mwanaume anataka heshima na mamlaka tu ila majukumu hayataki
 
Huwezi kuhalalisha jambo kwa kutumia makosa. Wanaume tumeambiwa tuwapende wanawake zetu. Kwa hiyo hao wanaume walikosea.

Kama tukizingatia kumsikiliza Mungu anachotuelekeza kuhusu mwanaume na mwanamke masuala kama mfumo dume na mwanamke kuwa wajeuri hayata tokea.

Mungu ametoa mwongozo mzuri ila sisi binadamu ni wakaidi. Je, hiyo 50/50 imewahi kutatua changamoto? Unaweza kusema ndio kwa ujeuri lakini kimsingi ndio kwanza matatizo yamezidi kuongezeka na kuathiri vizazi na vizazi.

Haya tunayoyaona leo watu kutokuwa na maadili ni matokeo ya 50/50. Ili tuweze kutatua haya turejee kwenye maandiko na tufuate anachokisema Mungu.

Tukiweka akili za kibinadamu kwa kujiona tumeelimika sana lazima tuangukie pua. Maana kwa sasa watu wanaongoza kwa kumkataa Mungu ni wasomi. Nimeshuhudia watu kadhaa ambao ni wasomi wenye shahada na kuendelea wakiamini Mungu hayupo!, hakika ni harari kweli! Mungu atusamehe na atusaidie.
Mkuu hakuna jipya chini ya jua maovu yote yalianza tangu kipindi cha agano la kale, kipindi ambacho mfumo dume ulikuwa umeshika hatamu na feminism ilikuwa haina hata dalili, au wewe unaweza ukaniambia ni maovu gani ambayo hayakuwepo enzi hizo na je mfumo dume umefanya nini kuzuia maovu yaliyokuwepo
 
Mungu hayupo ndio , nilishatoka huko kuishi kwa kufuata maandiko na hadithi za kutunga , kama unampenda mke wako mpka uambiwe unafeli sana mkuu , ila nashukuru kwa mchango wako na sitaki ubishi kutoka kwako wa uwepo wa Mungu na hauna uthibitisho[emoji120][emoji120]
Lakini kwa mfano kama wewe mkuu huwa unasema unakataa ndoa kwa sababu wanawake wanafuata pesa na mali kwenye ndoa, maana yake ni kwamba unataka wanawake nao wajitafutie pesa na mali zao wasitegemee za mwanaume si ndio, sasa nakuuliza je unaona ni sahihi wewe kutaka mfumo dume kumtawala mwanamke ikiwa hutaki kutekeleza majukumu yako juu ya huyo mwanamke
 
Back
Top Bottom